Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
Wana JF
Katika pitapita yangu nikakutana na waheshimiwa wa wakala wa ujenzi na vigae vya kuezekea nyumba. Vigae hivi ni bei nafuu na inawezekana vikawa mkombozi kwa mtanzania, kigae kimoja ni sh 350/= na kwa nyumba kubwa self ya vyumba vitatu hadi 4 vigae takribani 2000 hadi 2500 vinahitajika. Unaweza ukaezeka kwa laki 7 hapo.
Je, ubora wa vigae hivi ukoje? Kwa wale wenye uzoefu na vigae hivi naomba tupeane ushauri.
Nawasilisha.
wapo dar pale mwenge sam nujoma karibu ka hospital ya jeshiWakala WA ujenzi wanapatikana sehemu gani mwanza wapo
wapo dar pale mwenge sam nujoma karibu ka hospital ya jeshi
wanaitwa national housing and building research agency
jaribu pia kutembelea wavuti yao