Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
- Thread starter
-
- #21
Nitumie namba yako PMNjoo Kkoo nakuuzia PLASTIC TRAYS za Mayai @ 1300 TSHs, wewe utauza Tray 1 kwa 2,000!
wow, asante sanaWeka asali, mafuta ya kula jumla na rejareja mkuu
Mungu, yupo pamoja na mimi, one day i will be a rich person..Mkuu we ni maskini Sana Sasa hpo mtaji unaonekana ni laki 5 kiufupi we ni machinga na ofisi Kama choo Cha stendi!
Hii ya mafuta, safi .. maana nimezungukwa na mama ntilie , na wauza mihogo, na chips..Tomato sauce size zote kubwa na ndogo, foil papers, take away za plastics na papers,mafuta ya kula yakupima Lita moja etc maana hizo product's zinaendana na wateja wengi wa mayai
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utakuwaje tajiri kwa kuweka picha za marehemu alietoa uhai wa polisi wetu!Mungu, yupo pamoja na mimi, one day i will be a rich person..
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
childlishUtakuwaje tajiri kwa kuweka picha za marehemu alietoa uhai wa polisi wetu!
safi sana, hao broilers unanunuaje na kuuzaje?Hongera sana.nami nina ofisi ya mayai.binafsi nimeweka friza nauza na broiler,sausage,maziwa mtindi so unaweza fanya hivyo
Kabla hujaanza kuuza hivyo vitu ambavyo mtu ananunua na kwenda kula moja moja kama asali mi nakushauri rekebisha kwanza ofisi mkuu, yani mtu akikaa nje iwe inamuita, pia jitahidi kupanga vitu vizuri mpaka pavutieNapokea, ushahuri wenu, kuna siku nitaleta mrejesho.. Kuna member, kazungumzia asali, sijajua soko la asali lipoje ?
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Sawa boss wangu, nitalifanyia kaziKabla hujaanza kuuza hivyo vitu ambavyo mtu ananunua na kwenda kula moja moja kama asali mi nakushauri rekebisha kwanza ofisi mkuu, yani mtu akikaa nje iwe inamuita, pia jitahidi kupanga vitu vizuri mpaka pavutie