Nionavyo Mimi: Wanawake ni Mashetani na Waasi toka Bustani ya Eden

Mama yako mzazi anasemaje juu ya haya maoni yako dhidi yake?
 

Raha ya mwanaume awe jasiri buana🙄🙄🙄
Woga ni dhambi
 
kibuti huwa kinaumaga
 
[emoji46][emoji46]
 
Umeongea mambo ya msingi tu
 
eee bwana eeee!!!....kunywa bia tano na K-VANT....alaf shushia na nyama choma,,nikitoka kwa job naja kulipa.........."YOU ARE GENIOUS"
 
Hata mbwa ana beba mimba na kuzaa
anazaa mbwa hazai binadamu maanake wewe ungebebwa kwenye tumbo la mbwa usingekua hapa JF unabeua dagaa wako wa juzi ungekua dampo keko unakula mavi yetu binadamu so its a privilege kuzaliwa na huyo shetani aliekuzaa kashetani kadogo for snake can not bear a lizard..boma liwanza
 
Tatizo wanaume wa sasa wanataka kushindana na wanawake
Wanataka wanawake wafikiri sawa na mwanaume hiko kitu hakitakaa kitokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…