kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Salamu ndio zilia la Amani
Bob marley-Revolution kama mwanzo wa ngoma,Hapo Jana na leo Kwenu uhuru ni ule mtawaza.Kama ni kuwa ni mstakabali wa uendelevu wa maisha ya wenzenu kwa matokeo bora ya mipango ya mda mrefu katika ustawi wa vizazi na vizazi.
Mwaka wako upi?,mwanga unamulika maadui wa maendeleo huku na huko basi dunia ya leo ipo real situation -Bob Marley na leo si kalamu iandikayo hapa ila kama pepeto lililonenwa na kalamu ya Luka yaani ndani kuna ngano inavyopepetwa na kuwekwa ghalani na hayo makapi yake namna yanavyopeperushwa kusiko stahili, kwake ni ole anayesababisha.
Ila kwetu sisi Hizi ni ngao zetu,hizi ni ngao zetu kwa Afrika na watu wote.Wahenga nakiri nasaha zenu mfano mchumia juani hulia kivulini,Ukitaka uzuri sharti uzurike,mti mkavu hauchimbwi dawa.Akutukanaye hakuchagulii neno na Uvumi wa adui hudumu kwa kilicho bora na debe tupu ndani ndo hupiga kelele.Utulivu wa nyumba mfitini yeye hushinda kutafta kasoro.
Kosea hilo uwe na hekima na uelewa wa namna watu,Kama ni zamu zamu kumimina wasipomimina wao wewe ukiendelea hiyo kasoro kwa uliyemshinda na hao ndo watu,Watu ni majirani zetu yeye Mungu ni Baba.Kwa kumjua mkubwa baada ya Musa kwa kujihesabia haki watu wa Kapernaumu wakamuuliza Jirani yako ni yupi?Majibu yapo,mimi msinitakie sababu,Kama mimi natoa mapepo(nguvu ya ufahamu yale hasidi siyaungi mkono) kwa Yazeebuli huyo mwanamke mkuu wa mapepo(Murder,She Wrote-Chaka Demus) basi wana wenu watakuwa mashahidi wa Adili na Nduguze katika Nchi ya Kusadikika ya maandishi haya,Isaya8 na Ufunuo2.
Yeye mkosaji hana mbinu ili kwa asili yake naye Kazi yake iendelee?Shahidi mwaminifu wa Mungu na mtume wake aliyeuawa kati yenu sikuwapeni katika habari za mji- mjini ya mawe?Maarifa si kuuzidishia uzuri ufahamu.Na ufahamu si tokeo la miguu ya Mungu kwa mja wake kuona huku na huku?Tena niwaambia leo ni mfano wa wale wa haki kuwapo kuyafuata mapenzi ya baba walipo watu,Je ni wapi Mungu hana watu wake Kabisa?Mwalimu tuoneshe kwako unapokaa, aliulizwa ili wapate kumkamata!akajibu,mbweha wa porini wana pango lakini mwana wa Adamu hana hata pakuweka kichwa chake.
Haji mwizi(atakuja kama mwizi)ila akikukuta ndani umelala na kuna silaha [Leo neno la kushinda vita] pembeni hapo atakapochukua silaha kwanza kisha atakufunga na kuondoka navyo vyote vilivyo ndani mwako.Basi Kama mimi nilibusiwa na nikasafishwa miguu yangu kwa machozi ya yule Kahaba ama pale kisimani bondeni kama mnakumbuka nilipokuwepo na yule mwanamke nikimuuliza habari za mumewe na ile namna alivyonijibu wakati huo wanafunzi wakija toka walipotoka huko mjini kutafta chakula ili Wale,Hawa wao hawakupata mashaka nami,bali leo ninyi mwasema mimi sifai kwa hayo, na uvumi huu upo mpaka mjini kwenu nao wamegeuzwa wakageuzika.Wengine wanasema sifananii kwa sababu nakula masokoni ovyo ovyo kama mtu asiye na ndugu(Quruan isomeni 43),Kwani hamkusoma maandiko?,Mungu ni wa mpango, wengi watakuwa pamoja nami katika ufalme wa Mungu utakaoshuhudiwa badae.Hapatakuwa na space and time ila mwanzo wake ni yeye Mwenyezi Mungu.
Hakuna bidii ila iambatanayo na kusonga mbele kiupendo kwa gharama ya kuumia au kuumizwa na wasiojua maana, Mungu huwatafuta watu walipo ili kuwa pamoja nao siku ya mwisho/kisimamo.
Mbona mnasema No research No right to speak,kama hivyo ndivyo yanini kujichetua ikiwa Highest form of research is imagination au Kujishauwa tu Kama Coran isemavyo wakati hapa kwenu Nipashe ndo mwanga wa jamii,hivyo tukatumie namba moja ya Mtanzania huko kwao 14 hao mimi nilisikia hivo nami nikafurahi katika habari ya Raia mwema ni Vitendo kama visemavyo vitabu,mimi nawaambia Mungu hapendi shobo kumbukeni Rai yangu aliyelaaniwa kwa Nuhu si yule ambaye alijiona haki kushindwa kusitiri aibu ya baba yake,Mungu ni wa neema mana yake nini?.Tena Mwananchi mafumbo haya ni mazito kama yale ya uzazi,Time will tell-Bob Marley,kwa ndani ya mikato hiyo mimi ni mwanaHALISI katika Uhuru wa Taifa imara ya kati ya ujamaa na ujamaa wa kidemokrasia katika misingi kuja kwa nusu uliberali-uhafidhina na nusu uliberali hapo sisi sasa ndo watanzania Daima.
