Nenda Kigamboni utapata eneo zuri kwa hiyo hela japo si njia ya Tanga.Habari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha
Sehemu gani itakua nzuriii ambayo haitakua kushoto kwa muelekeo wa Tanga
Mkuu kwa hiyo bajet unapata kiwanja kzuri maeneo ya kimara temboni,mbezi makabe,Mpiji magoe na bunjuHabari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha
Sehemu gani itakua nzuriii ambayo haitakua kushoto kwa muelekeo wa Tanga
Kwa maskin hukoNaona hata Mpango yupo kule sema kumekaa kusho
huko hapana aiseeVigogo wengi wa chama na serikali kwa sasa wananunua maeneo ya Chanika. Fuata mkondo...
Heee hii mpya 😂Vigogo wengi wa chama na serikali kwa sasa wananunua maeneo ya Chanika. Fuata mkondo...
Hii hàtali mzeeHeee hii mpya [emoji23]
Alaf Madale, Goba na Salasala wanaishi kina nani? Kwanza difference ya bei za viwanja ni kubwa sana yani ni more than two times. Yani liwanja cha mil 4 Chanika basi Goba utakipata kwa 10m kaa ukubwa ule ule
Ml 10 apate surveyed plot makabe nzuri temboni, bunju? ya SQM 800 I doubt labda ampate mtu ana shida sanaaaa na kusiwe na dalali kabisaaa na obvious kitakuwa ndanindani sana kwa hela hiyo na ukubwa anaoutaka labda mpiji magoe ndani ndani. Makabe soon lami inakamilika viwanja bei vimepanda sana. Naandika based on experience. SQM 800 ni viwanja viwili vya 20x20 so ina maana ni sawa na kusema 20x20 moja ni ML 5 ambapo kwa makabe ya sasa ukiona kiwanja cha bei hiyo kuwa makini sana usije kulizwaMkuu kwa hiyo bajet unapata kiwanja kzuri maeneo ya kimara temboni,mbezi makabe,Mpiji magoe na bunju
Cha msingi tuliza sana akili afu hakikisha kiwanja utakachokinunua ni
Surveyed plot (kimepimwa)
Hakikisha kipo katika ramani ya mipango mji
swala la hati miliki kutoka wizarani ni muhimu sana
Ikipendeza usinunue kwa mtu binafsi jaribu kucheki registered real estate companies
10m ni pesa nzuri sana kama ukitulia utapata sehemu nzuri sana
Na ni kigamboni ya labda kisarawe ll, muongozo, kimbiji, mwembe mdogo, Cheka ndanindani kidogo, au kigamboni ya uswahilin but si sehemu za kueleweka kama kibugumo, kibada, geza uloleNenda Kigamboni utapata eneo zuri kwa hiyo hela japo si njia ya Tanga.
Sent from my SM-S908B using JamiiForums mobile app
Watu wengi wenye kipato cha kati kwenda juu huwa wanatafuta viwanja maeneo hayo uliyotaja automatically hii inapelekea uhitaji kuwa juu sana na hivyo bei inapanda sanaaa. Chanika toka zamani haikupewa hadhi na watu walio wengi the same mbagala ndo maana mpaka leo bei zake zipo chini kulinganisha na mbezi. Zamani ilikuwa nadra kukuta mwenye hela zake anatafuta viwanja chanika mbagala lakini utamkuta anatafuta mbezi ya kimara au beach. So automatically ikawa wenye vijisenti vyao wanajitenga hivi na kuisolate chanika/mbagala kingine chanika from city centre ni mbali.Heee hii mpya 😂
Alaf Madale, Goba na Salasala wanaishi kina nani? Kwanza difference ya bei za viwanja ni kubwa sana yani ni more than two times. Yani liwanja cha mil 4 Chanika basi Goba utakipata kwa 10m kaa ukubwa ule ule
Mdanganye mwenzio wakampige yaan upate sgm 800 kwa 10m? Maeneo kimara mbezi makabe...labda ungshauri aende kibaha labdaMkuu kwa hiyo bajet unapata kiwanja kzuri maeneo ya kimara temboni,mbezi makabe,Mpiji magoe na bunju
Cha msingi tuliza sana akili afu hakikisha kiwanja utakachokinunua ni
Surveyed plot (kimepimwa)
Hakikisha kipo katika ramani ya mipango mji
swala la hati miliki kutoka wizarani ni muhimu sana
Ikipendeza usinunue kwa mtu binafsi jaribu kucheki registered real estate companies
10m ni pesa nzuri sana kama ukitulia utapata sehemu nzuri sana
Njia ya tanga hawezi kupata kilichopimwa na hati kabisa kwa bei hiyoMkuu kwa hiyo bajet unapata kiwanja kzuri maeneo ya kimara temboni,mbezi makabe,Mpiji magoe na bunju
Cha msingi tuliza sana akili afu hakikisha kiwanja utakachokinunua ni
Surveyed plot (kimepimwa)
Hakikisha kipo katika ramani ya mipango mji
swala la hati miliki kutoka wizarani ni muhimu sana
Ikipendeza usinunue kwa mtu binafsi jaribu kucheki registered real estate companies
10m ni pesa nzuri sana kama ukitulia utapata sehemu nzuri sana
Chanika ni sehemu ya hovyo mnoo bora hata kigamboniVigogo wengi wa chama na serikali kwa sasa wananunua maeneo ya Chanika. Fuata mkondo...