Ninunue pikipiki gani kwaajili ya biashara ya bodaboda?

Ninunue pikipiki gani kwaajili ya biashara ya bodaboda?

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,315
Habari zenu wanajamii?Mimi ni mchungaji ambaye nahitaji kujikwamua na ugumu huu wa maisha. Nina wazo la kutafuta tsh milioni 2 na hapa nina taslim tsh laki 2. Naendelea kutafuta zingine. Nimewaza kununua pikipiki ili izunguke lakini nitampa kijana azungushe nipate muda wa kuhudumia watu kiroho. Nina wazo na pikipiki aina 3 ila wadau mnisaidie ipi ni imara, ulaji mzuri wa mafuta, itakayodumu miaka mingi kati ya: SAN LG, TOYO/LIFAN, na T BETTER.
Na kama kuna mtu anaguswa na Roho wa Mungu/mwenye moyo wa kupenda kunichangia namkaribisha.
 
Chukua Boxer ni nzuri sana zinakaa muda mrefu
 
Boxer ndio habari ya mjini kwa sasa, bei zao juu ila yule mhindi mzuri sana, kubebea abiria sawa ila kuweka mkaaa sijui
 
Kamata San Lg service yake bei chee Boxer service yake maumivu.
 
Endelea kukusanya taratibu. Ila izo ulizozitaja ni aina moja. Wasambazaji ndo tofuti. Chukua boxer
 
Chukua sanlg au toyo! ila kiboko ya wote hapo kwa uimala na kudumu hata tembo mzima unaweza kumbeba na chassis isivunjike ni toyo. Pikipiki za toyo hazina utofauti wa spareparts na sanlg kasoro jina tu.
But trust me mchungaji toyo nikiboko.
 
Chukua sanlg au toyo! ila kiboko ya wote hapo kwa uimala na kudumu hata tembo mzima unaweza kumbeba na chassis isivunjike ni toyo. Pikipiki za toyo hazina utofauti wa spareparts na sanlg kasoro jina tu.
But trust me mchungaji toyo nikiboko.

Sawa muendelee kuniombea
 
sasa hv wamebuni njia mpya ya kuondoka nazo hizo boxer mnazisifia.
 
Habari zenu wanajamii?Mimi ni mchungaji ambaye nahitaji kujikwamua na ugumu huu wa maisha. Nina wazo la kutafuta tsh milioni 2 na hapa nina taslim tsh laki 2. Naendelea kutafuta zingine. Nimewaza kununua pikipiki ili izunguke lakini nitampa kijana azungushe nipate muda wa kuhudumia watu kiroho. Nina wazo na pikipiki aina 3 ila wadau mnisaidie ipi ni imara, ulaji mzuri wa mafuta, itakayodumu miaka mingi kati ya: SAN LG, TOYO/LIFAN, na T BETTER.
Na kama kuna mtu anaguswa na Roho wa Mungu/mwenye moyo wa kupenda kunichangia namkaribisha.

mtumishi,fikiria kitu kingine cha kufanya na hiyo mil 2 yako kuliko kununua bodaboda.otherwise kama unataka kufanya biashara hiyo ni bora uendeshe mwenyewe.nimefanya hiyo biashara kwa muda wa mwaka mmoja na nilikuwa nazo 4.nikipata muda nitakupa mchanganui
 
mtumishi,fikiria kitu kingine cha kufanya na hiyo mil 2 yako kuliko kununua bodaboda.otherwise kama unataka kufanya biashara hiyo ni bora uendeshe mwenyewe.nimefanya hiyo biashara kwa muda wa mwaka mmoja na nilikuwa nazo 4.nikipata muda nitakupa mchanganui

Sawa mkuu nakukaribisha!
 
Aisee kumbe wachungaji wengine ni maskini kwa jinsi hii! Waangalie wenzako kina Rwakatare, kakobe, Rusekero nk unadhani ni maskini kama wewe?Unajidanganya hamuna mtu humu atakayekuchangia hata shilingi kumi. Kwanza hawakujui, pia sio mchungaji wao mtu aanze tu. Waige wachungaji wenzako mbona matajiri sana?Pole. Wenzako wanawaza magari we unataja pikipiki. Mh
 
Kama utaiendesha wewe ukiwa unaifanyia biashara powa other wise biashara hii imekwisha kuwa kichaa. Mimi ninazo sita natafuta utaratibu wa kuziuza.
 
Aisee kumbe wachungaji wengine ni maskini kwa jinsi hii! Waangalie wenzako kina Rwakatare, kakobe, Rusekero nk unadhani ni maskini kama wewe?Unajidanganya hamuna mtu humu atakayekuchangia hata shilingi kumi. Kwanza hawakujui, pia sio mchungaji wao mtu aanze tu. Waige wachungaji wenzako mbona matajiri sana?Pole. Wenzako wanawaza magari we unataja pikipiki. Mh

Mkuu benoko nini sijui, nimeumia sana hadi nimekosa amani. Ridhiki ni kipepeo popote hutua si lazima aone maua.
 
Kama utaiendesha wewe ukiwa unaifanyia biashara powa other wise biashara hii imekwisha kuwa kichaa. Mimi ninazo sita natafuta utaratibu wa kuziuza.

Vema sasa sijui hizo zako ziko hali gani na unauzaje japo moja kwa hali na uwezo wangu. Mimi atakayezungusha ni mdogo wangu binafsi.
 
Chukua sanlg au toyo! ila kiboko ya wote hapo kwa uimala na kudumu hata tembo mzima unaweza kumbeba na chassis isivunjike ni toyo. Pikipiki za toyo hazina utofauti wa spareparts na sanlg kasoro jina tu.
But trust me mchungaji toyo nikiboko.

Hao Toyo wamefungua kiwanda huku Songea jirani na NMB. Ila ukiwauliza madereva wa pikipiki na mafundi wanasema hazidumu afadhali ya slg na wanasema kuwa vifaa vya san haviingiliani na Toyo vinazidiana ukubwa na udogo. Binafsi nataka TOYO ila ngoja nami nipeleleze nataka moja.
 
Back
Top Bottom