Mungu pekee yeye hukumbatia wanae kama kuku akumbatiavyo vifaranga vyake.Oneni na mshangae kwa mzee huyu "Nataka kufa bila kukuona ewe Mungu kwa nadhiri niliyoiweka kwako katika maisha Yangu"Yaani nisiwe mtu wa kuanza au kusababisha ugomvi" yakawa hivi(Huyo mzazi na kile kiume kichanga toka muda alichokizaa ndicho Mungu,yeye hufunua kwa ampendaye ili ulimwengu uokolewe).Wala Mungu hakutaka yeye kujua katika elimu ila kushukru mbele ya mbingu kwa furaha na kuifanya Ishara ya mchana mwanga wa milele utuangazie e bwana.
All in All you must know the beginning of the universe through God first others left behind will be simple.Je utafiti wa mifumo watu kuiondoa akili elekezi kwa kizazi kijacho leo haujafanyika majararani/Sehemu iliyopotea zaidi njia kuliko kwingine?Ni yapi yaujazayo mioyo yao?Wao na sisi tofauti,sisi ni warumi katika tutendayo na tusiyowatenda,Warumi7 tena ni warumi12:14 kwa Habari ya vitendo katika neno lile lile lililokuja ndani mwetu kwa nguvu ya roho,Yule roho ashukaye na abadilishaye hayo ili sisi tuwe wadhaifu katika habari ya mwili na imara katika kuyafikia mapenzi ya baba tuliojengeka katika Misuli ya imani iliyo leo ndani mwetu.
Kuhusu upendo,Mungu wa mbinguni ndio mwema siku zote naye kwa upendo wake kwenu humtoa hata mwanaye wa pekee kwa ajili hiyo ili kila amwaminiye asipotee[kufa kufaana], na huko ndiko huleta kuokolewa kwa dhambi ya ulimwengu katika utimilifu wa mafunuo ya mkono wake. Waga Halighaliki la babu bila ukungu mzito,na utamu wa ngoma mpaka ucheze mwenyewe,pilipili usiyoila yakuwashia nini? na uzuri wa khanga waga si utamu maneno? fuga hata kuku tukujadili),Maneno ni dawa kwa mwenye imani na yanaua kwa asiye na imani.
Uhuru na Umoja kwa Adamu na Hawa ni ninyi mabibi na mabwana.Naomba sasa kwanza kuwasalimu kwa salamu pendwa .Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Itifaki imezingatiwa kwa kutambua uwepo,tena kweli ndio vema na haki Wanajamvi na wadau wote wa kuamini dunia kuanza ni kwanza mamabadiliko,Tutawaleta kwetu sasa kati ipo kazi iendelee.Lisilobudi hutendwa Mashariki na magharibi,Kusini na kaskazini,ngoja ngoja yaumiza matumbo na Uzima ni uelevu kwa mapito vidonda na tiba ni tulichokuwa hatukijui kilitulea usiku wa giza,ile nuru tiba ni ya alfajiri ya hiyo nyota njema ijayo na asubuhi takaso.
Kale ni dhahabu,uzee ni dawa.Na pengo halizibiki Kauli kufariji huzibika katika uungwana ni vitendo na siku moja yashinda masiku mengi hata miaka 430 hata ile 2000[400 years-BOB MARLEY].Na Kwa Mungu ni marejeo(The day will come-Capleton),Ni beberu wa namna ipi huyo(mfano wa mwanzo wake si utimilifu kwanza wa 95 ya Wasilah na Mkono wa kulia si wa utoaji?Je shughuli gani bila yeye wa uso/chapa hiyo ifanyike katika biashara za kimataifa?) na hicho ni pamoja katika moja kitokacho magharibi ya uso wa dunia nzima bila kuigusa nchi kuja kwenu katika mpangilio huo(Chanzo cha maendeleo ya millennia huko mbele)
Kipepee sasa because kwa uso mkali chenye kama pembe kati ya macho,pembe yenye macho ndani yake huweza kuyaona mafumbo, kwenye fedha iendeshayo mfumo wa dunia nzima.Now days si bloodshed in Africa only, wewe shahidi vipo world wide roho ya nabii Elisha ewe Alpha blond, nimekuita hivyo kwa sababu ya waebrania 2 ambayo kwayo kwa maumivu mpito(mystic night move-Alpha blond,2wafalme2) yalivyounguza uso wangu mimi Sina hata ugeni nayo, yeye ametupa kikombe kile kile walichonywea ndungu zetu katika Kristo ama wale wa Musa,Daudi na hata Adamu ili yawepo matunda yapasayo toba toka kizazi kwenda kizazi.
What happened after the attack in Northern Gaza 2024,cry in Ukrain,Palestina,Israel,Myanmar,North Kiwu,Democratic Republic of Congo in east zone,South Sudan and too many places to mention.Thus, Peace of mind is now more prices, let us back to our ages,Ages of holy spirit. Who can win the war?Pray for peace,Pray for peace America,America to all please pray for peace,Africa pray, no rank of it,don't afraid of civilization or development think deep about world without you and you will realize that you are not alone( Bory samory-alpha blond) for the truthfulness of the word 'simplicity is eternally' civilization or development.
Kwa hiyo ninyi mabibi na mabwana kwa Msingi wa kiroho katika maana kuwa hizi ndizo ngao zetu Afrika na watu wake,basi kwa msemo wa vijana wa kiafrika waliolelewa kwenye majangwa ni kwamba wao wana watu.Na watu ndilo umbo la maendeleo mwambatano na uchaji wa mungu katika jinsia usawa ili kuleta mwendelezo wa uungwana ambao ni zao baada ya kutambua kuwa nyakati na makusudi yapo hata kabla yenu enyi mabibi na mabwana wa hapa kazi tu.
