Ninii maana ya mwekezaji?

changman

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
229
Reaction score
90
Hamjambo wanaJF. hebu mwenye uelewa aniambia nini maana ya mwekezaji, ni mzungu anayetoka nje na kuja kuwekeza nchini au hata Simon wa mtaani mwenye duka la kawaida ni mwekezaji pia?
 
Mwekezajiii! Yaani Mzungu hata akimpa dada yako mimba tayari mwekezaji! Simeoni akifungua kiwanda cha kuzalisha nini ili mradi anatoka tarakea analipa kodi kwanza. Yaani mwisho unafikiri ulizaliwa Tanzania uteseke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…