Tumaini University Tawi la Iringa ndio inakuwa Iringa University ikijitenga na Tumaini na kuwa Chuo Kikuu kamili kinachojitegemea. Makao makuu ya Tumaini colleges zilizobaki yanakuwa Makumira.
Tumaini university college iringa na Iringa university ni chuo kimoja....ambapo mwanzo kilijulikana kama chuo shirikishi cha tumaini bt nw kimekua university of Iringa.
Siyo kweli kwamba tumefeli, hapa tcu na nacte wametuleta kama ambavyo na wewe wamekupeleka sehemu nyingine, tuna ufaulu mzuri sana kuliko unavyodhani. Kama mimi kiukweli nimefurahi sana kupata IUCO (2nd choice) kwa sababu nitaendelea kusoma huku nikiendelea na kibarua changu