pwani ni eneo la nchi kavu lililo mkabala na bahari yaani eneo la ardhi kavu kuanzia pale maji yanapoishi. Kisheria wanasema ni mita 60 toka eneo la mwisho kabisa la bahari kuelekea nchi kavu.[/QUOTE said:
wewe nafikiri unamaanisha UFUKWENI au Beach.
pwani ni ukanda agharabu ni kilomita kadhaa kutoka mwisho(mpaka wa bahari na nchi kavu) , ndio maaana Dar, kibaha, kisalawe, tanga, mtwara mikindani hili ni eneo la pwani = costal. enzi zile za kina said barghash mwarabu aliyeiharibu Zanzibar alijimilikisha kilomita kadha za ukanda mzima wa bahari Hindi kutoka Ramu kenya mpaka msumbiji