Ile inayoendelea Mungu aijalie iambatane na ungangari wa Haki sawa kwa wote isimulize tu mbaba wa watu Ibrahimu Haruna Lipumba kwa kushindwa Kujibaraguza kumpa hata moja yake katika maelfu ya watu jimboni.Tena isiwe tu Kundi dogo la zakari 13 hapo 7 kwenda 9 milele ya Rolinga la kulia kila msimu tangu lile Chukizo au katazo haramu la Siasa yetu na desturi.Nyakati zina nguvu,pofuka vyote my son ila siyo ukane Nyakati,Wakati ndo umilele hata ndani ya vyama na wewe kundi dogo kama asemavyo Luka12:32+ nami kama mwandishi ni kuwa Mungu atawapeni huo Ufalme mkiamini kuwa mwenendo katika kila kundi ni wa pekee si kuiga ili kuifikia ile hatima ya Mungu aliowapeni ila upeo wa kimetafizikia.
Mkumbuke sana kuanzia pale hilo katazo haramu ya desturi yetu hilo chukizo la uharibifu namna Mungu alivyochukia wakati miaka ya hesabu ya masiku yale hiyo ili nanyi mkawakumbuke kwa kweli ya Mungu watanzania maskini na ndugu wote katika roho moja,wajane na mayatima kama ndugu zenu hata waliolala huko Kigoma Kina kaburu Walid Amani wakiwaacha wa kina Kali kama maliwali wateule na vijana wa vyuo huko Morogoro na wengine mkizidi katika mwendo wenu,maana kwa ajili ya mateso mazito na kukataliwa kwao Mungu akawa pamoja nanyi.
Endeleeni mjinyimavyo kwa kile mnachokusanya ili kwa hivyo kazi muipeleke mpaka mwisho pasipo kurudi nyuma,Tena,tena vijana waaminini wanaowaongoza maana si bidii ili wao kupewa heshima nanyi bali wengine kwenu wamedharaulika sababu ya kumuishi mwenyezi Mungu kama atakavyo,yaani ufahamu katika being na general knowledge ambayo haya ndiyo ngao ya hekima yote katika uongozi.Msiwatilie Shaka kama mmewashuhudia kwa kazi hata vinywa vyao vimeunganishwa na Mungu ndani yao ili mjapo kama wao nao wakawapeni Baraka iliyo ndani yao kama wao walivyopokea kutoka kwa watangulizi wao, kwa huyo Mungu mmoja ambapo nyinyi mmewashuhudia.
Hakuna people's power watu watakayokoroga kama hawataujua wakati bali kama ile Harambee, Kenya ni motto wa Hizi ngao zetu,kwayo ni nguvu ya roho mtakatifu iliyo ndani yenu ndo ushindi wetu katika umoja.Yapo magumu mengi ambayo wawaongozao ninyi katika nuru wamelalamikiwa,Lakini Mungu huamua mioyo ya wengi kule atakapo ielekee,Kumbukeni baadhi walipoanza Kuwaona hamuwezi kule nyuma na saa yaja hawatawaweza maana Huko wapo waliowalilia ninyi msonge zaidi,hao Kirimanjaro Revival Choir-Mbona waogopa sasa.
Wakiwataka mjipe moyo msichoke enyi makundi yote Hasa mtiio kwanza msikiapo sauti ya wenye mamlaka,nami ni mfano wa hivyo katika Sauti natanguliza imani, watu wote watafutao pumziko kwa kuwa safari si ngumu nyakati zote,Na kwa ile kauli ya tatu kwa mkuu wake kuna milango iko wazi japo ile ya demokrasia imeonekana bado ni ya matete(huenda nao wanajisetia) kwa kipindi cha Novemba kilichoshuhudiwa mwanzoni Desemba(Ca me fait si mali-Alpha blond au kama hao Solar system walipotangulia kulia na skafu za utaifa shingoni mwao).
Basi mlango wa Afrika ulikuwa wa matete(haujiseti automatic) nilioambiwa nipande ulikuwa na picha za wagombea kama wale wa mfano wa wakosao kwa jinsi ya vitabu katikati ya mbingu,ni ule wa Ufunuo4 huko na lilianza kama Jua katika mfumo ulio katika uwazi wa mlango wa kwanza uliofungwa na sauti za mwangwi,maneno kama hiyo ya roho ya Elisha zilikuwepo nilipopanda ule wa pili,hayo ni kabla ya lile kusanyiko la wenye haki kwa yule aliyeonekana kama kachinjwa huku muongoza kusanyiko hakuonesha vidole viwili ila vinne kuashiria wale wenye mabawa katika nchi ya uvumi(Basi sifa zivume).
Wasihini watu wote kuwa Mungu wa mbinguni ni mmoja(God is One-Alpha Blond) na wala hana upendeleo ila kwa majira na masaa Jua huonekana katika safari kulingana na hayo yote sehemu baada ya sehemu katika sifa hizo hizo.Basi huenda watu wa wenye uhai watatu wenye mabawa sita kila mmoja wanaijua kuwa ina uwezo sasa kuliko kingine chochote,japo hayo bado katika ukamilifu wake wa moja tukufu lakini yanini sasa Watuvunje nguvu na utatu mtakatifu wetu.
Nawaandikieni hayo kwa maana nilitamani sana kuwaona toka mwanzo wangu nikiwa katika furaha ya mwili pale Sangara ilipotakiwa kuchalambwa kwa pita makini slaha mkononi hapo kabla ya kushiriki meza ya dhabihu kwa usiku mnene ila nikazuiliwa niipate kwanza hiyo muitamkayo kukicha,ile Haki ya Mungu yote iliyo kwa wote kama namna ya Mungu ili nami niwe kama watangulizi wetu, kuweni waaminifu kwake na kwenu na wajao hata bada ya hapa duniani.
