tembothegreat
Member
- Oct 10, 2018
- 54
- 53
Wakubwa zangu kheshma yenu na rika langu mpo poaaa!!!
Kuhusu historia ya nchi ningependa kujua kitu kama kujana wa kawaida kabisa kwa maswali mawili tu.
1.Wapi au kwa kinanani tutaweza kupata hustoria ya nchi yetu bila kufichwa chochote.
2.Upo wapi umuhimu wa vijana kuijua historia ya nchi?
Ahsanteni.
H.Sabuni
Kuhusu historia ya nchi ningependa kujua kitu kama kujana wa kawaida kabisa kwa maswali mawili tu.
1.Wapi au kwa kinanani tutaweza kupata hustoria ya nchi yetu bila kufichwa chochote.
2.Upo wapi umuhimu wa vijana kuijua historia ya nchi?
Ahsanteni.
H.Sabuni