Nini Tofauti Ya "GOD" Na "THE UNIVERSE"

Nini Tofauti Ya "GOD" Na "THE UNIVERSE"

chopeko

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
1,528
Reaction score
1,108
Katika kupitia vitabu na machapisho tofauti nimekutana na vitu viwili ambavyo nashindwa kuelewa ni kitu kimoja au ni vitu viwili tofauti!.
Kuna kitu kinaitwa “The Universe” alafu kuna “God”


Kwanza kabisa niseme kwamba naamini uwepo wa Mungu (God). Na najua uwezo wake ni juu ya uwezo wangu na ndiye Muumba wa mbingu na dunia.


Sasa kuna vitabu hivi viwili The Secret na The Alchemist, kama umefanikiwa kuvipitia nimeona mara kadhaa nafasi ya Mungu ninaye mjua mara nyingi wanai-replace na “The Universe”. Sasa nashindwa kuelewa The Universe ndiye Mungu au waandishi wa hivyo vitabu hawautambui uwepo wa Mungu??
 
Katika kupitia vitabu na machapisho tofauti nimekutana na vitu viwili ambavyo nashindwa kuelewa ni kitu kimoja au ni vitu viwili tofauti!.
Kuna kitu kinaitwa "The Universe" alafu kuna "God"


Kwanza kabisa niseme kwamba naamini uwepo wa Mungu (God). Na najua uwezo wake ni juu ya uwezo wangu na ndiye Muumba wa mbingu na dunia.


Sasa kuna vitabu hivi viwili The Secret na The Alchemist, kama umefanikiwa kuvipitia nimeona mara kadhaa nafasi ya Mungu ninaye mjua mara nyingi wanai-replace na "The Universe". Sasa nashindwa kuelewa The Universe ndiye Mungu au waandishi wa hivyo vitabu hawautambui uwepo wa Mungu??
Wapo wanaoamini uwepo wa Mungu lakini pia wanaamini kuwa the Universe au Nature ina automation force yake. Kwa mfano wanaposema "the universe responds to our thoughts"...or "we attract what we think"...Mi naona hawataki kuhusisha kilakitu na Mungu. Kuna vitu vinaanzia kwa binadamu na mazingira yake mwenyewe kabla hajawa muumin wa dini fulani. Hata mimi naamini hivyo.
 
Katika kupitia vitabu na machapisho tofauti nimekutana na vitu viwili ambavyo nashindwa kuelewa ni kitu kimoja au ni vitu viwili tofauti!.
Kuna kitu kinaitwa "The Universe" alafu kuna "God"


Kwanza kabisa niseme kwamba naamini uwepo wa Mungu (God). Na najua uwezo wake ni juu ya uwezo wangu na ndiye Muumba wa mbingu na dunia.


Sasa kuna vitabu hivi viwili The Secret na The Alchemist, kama umefanikiwa kuvipitia nimeona mara kadhaa nafasi ya Mungu ninaye mjua mara nyingi wanai-replace na "The Universe". Sasa nashindwa kuelewa The Universe ndiye Mungu au waandishi wa hivyo vitabu hawautambui uwepo wa Mungu??
Wewe si umesha sema unakubali uwepo wa Mungu? Sasa tueleze kwako wewe Mungu ni nani ili tuweze kukusaidia.
Halafu hii lugha ya "uwepo" maana yake nini?
 
Katika kupitia vitabu na machapisho tofauti nimekutana na vitu viwili ambavyo nashindwa kuelewa ni kitu kimoja au ni vitu viwili tofauti!.
Kuna kitu kinaitwa "The Universe" alafu kuna "God"


Kwanza kabisa niseme kwamba naamini uwepo wa Mungu (God). Na najua uwezo wake ni juu ya uwezo wangu na ndiye Muumba wa mbingu na dunia.


Sasa kuna vitabu hivi viwili The Secret na The Alchemist, kama umefanikiwa kuvipitia nimeona mara kadhaa nafasi ya Mungu ninaye mjua mara nyingi wanai-replace na "The Universe". Sasa nashindwa kuelewa The Universe ndiye Mungu au waandishi wa hivyo vitabu hawautambui uwepo wa Mungu??

God,(Eternal,omnipresent,immaterial). The creator

Universe(matter,space,time) The creation.

Lakini kama Author wa kitabu kaamua kuandika maoni yake mwenyewe kuhusu God au Universe, nadhani ni rukhsa tu kwa yeye na wasomaji wake wala haisumbui ili mradi hajaandika tu Universe ndio Mungu yule wa Christians.
 
Welcome to "New Age Movement". They don't have a god at all. You are god, a tree is god, a worm is god. to them god is all and all is god. Basics of Genesis 3? Yes devil's lies are the same... No God or all is "God".

The devil doesn't like the fact that personal God, Jehova made all (including the devil). owns all and makes the rules!
You should burn those stupid and dangerous materials!
 
Huku intelligance kuna mada nyingi zinapenda kumchokonoa chokonoa mungu...huyu Mungu hata mumwite kwa majina gani, ndio huyo huyo. Yeye ndio mwanzo wa kila kiumbe humu duniani.... Jamani!
 
Katika kupitia vitabu na machapisho tofauti nimekutana na vitu viwili ambavyo nashindwa kuelewa ni kitu kimoja au ni vitu viwili tofauti!.
Kuna kitu kinaitwa "The Universe" alafu kuna "God"


Kwanza kabisa niseme kwamba naamini uwepo wa Mungu (God). Na najua uwezo wake ni juu ya uwezo wangu na ndiye Muumba wa mbingu na dunia.


Sasa kuna vitabu hivi viwili The Secret na The Alchemist, kama umefanikiwa kuvipitia nimeona mara kadhaa nafasi ya Mungu ninaye mjua mara nyingi wanai-replace na "The Universe". Sasa nashindwa kuelewa The Universe ndiye Mungu au waandishi wa hivyo vitabu hawautambui uwepo wa Mungu??

God = The Creator = Mungu
Universe = The Creation = Ulimwengu

God
1. The one Supreme Being, the creator and ruler of the universe.
2. The Supreme Being considered with reference to a particular attribute: the God of Islam.
3. (Lowercase) one of several deities, especially a male deity, presiding over some portion of worldly affairs.
4. (Often lowercase) a supreme being according to some particular conception: the god of mercy.
5. Christian Science. The Supreme Being, understood as Life, Truth, love, Mind, Soul, Spirit, Principle.


The Universe
The Universe is all of space-time and everything that exists therein, including all planets, stars, galaxies, the contents of intergalactic space, the smallest subatomic particles, and all matter and energy. Similar terms include the cosmos, the world, reality, and nature.


 
Back
Top Bottom