Nilisononeka kwa hali iliyokuwa kwangu moyoni hasa nikumbukapo ubora wa kimwili enzi zangu zile,kama ninyi mkumbukavyo katika nyakati hizi za haki hiyo ya kuwapata tena wafalme wadogo maana chukizo la uharibifu lilinibwaga mbali(kwa nini kukaa pasipo lipasa?),Wawaongozao ninyi watiini, Japo mimi muda huo nguvu zikaniishia kabisa mpaka pale Mbilia Bel-Nakei Nairobi ndipo akanipa tena nguvu ya majira ya nyota moja kama Che Guavarra kwenye paji langu wakati wa jioni tulivu katika shida za Dunia kwa jicho(insta) la Gram, Milango iliyopo sasa ni miwili ila ule wa uzima ndo tuongojeao wote katika shida za mama kwaya(Zaburi 10).
Na Kwenu hayo matendo ya haki ndio yaletayo ibada ya mkao mbandano na ukirimaji wa bubuji la kupwa na kujaa kwa haki na dhuruma,ule ni muda uletwao na wanawake wa Fifty,Fifty yaani haki sawa kwa wote na ni cheo cha juu cha Mungu kwa watu wote katika mlio mtetemo wa mfumo wa Jua wenye series na sequence za mwezi mwonekano kamili[finite] wa wajumbe mabubuji katika mnemeko tungamo utakao kuwepo(rastamass) na kani ya vizazi katika mambo mbashara (Bangoza anasema 'anatisha' kwa watu wa dhuluma ukimuona) baada ya masiku ya mafumbo na siri nzito yaletayo mwendo pale pale tu,kuna mchakato tunausubili ndo mwendo wake ama ile ukila na kipofu usimshike mkono yeye atapiga makofi huku wewe wala kwa hizo nderemo na vifijo.
Hedaya ni kutambua uwepo kutoka kwa wananchi na dhabihu ni kule kukubali yote kwanza kwa ajili Mungu, ile ya Russia,Brazil,China India na kote Kusini mwa Afrika ni muhimu na haipotei 2024 kama ni ya watu warefu,laini kwa ngozi watishao toka mwanzo wao hata 1871 tunawakaribisha leo kwa ushujaa wao katika nchi ya uvumi wa mabawa(Ufunuo wa patmo mabawa ni matatu kulia na kushoto kwa kila mmoja katika hao watatu wenye Tanzania na ile moja ya Tanzania nakupenda pale mara70,hata leo pamoja na umati kwa ishara ya pembe za kondoo Hapo Georgia na za Mbuzi hapo Pennyslavia zote ni fiko la mlimani na 60 zetu.Basi kumbe sasa Mungu ni mwema kama asemavyo Mercy Mwasika hata kwa hao watu wa warefu wa Nerthaland na hizo ngao zao,Mercy masika-mwema 🎵
Msawazo pasua kichwa hata chini ya miaka kumi na nane ni umri wa uamzi wa kura kweli ?(Chukizo la uharibifu mahala hapo hapalipasi kuwepo kabisa).umbo la tofali za Mviringo Maombolezo kwa aliyekuwepo,Yupo na ajaye katika mkao mzunguko kuileta pembe saba ufunuo mataifa zaidi ya 23 umbo fedha heshima ya uchumi wa kisasa ya kurudisha nchi za Maryland[8.dece] na serkali ya mapinduzi[Of the war-Delaware] na nyingine zote katika unganiko bora kiminellia mfano wa 706,Yaani kama Nuhu katika Gharika kila zama sawa kiumri na mjumbe afanyavyo kunusuru kizazi kitesekacho na dhoruba za wenye ulimwengu wao.Kumbe hata heshima ya mkuu Gh'onela[Bathoromayo] baada ya kuipokea dini yeye naye baada ya kulila hilo gombo la chuo Kinywani mwake alikuwa ni mtamu kama asali na kwa hilo alijisikia uchungu kwake kwa Habari ya tumbo,huo ndio ulishuhudiwa kama udhaifu na ugonjwa wake kwa mtazamo wa kibinadamu na nguvu yake katika uwepo wa Mungu.
Mariam naye mwamba kinywani kila mara kuiona elimu dunia ni kidogo tu katika habari ya haki kwa wengi katika mwelekeo sahihi akimlilia huyo umbu lake,kinywani yeye kizaa bibi kwake umbu la Lukas huyo alimuita msomi wa wasomi],nimeona nini sasa mimi Batho?.Nilianza na ujinga uelewa ukaja badae,Kumbe tunaishi kwa kuyatafuta yaliyojificha ili kuipatia dunia tiba ya asili.Hakuna tiba ya asili ila kila familia ikujua haiba yake ni utukufu kwa Mungu.Na mti uliopandwa kando kando ya maji hukua vema na kwa majira yake hutoa matunda mazuri na kila kiumbe hufaidi uwepo wake.
Basi sasa hata mimi nimeelewa kumbe HOLY SPIRIT IS TRANSFORMED FROM ONE GENERATION TO ANOTHER tena ndo msingi/masada/nguvu wa mafunuo usiopotea hivi hivi toka vizazi na kwenda vizazi kwenda kuipeleka dunia mahala takiwa.Kuijamini Marium ongozaga, kumbe mamah hawakukuelewa,Mimi hakika nimekubali kuwa wewe ni Mama kwa neema nikawa mimi Leo nakusoma nakuelewa katika vitabu na kuyaongezea macho yangu ya kichwani ufahamu na maarifa kinywani mwangu,na nafrahi kwa hongera ya kuwa na picha yako ,Sikupewa mimi duniani ila kama wengine walivyopewa na watu wa Mungu ambao kwao mimi na wewe tulibishana.
