Nionavyo Mimi: Wanawake ni Mashetani na Waasi toka Bustani ya Eden

Tatizo wanaume wa sasa wanataka kushindana na wanawake
Wanataka wanawake wafikiri sawa na mwanaume hiko kitu hakitakaa kitokee
na hawajui kuwa ile kutakaka kushindana nae tu ni tayari dalili ya kutojiamini kujifil low and inferior
 
Hakuna haja ya kublack mail each other kwa ajili ya kuzaa. Kama mtu ana zaa haimaanishi ndio awe na character za ovyo. Mbona wanyama wanazaa na hawawavunjii adabu madume? Wanawake bado kidogo itaibuka vita kati ya mbwa na binadamu. Maana mbwa ataonekana wa maana kwa mwanaume kuliko mwanamke.

Wenzenu waliokuwa civilized mamia ya miaka iliyopita wamefikia hatua ya kuamini mbwa kuliko mwanadamu haswaa nwanamke.
 

Hapa na mama yako akiwepo au ?
 
Nt
ntakujibu kesho wewe ni kiporo ntakupasha na moto wa chini....
 
Pamoja na hayo yote uliyosema bado ni mama yako na ataendelea kuwa mama yako na mama watoto wake. Pia kuna wanaume ambao ni makatili sana.
 
Yani ww utuonavyo na sisi ndo tukuonavyo.
 
Adam alifanya mistake ya kumlaumu mwanamke kwa makosa waliyoyafanya wote.

Naona hilo kwenye post yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…