Ninunue gari ipi kati ya Premio, Fielder au Wish?

Ninunue gari ipi kati ya Premio, Fielder au Wish?

BUCHANAGANDE

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,512
Reaction score
480
Habarini za kushinda!

Naombeni msaada wa mawazo, nimejichangachanga na sasa nataka kununua gari.

Naombeni msaada wa chaguo zuri mojawapo kati ya hayo machaguo matatu.

Niko Tunduma, kazi ya gari hiyo ni kwendea katika shughuli zangu mjini mara nyingine vijijini na kurudi nyumbani.
Nyumbani kwetu ni Tanga ikiwezekana linifikishe huko na kurudi.

Chaguo langu la jumla ni gari toka kampuni ya Toyota tu.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
 
Kutoka ulipo hadi kwenu, chukua wish old kwa 7bu ni kubwa kwa nafasi. Premio na Fielder zote ni CORROLA ziko poa kabisa, pia zina engine 3 1NZ-FE, 1496cc, 1ZZ-FE, 1794cc na 1AZ-FSE, 1998cc. Wish nayo ina 2, 1zz na 1az. Gari zote hizo chukua yeyote uipendayo kwa muonekano ila iwe ya 1ZZ-FE, 1nz sio nzuri sana kwa ulipo na kwenu maana ni masafa marefu.

Zote zinauzika kwa araka, zina urefu unao fanana ulaji wa mafuta kwa 1ZZ na 1AZ zinafanana usitishike na cc kuwa kubwa, wastan wa 13-16 Km/L. 1, kama uko vizuri mguuni na mkononi, Wish na Premio utatembea speed 180 na hautaona inayumba, Fielder ishia 150.

NB. Ukiweka Plug za buku 5/10 na oil ya SAE 40/20W-50, Mafuta utaisha 09-11 na speed 160 unaweza ukahisi ni pambo tu, maana hautaifikia.

Chukua ulioipeada ila Wish is the best kwa nafasi na pia unaweza ikawa ni mtaji kwa maisha yetu ya Tz. Ni hayo kwa kifupi.
 
Habarini za kushinda!

Naombeni msaada wa mawazo, nimejichangachanga na sasa nataka kununua gari.

Naombeni msaada wa chaguo zuri mojawapo kati ya hayo machaguo matatu.

Niko Tunduma, kazi ya gari hiyo ni kwendea katika shughuli zangu mjini mara nyingine vijijini na kurudi nyumbani.
Nyumbani kwetu ni Tanga ikiwezekana linifikishe huko na kurudi.

Chaguo langu la jumla ni gari toka kampuni ya Toyota tu.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Fielder na Premio ni roho za paka.

Wish ina nafasi kubwa lakini ball joints zake haziko imara pia ni ndefu sana na ina mwonekano wa panya na ni yeboyebo
 
Fielder na Premio ni roho za paka.

Wish ina nafasi kubwa lakini ball joints zake haziko imara pia ni ndefu sana na ina mwonekano wa panya na ni yeboyebo
Fielder new model bodi sio ngumu.
Wish kupotia hiyo sura + urefu wake ndio balanz yake ilipo na imeundwa hivyo kwa ajili ya kukato upepo ukiwa unakimbia bila kuyumba barabarani, na ndio maana Wish na Premio unamaliza kisahani na haiyumbi ila Fielder ukifika 150speed ushirikiano wake na wewe unaachana.
Kuhusu boljoint kuwa sio imara sio kweli, tatizo tunapenda vya kunyoga/mchina, tafuta vya kuchinja.
Tumia ball joint brands za CTR ya korea, 70,000/= kwa moja, achana na za mchina 25,000/= kwa moja.
 
Habarini za kushinda!

Naombeni msaada wa mawazo, nimejichangachanga na sasa nataka kununua gari.

Naombeni msaada wa chaguo zuri mojawapo kati ya hayo machaguo matatu.

Niko Tunduma, kazi ya gari hiyo ni kwendea katika shughuli zangu mjini mara nyingine vijijini na kurudi nyumbani.
Nyumbani kwetu ni Tanga ikiwezekana linifikishe huko na kurudi.

Chaguo langu la jumla ni gari toka kampuni ya Toyota tu.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Mrejesho, ulichukua gari ipi???
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
Nyoosha maelezo we mbwiga. Hiyo pesa unalipa kila mwezi kwa miaka miwili au unalipa mara moja tu?
 
Habarini za kushinda!

Naombeni msaada wa mawazo, nimejichangachanga na sasa nataka kununua gari.

Naombeni msaada wa chaguo zuri mojawapo kati ya hayo machaguo matatu.

Niko Tunduma, kazi ya gari hiyo ni kwendea katika shughuli zangu mjini mara nyingine vijijini na kurudi nyumbani.
Nyumbani kwetu ni Tanga ikiwezekana linifikishe huko na kurudi.

Chaguo langu la jumla ni gari toka kampuni ya Toyota tu.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Hello mambo... Mimi ni agent natoa magari Bandarini na contena karibu 0764423726
 
Back
Top Bottom