Kwa haki yote nayaona na Kikombe cha meza(dhabihu) nimekinywea(nikisogezewa huo mkate na hiyo divai),nakula bila kunawa hivi leo,kumbe hapana sasa ndo Yayaloulou na divai niliotengeneza mimi katika siasa yetu na desturi niliyoipokea kwako ewe mama Tanzania ni ile ya kujaza yale mabarasi sita kwa namna nakuotaga pale nilalapo na niamkapo yaani heri mama wewe maana Mungu ni wa wote vizazi na vizazi,Kama Mwalimu Nyerere ni Mhifadhi basi Uhuru kwa umri wa Franklin Benjamini kweli DUNIA ya kaisari tumpe kaisari,Fedha moja ndilo tumaini letu leo, na sababu hii ni ya Magu kwetu iliyokuwepo ushahidi hatukutimiza M5 tena nje ya sheria mama katika Second Chimurenga baada ya Ndugu mkapa kutuacha hilo lifanyiwe kazi si hili la mipaka84/85 tu.
Na huko Busumabo ndiko walikolala wakina kizaa bibi hata mimi leo nakiri wao walibatizwa kwa roho na huko walikolala nimepataja si kutaka kuwaamsha walipolala tena kama wale dhamira ya kuwakusanya,hapana, ila nimepataja tu kama wewe ulivyowakiri.Nami niiseme kweli mpaka nizurike ya kuwa hakuna vita kwa viwili vifananavyo katika neema ila vile vipuuzavyo katika neema huikomaza vita.
Nimekuzwa kwa Nishike kitakatifu tu ambacho ni roho ya Mungu katika siku ya Mungu wangu,Tena mtakatifu Paulo kwa waebrania6 naye imeniambia kazi hizo za miujiza hazina uhai sasa na niziache nikitafte kwanza kiini cha mambo yote ya ukuu wa Mungu yaani Kwa unyenyekevu kama wale wa mwanzo kwa Mungu wao nipatiwe Mafunuo(Wonder,wahyi)njia na hatua zangu ziambatane na matumizi yake(Mbinu kisasa), ukikamilika uthitisho(sayansi )nitafute chombo chenye umbo zuri kwenda kwa watu(sanaa) nitapatapo shinikizo la moyo kama ni mara kwa mara( msukumo), kwa safari umo mpangilio wa mda(Time) kwa kila space kwa kila mwendo hatua( velocity).Dunia ya kiulimwengu haigusiki ila kwa mwendo hatua katika kuumaliza mwendo, LOGOS mpya.
Discourse,Basi haya niyafundishe maana ni kweli inayofungamana na Mungu,Yaani kushoto na kulia kote kwake,kama yale ya Miujiza yalifanyika huko nyuma ni kwa ajili ya kuwaita wengi katika meza ya bwana.
Na watu watakapopendana kama sheria kuu walioachiwa basi huo ndio Muujiza mkuu yafaa kila aishiye autende.Nisisahau kuwa Waacheni watoto wadogo waje kwangu nimanishe waje na huo umri wa haiba zao ili kwa mafunuo waishi kama wakamilishi wa haiba hizo kwa hatua katika ujana wao na kwa hayo busara itaambatana nao hadi kipindi kile cha uzee wao maana waliipenda hekima ya Mungu,Na mwisho watalala vizuri maana watakuwa Hawadai na wala hawadaiwi katika Taifa la kesho yao walioaswa na wavaa haki na wale wa tume ya haki na maadili wasifanye kama kipindi kilicholinganishwa na Miaka Saba ya dhiki kuu maana kanisa ni kuwaleta watu katika usawa mbele za Mungu wa mbinguni.
2024 Basi hao 24 kutoka pande zote ndo watu watishao kichwani nenda na moja ( put in) na moja ambao injili ya Luka mlango wa 13:22-30 na ukumbuke kuwa unga ndani haumo na nimeshakwambia sasa America wewe endelea kunifanyia hivo wakati Jah Rastafari -Culture hivi leo.Hivyo ndivyo Mungu huinua wanyonge mlimani Kama isemavyo injili ya mathayo 5 ,Heri yako wewe uliye mdogo maana sasa ni mkuu kuliko watesi wako.Umebarikiwa na hizo ngao zako kwa watu wote tangu sasa na siku zote na milelele Amina, nyinyi ni mabibi na mabwana.
Ni wapi leo Ninawi kama ilivyo katika injili Ya mwandishi Luka,siyo lazima mstakabali wa dunia nzima uwe mahala fulani tu hata mabara madogo kimaendeleo kwa uwezo wa Mungu kabisa kwa hatua za siku tatu na nusu kwa imani yakawa bora kwa ulimwengu huu tuutafutao baada ya mwanzo kabisa,kabisa ya kila kitu ya 2013.Na katika siku kuu ya kila mwaka ni pale mtu akumbukapo kuanza majira mapya kama yalivyoanza baada ya ukamilifu wa miaka 12 ya Yesu ndipo leo yote hufungwa kwanza mpaka wakati wa nyakati mbili na nusu.Na kama heri Mungu atujaliayo ni kuuona mwaka mpya na hayo mambo mengine mapya katika kuanza mwaka,Nimezaliwa mmoja katika moja takatifu nayo ni moja katika kuikomesha dhabihu na sadaka ya kuteketezwa katikati ya juma.Ni nini huko mwanza kama ilivyonenwa na mjumbe mahsusi?Mungu atayujuza yote katika mwendo wa siku tatu.
Haya hata Isaka wa Ninawi(mji zao la ile 666) roho yake sasa iko pamoja nami.Na wote si kwa Mapenzi ya Mungu kwa Kuisikia sauti ya Mungu na kuitii kama Hao niliofikri nimewakimbia?Ukweli una kanuni umbile kudumu uongo hauna kanuni hata umbo, hata baada ya siku tatu unusu kuwa ishara kuu kama ni uongo utakuwa uongo tu,mjuzi ni Mungu wa mbinguni,kwake iwe vyovyote ni uwepo wake kila sehemu.Na Lolote kwa mpango wa Mungu ni sawa.
