Ninunue bajaji mpya au used?

saimasebo

New Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
3
Reaction score
2
Jaman habarini
Kwa wazoefu wa bajaji naomba kujua jambo hili...

Nimejikusanya pesa kama million tano nahitaji kununua bajaji TVS King used.

Je, nikiwa dereva mwenyewe, itaweza kunipa faida hata ikatimia pesa ya kununua bajaji mpya?

Je hazina usumbufu wowote mbaya..

Naomba kujuzwa tafadhali
 
Used itanilipa? Coz nataka nianze na used ya around 5M
 
Ukiwa unaendesha mwenyewe na unakomaa kwa siku nzima unaweza kulaza 30,000 kwa siku.(INAWEZEKANA)

Zidisha mara siku 28 hizo siku 2 ni za service kwa maana siku 1 kila baada ya wiki 2.

Tena nunua bajaji ya million 4 hiyo million ya ziasa piga service na ulipie vibali.

mndani ya mwaka unapata bajaji mpya.

ushauri.

LENGA BAJAJI KWA MWENYEWE USINUNUE KWA MADALALI UTAPIGWAAA
 
Kama uko dar kuna jamaa ana bajaji zake ruti ya ukonga pale. Anaweza kukusaidia kulenga nzuri yeye siyo dalali ila ni dereva mzoefu ana miaka zaidi ya 7 kweny hiyo kazi na ni fundi pia.

Unaweza ukampooza hela ya maji mkifanikiwa
Utakuja PM kama unataka kama tyr una koneksheni zako basi komaaa nazo

ila angalizo UKO HURU SIKULAZIMISHI SITAKI KUONEKANA VBYA
 
Used itanilipa? Coz nataka nianze na used ya around 5M

Fuata ushauri huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…