Ninyi wahubiri miujiza fanyeni haya niwaamini

Ninyi wahubiri miujiza fanyeni haya niwaamini

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Kila siku kualika watu waje kwenye makutaniko yenu ili wapate miujiza ya uponyaji. Slogan zenu za WAGONJWA WATAOMBEWA nataka muonyeshe kama kweli huyo Yesu Kristo anatenda kazi pamoja na ninyi basi: 1. Fufueni wafu 2. Waponyeni amputees ( watu waliokatwa miguu au mikono). Msilete hadithi za kuponya kisukari, ukimwi,kansa, ugumba etc. Hayo mawili nimewapa mtihani. Mkishindwa nawashauri wafuasi waachane nanyi. Kama mna hoja yoyote leteni hapa niijibu. Nataka taifa langu liamke usingizini na kuachana na haya matapeli ya miujiza feki.
 
Kila siku kualika watu waje kwenye makutaniko yenu ili wapate miujiza ya uponyaji. Slogan zenu za WAGONJWA WATAOMBEWA nataka muonyeshe kama kweli huyo Yesu Kristo anatenda kazi pamoja na ninyi basi: 1. Fufueni wafu 2. Waponyeni amputees ( watu waliokatwa miguu au mikono). Msilete hadithi za kuponya kisukari, ukimwi,kansa, ugumba etc. Hayo mawili nimewapa mtihani. Mkishindwa nawashauri wafuasi waachane nanyi. Kama mna hoja yoyote leteni hapa niijibu. Nataka taifa langu liamke usingizini na kuachana na haya matapeli ya miujiza feki.
Dini ya kikristo ina rundo la matapeli
 
Back
Top Bottom