Hayawi tu yaliyoanza na 1timoth1:12-19 ila yale yaliyotangulia na mjumbe(wa rohoni haswa) athibitishaye uono wa ndani kwa kubariki, kutoa hukumu papo kwa papo mbele ya mashahidi wengi katika kesho ya wote,kuzinena hatua zote na makusudio ya hivi vita na Dalila za ukomo kabla ya hapo ndiyo yaliwekwa vyema kuhusu watu na namna ulimwengu huu ulivyoacha njia.Wapi vijana mpendako katika Makusudi ya Mungu?Wengi wanatisha na kama huna misuli ya imani unakuwa unawafuata kila waendako wakati nje ya njia.Nani Mwishoni 2019 na siku zote alisema biblia imepitwa na wakati?Kama nimekosa kwa hao ila ni kweli wengi huwaza vile kuwa hayo ni mambo ya zamani,Na leo utekelezaji baada ya upekee mkuu wa kujigeuza huku na huku mpaka kukuche kwa ajili ya fimbo hiyo utayakuta mwanza kwa dada,Haya nayo ni baadhi ya yaliyonenwa ili kuja kuyaweka sawa yote(Hekima ni kuchanganua na kuchukua mazuri,yenye kujenga maana Mbingu haina makosa).
Basi msidhani Kanuni hupitwa na wakati(Exodus-Bob marley) na mkumbuke malaika kwa Daudi na mjumbe aliyeenda kwa Muhammad katika hadithi,Je Muhammad[Wasilah] hakuwa anapendwa na watu wengi kwa Tabia zake nyenyekevu katika jicho la wanadamu?Malaika Hakumtambua wema wake na hakumwambia imekubidi uishi kinyume na mtazamo wa watu kwa ajili ya kumpa Mungu utukufu?Na hakipo kinyume leo ila makundi yote yawepo katika uwepo wa Mungu katika hayo rahisi kwa mwanadamu kuyapeleka kwa mwenzake.kwa haiba njema ya Muhammad hakusema kama ni kumpa Mungu utukufu ni sawa mimi niko tayari?
Hiyo quruani68,Coran66 si Mungu shahidi wa kweli wanadamu na yale waandikayo juu yangu?Je kiapo katika Mungu si mafunuo ya mwanzo kuifuata hatima ya mtu kutoka kwa Mungu,Nini kitakupeleka kwenye hatima hiyo kama si mwendelezo wa muongozo wa Mungu katika roho,ndoto,ufunuo,wajumbe na mikusanyiko mbalimbali hasa masokoni?Basi mateso ya Kimungu ni pigo takatifu kwa yule asababishaye mwingine akufuru.Hawakuwa watu zaidi ya 125000 wakitawassuli kila anapokwenda Wasilah?Kuzaa si matunda yapasayo toba?(Kuwa vyovyote ili Mungu atukuzwe),Naye si mti uliopandwa Kando ya maji kama Yusuph?,Je haukui kulingana na majira yake Kama Suleimani?
Basi Coran hushushwa kifuani na hekima za mitume huyaficha yale ambayo haijuzu kuyasema kwa mwanadamu.Na mji wa Madina si mji wa mtume? [baada ya kuwafikia mashingoni hawakulia kifudifudi?] kwa yale waliyokuwa wanayapinga.
Hivyo ndivyo milima husawazishwa na mabonde hujazwa ili kote kuwe kupya[Na katika uislam hadithi inatupeleka kwenye ukweli,Hakuvianza tu vita pale pale ila kidogo kutoka mwaka 594 kupata elimu katika elimu vitendo(hadi 606) havikuthihirika mji wa Yathrib/Siliba/crucify/teta kuharibia ama kupoteza kabisa kama isemavyo Quru9 na quran13?Hakukuwa na vita ila wale walioshuhudiwa na roho pale wanapomkufuru roho Mtakatifu kwa tamaa zao na kujiona bora kuliko mjumbe mahsusi wa mwenyezi Mungu ambaye kwake wote ni sawa.
Basi wapo wa duniani waliokiri kwa vinywa vywao baada ya uchunguzi kuwa sasa nyimbo zote tunakurudishia wewe mwenye mate ya upole ewe mrani/bwana uliaye kimbingu,Mungu awasaidie ili myafahamu mambo yote ili ninyi waterless msivuke mipaka hata wao waliikiri hapo kabla na wakasisitiza usiogope hiyo ni kanuni kuu ya uumbaji wa mbingu,Tena usirudi nyuma na sisi badae katika wewe utatusaidia katika kazi zetu hizi,Je kipimo cha Bob si akili yake huomba ishara?Hakuna ishara ila usiwe wewe 2011,kwa nini kutoka darasani 2012-2015? Mbingu inaweza kukwambia wewe tu,na usiwe wewe 2021 na uwe wewe katika tangu kuzaliwa hiyo 31.12.2022 wazi,hapo ni vema kama mtayachukua hayo yote kwa kesho yenu.Na hawakusema mbingu inataka kwanza uielewe iishivyo?Na sababu ni kuelewa kwanza Mungu aishivyo.
Hapo 2022 si uzazi wa mbingu umethihirika baada ya kukataliwa na nchi ya walio hai,kutupwa nje kwao(Hatumo-Rose Mhando) na badae kupitia Mkuu wa wakuu wote kumaliza mada na watabiri katika majuma 70 matukufu ya kuondoa miaka ya ukiwa?Jemedari mkuu katika siku hizi hajasimama upande wa wana wetu?Sijayafunga kwa ndani ila kingi huchosha kuvumilia mpaka mwisho.Basi sitawaiteni nami wavivu maana mkiwa site nimewashuhudia mnasema kata simu tupo site kwa ajili ya kazi buzy Wawaondolee kasheshe na kama hakuna kazi mnayatafuta hayo ya Mungu kwa utulivu,Hiyo ndo kazi na sala nje ya hapo mtandanganywa sana mara kristo yuko huku mara kule na wakati huo mwisho wenyewe bado.
