Niombeeni ndugu zangu, nina ugonjwa wa ajabu

Hako ka "kipele" tafuta mtu akukune.
Raha ya kipele ukunwe na anayejua kukuna haswa.
 
Na wewe uamini wasema kama kweli ikitokea ana maisha hayo
 
Pole sana tajiri natumai utakua US ukipata matibabu
 
Watoto wengn waseng kwel [emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Wewe inabidi uende Roma ukaombewe na makardinali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…