Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Jee ni maneno tofauti yenye maana 1 au kila moja lina maana yake?
Km kuna tofauti ktk maana naomba kujua tafadhali
Km kuna tofauti ktk maana naomba kujua tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani angel....mbona bahari ni kwenye maji na pwani ni nchi kavu pembeni ya bahari....au nimekosea....?
pwani ni eneo la nchi kavu lililo mkabala na bahari yaani eneo la ardhi kavu kuanzia pale maji yanapoishi. Kisheria wanasema ni mita 60 toka eneo la mwisho kabisa la bahari kuelekea nchi kavu.[/QUOTE said:wewe nafikiri unamaanisha UFUKWENI au Beach.
pwani ni ukanda agharabu ni kilomita kadhaa kutoka mwisho(mpaka wa bahari na nchi kavu) , ndio maaana Dar, kibaha, kisalawe, tanga, mtwara mikindani hili ni eneo la pwani = costal. enzi zile za kina said barghash mwarabu aliyeiharibu Zanzibar alijimilikisha kilomita kadha za ukanda mzima wa bahari Hindi kutoka Ramu kenya mpaka msumbiji
bahari ni eneo la maji (zaidi ya maziwa na mito) ukubwa wake umeeneea sehemu mbali mbali na kufanya umbo moja la maji japo baadhi ya sehemu litapewa jina tofauti.
Fukwe ni sehemu ya nchi inayopata athari ya moja kwa moja kutoka baharini.
Pwani ni eneo lote lililo karibu ya bahari ambapo limepata athari za muda mrefu kutokana na uwepo wa bahari-hali ya hewa ,uoto wa asili nk