Tena Rose Muhando ushuhuda wake ni wa kweli kwa huo mkono mweupe kama wa mzungu kumponya unusu mauti wake ulioshuka mithili ya nguzo ya umeme, nami huu ushuhuda ndo mkono wangu unaoandika hapa ,je baba yake kwa kuwa mwislamu haswa ajuaye kuapa kwa farasi waendao mbio(mikimbio ya farasi,Coran90 na ile sura ya 100 na Ufunuo wa huko Patmo hao farasi wapo na rangi zao) hakunyamaza kwanza aione kazi ya Mungu?Mteule uwe macho yaani si kazi yake Mungu kwenu?,msikufuru japo mkumbuke kwa umakini kuanza na Baba nipe uvumilivu hao walionizalisha ndo wamenikimbia.Walipo si wamewaona wazuri sasa mnataka wasemeje.
Haikuwa umbo kumpendeza mtu katika familia hiyo hapo jioni na usiku huo ila sauti pekee kwa huyo mjumbe juu ya ulimwengu huu namna unavyopenda uongo ili kupata masilahi,Msaafu husema wanafitini kwa sababu yapo wanayoyaficha,Nami ni shahidi,ole wa makatazo haramu kwa vijana katika macho ya baba yangu kama mbingu hazijawatapika katika siku ya kisimamo cha ulimwengu huu ambapo malaika watawashuhudieni yale mliyoyatenda.Tena someni vema maandiko na aya za mtume kwa utulivu maneno ya Mungu ni timilifu,Aliyoyaahidi yeye huyatafuta apate kuyatimiza.
Kumbukeni nilipowaambia yachukueni haya yafaa kwa kesho yenu,Muone namna neema ya mwenyezi Mungu kuhusu siri ilivyo kuu.Je uvune chungwa katika mwembe?Asili,asili ni yako nje si pako.Hakuja ila kufungua siri zote zilizoufunga ulimwengu huu na kufungua mafumbo ya imani.Injili ya Kristo na umbambanuzi wa mtume Mohamed haikuwa hivo ila hawakutaka kifungo cha milele yaani hao waliofungwa wakombolewe ni ninyi enyi mabibi na mabwana kwa wakati sahihi.
REGGAE IS STRONG-LUCK DUBE, ni baada ya Malkia Elizabeth085 aliweza kuikubali licha vipofu kuhangaika na KAYA wapate kuhukumu vibaya wasijue sababu ili uwe kiongozi wa kila sehemu kuu kuliko ni lazima kupewa kwanza mwanga wa fikra huru,Na kosa kubwa mpaka mlaji vijiji ni mauaji makuu ya kuwaua watu kifkra.Kambarage975 akiwa hapo Zimbambwe alikuja kuthibitisha Kuwa Mbingu ni Fumbo la imani mwenye kufumbua huwaleta wengi pamoja.Na bado ni mtambuka kwa draw bad card ya Marley kutoka mwanzo hata kizazi cha Babylon system-Bob marley kuileta 52 nyaraka ya Isaya.Na uamzi kuwa bora ya ufunuo 18 na tukiaminicho ni biblia na msaafu kama asemavyo Alpha Blond-Jerusalem is here I'm.Kutembea kwa mpango wa Mungu ndiko huleta maendeleo na Kiapo cha ufunuo yote yamewezekana hivi leo.Na nani sauti ya umati wa watu kama asemavyo Daniel wa babeli aliyesema Babeli mji mkuu utakuja kuanguka, si ile sauti itelekezaye wito kujibu wakati wa Muumba[Victim-Luck Dube] enyi mabibi na mabwana?.
Shika kitakatifu siku ya Mungu wako ndo hiyo kutoiba,kusingizia,kusema uongo,kuzini na kama binadamu kwa ufahamu wa juu hilo razini tunuku ni ile kutoacha kutotimiza wajibu ujao baada ya upambanuzi wa vizazi na vizazi maana siku zote hata Jumanne na Alhamis ni za Allah.Na mjumbe huiweka wazi neema na hukumu kwa wale wavunjao mipaka ya sheria za Mungu/al kitab na chetu ni kile cha nabii Daniel.
Basi tufanye hivi Hivo ili tuitimize sheria yote ya UFUNUO 22,Rule this land-burn wailer Katika uungamo la National anthem of Jamaica.Katika tungamo la ndege huvuna asichopanda,Mwongozo Patmo kisiwani ndiko fumbio la umono.Umbile ni kuzi mtu yuko nalo tumboni,kiwango cha mjongeo kuutafuta muda rasmi wa muwako wa moto ndani yake baada ya baridi kali,Bob marley na wailers ni kama Yesu na wanafunzi wake, We come in,from cold, the village mentioned katika kanuni ya mienendo na krasia za demo kuileta haki kuhararisha itifaki ya maumbile ya freeman kwa wazoee kwanza..Hakuna freeman ila kama isemavyo National anthem ya magharibi ya dunia nzima wa hicho kirukacho kuijaza na kuifunika mbingu yote baada ya siku tatu.
