Bcom ni coz ya kwanza kabisa ya buashara ktk level ya chuo kikuu, baada ya muda ikaonekana biashara imekua kwa kasi na uchumi kukua hivyo ikahitajika elimu pana zaidi ya utawala wa biashara ndipo wataalam wakaja na uanzishwaji wa BBA ukiwa umejumuisha yale masomo yote yaliyokuwa kwenye BCom na kuyaongezea mengine zaidi kulingana na uhitaji wa ulimwengu wa kibiashara na maendeleo ya technologia.
Baada ya kuona kuwa biashara imeingia ktk globalization na kuifanya dunia kibiashara iwe kama soko moja, wataalam wakakaa chini kutafakari na kuona kuwa bado kuna mapungufu ktk BBA kwa sasa hivyo wakaibuka na maboresho mapya kulingana na uhitaji wa soko, wakaja na BIBA kwa maana ya bachelor of international business administration ili kuweza kuwashape mamanager wa biashara waendane na globalization.
Sasa ktk BIBA watasoma Global market, Global production, International human resource management, international business management, internarional accounting nk.
Kuonyesha kuwa BCom ni old school walikuwa hawatoi coz ya hrm bali walikuwa wanatoa pasonnel management. Sasa ktk bba wamekuja na hrm badala ya pasonnel management ambayo ilikuwa inamwona mwajiliwa ni kama mtumwa na chombo tu cha uzalishaji, but hrm ikaja na neema kwa mwajiliwa hivyo kuwa concerned hata na maisha ya mwajiliwa nje ya ofisi. Kwa wafanyakazi mtanielewa ninachomaanisha.
Ndio maana mamanager waliosoma BCom zamani wengi hawana utu kwa kumjali mfanyakazi kulinganisha na wa kisasa waliosoma bba ktk hrm.
Sasa BBA inauwanja mpana zaidi kwani unaweza kumeja kwa bba ktk accounting, bba ktk finance, bba ktk marketing, bba ktk hrm, bba ktk procurement, nk