Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri si Simba na Yanga,ila walikuwa na idadi fulani ya wachezaji kati ya 3-5,suluhisho ni kusimamisha ligi.huwa ipo kwa simba na yanga na sasa hivi azam ila hawa wengine wanaendelea kucheza..
na hilo wazo lako ni zuri sana na ni endelevu..
Nafikiri si Simba na Yanga,ila walikuwa na idadi fulani ya wachezaji kati ya 3-5,suluhisho ni kusimamisha ligi.
<br />Hata iweje timu hizi lazima zibebwe tu,ama kweli.
<br />
<br />
kwani nyie mlıkuwa mnataka nını?
Mkuu, lini uliwahi kusikia TFF ina kalenda ya kuendesha shughuli zake! Mambo mengi yanaendeshwa kihisiahisia tu.Hiyo ndio itaifanya ligi iwe balanced.