Nini tofauti kati ya maombi ya mapitio ya hukumu na rufaa?

Nini tofauti kati ya maombi ya mapitio ya hukumu na rufaa?

Tyetyetye

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2014
Posts
1,142
Reaction score
940
Nilishinda shauri la ardhi na kupewa idhini ya kubomoa ukuta uliojengwa kimakosa. Pia nikapewa dalali na mahakama ili akatekeleze ubomoaji. Dalali nikamlipa pesa nyingi.
Kabla dalali hajavunja mkosaji akaenda mahakama ya juu( wilaya) kuomba hukumu ifanyiwe mapitio(Kumbuka kwenye shauri la msingi hakukata rufaa).
Maswali yangu ni haya-:
1. Nini tofauti ya mapitio na rufaa?Vyote vina matokeo sawa?
2. Je pesa niliyomlipa dalali inaweza kurudishwa?
 
Marejeo ni hali ya kuomba muongozo ktk mahakama ya juu kwa muombaji kuiambia mahakama irejee maamuzi ya mahakama iliyopita kwakua yeye muombaji ana hisi kuna uvunjifu mkubwa sheria ktk maamuzi hayo aidha ni mwenendo au hukumu yenyewe (illegality of the procedures and decision).


Rufaa ni hali ya mtu ambae hakuridhika na maamuzi ya mahakama iliyopita kwenda mahakama ya juu yake kuomba uamuzi ubatilishwe kwakua maamuzi yamekosewa kisheria na ki sababu (errors in law and facts).

Hazifanani kwakua marejeo mahakama ya juu inaangalia tu kama kuna illegality ya procedures na decisions, wakati rufaa ni mahakama inamsikiliza mrufani ana hoja gani hasa hoja zake ziwe za kisheria na ki sababu zingine.

Ukiona mtu amekimbilia marejeo mara nyingi hua anakua yuko nje ya muda wa kukata rufaa, coz ni risk ukishindwa hautakua na pa kwenda tena maana hautaruhusiwa tena kukata rufaa au kuomba marejeo zaidi tena, ni mawakili wasio jua tu ndio hua wanaomba marejeo, na mtu hawezi akatumia marejeo kama rufaa, na mahakama ya rufani imekwisha onya mara kadhaa kwamba revision its not appeal in disguise.

Kwenye jambo lolote lile omba rufaa na sio vinginevyo na mahakama zingine hua zinayatupia mbali maombi ya marejeo ikiwa mtu uyo angeweza kukata rufaa na maamuzi yapo kabisa kwamba option namba moja ya maamuzi yoyote yale ni rufaa na sio marejeo.
 
Marejeo ni hali ya kuomba muongozo ktk mahakama ya juu kwa muombaji kuiambia mahakama irejee maamuzi ya mahakama iliyopita kwakua yeye muombaji ana hisi kuna uvunjifu mkubwa sheria ktk maamuzi hayo aidha ni mwenendo au hukumu yenyewe (illegality of the procedures and decision).


Rufaa ni hali ya mtu ambae hakuridhika na maamuzi ya mahakama iliyopita kwenda mahakama ya juu yake kuomba uamuzi ubatilishwe kwakua maamuzi yamekosewa kisheria na ki sababu (errors in law and facts).

Hazifanani kwakua marejeo mahakama ya juu inaangalia tu kama kuna illegality ya procedures na decisions, wakati rufaa ni mahakama inamsikiliza mrufani ana hoja gani hasa hoja zake ziwe za kisheria na ki sababu zingine.

Ukiona mtu amekimbilia marejeo mara nyingi hua anakua yuko nje ya muda wa kukata rufaa, coz ni risk ukishindwa hautakua na pa kwenda tena maana hautaruhusiwa tena kukata rufaa au kuomba marejeo zaidi tena, ni mawakili wasio jua tu ndio hua wanaomba marejeo, na mtu hawezi akatumia marejeo kama rufaa, na mahakama ya rufani imekwisha onya mara kadhaa kwamba revision its not appeal in disguise.

Kwenye jambo lolote lile omba rufaa na sio vinginevyo na mahakama zingine hua zinayatupia mbali maombi ya marejeo ikiwa mtu uyo angeweza kukata rufaa na maamuzi yapo kabisa kwamba option namba moja ya maamuzi yoyote yale ni rufaa na sio marejeo.
Asante sana kwa ufafanuzi
 
Marejeo ni hali ya kuomba muongozo ktk mahakama ya juu kwa muombaji kuiambia mahakama irejee maamuzi ya mahakama iliyopita kwakua yeye muombaji ana hisi kuna uvunjifu mkubwa sheria ktk maamuzi hayo aidha ni mwenendo au hukumu yenyewe (illegality of the procedures and decision).


Rufaa ni hali ya mtu ambae hakuridhika na maamuzi ya mahakama iliyopita kwenda mahakama ya juu yake kuomba uamuzi ubatilishwe kwakua maamuzi yamekosewa kisheria na ki sababu (errors in law and facts).

Hazifanani kwakua marejeo mahakama ya juu inaangalia tu kama kuna illegality ya procedures na decisions, wakati rufaa ni mahakama inamsikiliza mrufani ana hoja gani hasa hoja zake ziwe za kisheria na ki sababu zingine.

Ukiona mtu amekimbilia marejeo mara nyingi hua anakua yuko nje ya muda wa kukata rufaa, coz ni risk ukishindwa hautakua na pa kwenda tena maana hautaruhusiwa tena kukata rufaa au kuomba marejeo zaidi tena, ni mawakili wasio jua tu ndio hua wanaomba marejeo, na mtu hawezi akatumia marejeo kama rufaa, na mahakama ya rufani imekwisha onya mara kadhaa kwamba revision its not appeal in disguise.

Kwenye jambo lolote lile omba rufaa na sio vinginevyo na mahakama zingine hua zinayatupia mbali maombi ya marejeo ikiwa mtu uyo angeweza kukata rufaa na maamuzi yapo kabisa kwamba option namba moja ya maamuzi yoyote yale ni rufaa na sio marejeo.
Safi sana
 
Back
Top Bottom