wakati mwingine unaweza fikiri ccm wanavuta majani (kama mashati yao ya kijani yanavyoonyesha), ni kama wafuasi wa bob marley vile. sijui walisahau?, hakuna tofauti yoyote. the issue here ni mtu kutoonekana ni mtenda makosa bila mahakama kuthibitisha hivyo. mwakalebelea kwa sasa hajawa proven guilty, yuko innocent kama vile mramba alivyofanya tu. wote hao ni innocent. na mramba ndio hatari kuliko mwakalebela kwasababu mramba ubadhilifu wake ndo uliingiza hasara kubwa ya mabilioni kwenye nchi yetu, pamoja na kwamba bado ni suspect, hakutakiwa kutofautishwa na mtoa rushwa mwakalebela, wote wako sawa kabisa. hapo ndo utaona namna ccm wanavyolindana. naona kwasasaivi maji yanataka kuwafika shingoni, wanatapatapa kila walanolifanya ni aibu tu. yetu macho.
kwa watu wa iringa, monica mbega hawafai kabisa, hamieni wote chadema au cuf kuwakomesha, kwasababu miaka yote hiyo huyo monica mbega ambaye at the same time alikuwa mkuu wa mkoa mwingine ambao si wa iringa, hana faida. miaka yote hiyo inatosha. mwakalebelea pamoja na mbega wote hawafai. mwakalebele mtoa rusha hana maana, na amelikoroga atalinywa lote. ndo kwishnei hiyo labda aende kweney business tu, siasa ameshakoroga, TFF ameshakoroga...kila kitu chali. basi TFF alikuwa anaiba sana kama kauchaguzi tu ka iringa hako ndo amefanya hivyo. tatizo wala rushwa wanaamini kuwa hawawezi kukamatwa? mweeee,
Watu wa iringa nawapa pongezi kitu kimoja. mwakalebela ni mtu wa Rungwe kule mbeya, lakini amepata wafuasi wengi sana iringa kwa wahehe, hii inaonyesha namna tz tusivyokuwa na ukabila, mchaga anaweza kwenda kugombea sumbawanga, mhehe akaenda kugombea songea etc kitu ambacho nchi zingine hakiwezekani.