Umekuja moto utarudi baridi ,ndo nakujibu na kwako vice versa is true sitaki nichukiwe na Mungu ewe Sweet Fanta diallo na hivi sasa nasema rainbow in the sky kama asemavyo Alpha blond katika hiyo myangi miwili,hivo basi tambaa lisilo gusa nchi hiyo ndo Jehova-Nisi,Sweet Fanta diallo wote wakawa wako maskini na matajiri,nione basi unakubali kuwa sehemu yangu kwa ujasiri wangu,wa za hapo sawa-Prof Jay.Furaha ya mgunduzi ni mwendelezo wa kugundua na Furaha yake mpandaji ni mwendelezo wa kuotesha mbengu, kuweka kweli wazi mambo kama yalivyo ni uhuru kwa wengi na kuhusu mengine yana wengine vigumu kufanana,Mungu hakutuumba hivo enyi mabibi na mabwana.Kamkumbukeni Timotheo wa waebrania ni kwa nini yuko huru(freeman) sasa?Si mwana mpendwa wa Paulo katika imani?Na magharibi walikuwa hivo nyinyi bado mmefungwa na mitazamo ya binadamu ndani yake kuisahau asili ya wale walioko mwandani kwenu.
Katika kusanyiko viwili kamato fedha la tarehe 22-24 Mwezi Esta kila alie hai ana mabawa sita na itifaki yake ni ngao ya mwongoza kusanyiko.Na hizi ni ngao zetu Afrika na watu wake.Je Mungu hajabariki kiumbe kirukacho popote?Kwa kukipa kichwa, shingo na ndo yaje mabawa kwa kila kilicho hai kipaacho juu?Kitila Mkumbo atasema Kama viti 24 ni mkao dunia kuvitafuta viwanda katika Dira ya miaka 1000 ijayo Katika hayo maombolezo ya wizara ya mipango.Basi ana heri yule atakayesubili mpaka mwisho,ipo siku ya bwana itakayoambatana na kweli yote,Na uongo huua Taifa dhahiri.Tulia wewe ulimi moto upo udongo wa Kinamo,Fumbo linaloishi Tangu vizazi na vizazi husema Yote yaliyomo duniani na mbinguni,Na yote ni kwa uweza wa bwana enyi mabibi na mabwana.Nasema hivi,DIRA NI MAKUSUDI FIKA YENYE MATOKEO BAADA YA KUKIISHI KIAPO katika Rainbow country-Bob marley.
Naye huyafanya yote hata tangu kuyaweka ndani ya mtu,Baada ya Yona huko Ninawi ni kuo la Kusini mashariki mbili mbili kwenda huko kaskazini magharibi mbili mbili ili National Anthems zote zikiri kwa dhati,mfano China national anthem,Japan national anthem,Lesotho na kote yamekuwa hapa leo Mashariki ya mola mlezi baada ya itifaki ya Mungu(makubaliano ya kimahusiano kwa mataifa) kama kanuni ya mienendo toka kizazi kwenda kizazi ili shangwe ya together as one kama hivi leo na baada kudharauliwa,kukataliwa,kuchukiwa na wana wa Muovu wa fikra wa ulimwengu huu,Itifaki iko hivo, Isaya53 kama ufafanuzi wa Masada-Alpha blond.
Mataifa kitanzini na watu wake kukosa furaha kuwa na huzuni mda wote sababu ni wewe ewe mlaji wa vijiji kwa sababu ya Kundi lenu ni kuchukua nyinyi tu kwanza mapema yote.Tena Mtu haandikiwi mafanikio tu,hata kifo ni tamko la Mungu. Na torati ni kuzaliwa maandishi uhusiano endelevu wa watu na agano jipya ni mwendo mpya katika ulinzi mtakatifu wa kanuni dumivu enyi mabibi na mabwana.Hawi yule mtu atakaye mtu ila usonji wa mtu/stoicism ili maandiko kama ya Mtakatifu Luka kuuwasha moto uliowashwa Yawafikie wengi katika malezi na makuo ya mataifa kindugu kuwafungulia hayo mawingu machoni wengine kuwa kile mtu wanachotaka wakapewe katika yale msitahiliyo na mwenyezi Mungu.
Hakuna mapinduzi ila muono wa mbali kufuatana na sheria kuu,Utii kwanza,Huo ndo urastafari fika.Kukubali kwanza ili kuileta haki yote katika macho ya kuupambania usawa.Na hapa yupo aliyepimiwa msambamba wa mambo yote mema na mabaya katika umbo na shahidio la ukomo tukufu wenye sadikisho wa jicho la milele katika umbo saba lako ewe na kote mabibi na mabwana.Tena msifikri dunia ni mali au fedha ila hapo lete kama tulivyo na Mungu huyaleta yote mtakayo ama heri au shari kulingana na watu watakacho kila muda ufikapo.Havitavuliwa viatu vya matope kwenye miji iliyopotea kama Mediani Misri pale kwa baada ya Musa ila kwa wito wa Mungu viatu vitavuliwa mahala patakatifu pa Mungu,Huko wapo wavulana na wazee bikra wasioguswa na majini[asomaye na aifahamu Coran].
Jitenge kuwa kiumbe kipya na mazoea ya walimwengu maana mtu ni yale yaujazayo Moyo wake,Mfano ya haya ni Mbegu katika udongo mzuri na chachu katika pishi ya unga kwa huyo mwanamke huo ndo ufalme wa Mungu katika mti wa ujuzi wa hayo.Na ikulu ya Kambarage ni ile wataitwa wachamungu waingie humo pa amani na salama si Kwa Kukijua kiarabu Bali kuujua umoja ujao kwa kizazi katika mafunuo kuyafungua mengi.
Nini huo umoja ?si kuanza na shauku,nini Ari mpya, nguvu mpya na Kasi mpya? Ari si roho ya mwamko wa sasa?kumbukeni ugiriki na khristos (Chr-ist-British English ) badae waje kina monoskin wa umaskini hao Rastaf(ari) wamiliki wa leo.Nguvu ni huyo roho ndani yetu na Kasi ndo Eneo hatua kwa Muda.Na ajaye humiliki vyote basi kutakuwa na mmiliki wa wamiliki,huyo ni mkuu wa vyote navyo hutoka kwa idhini yake, Huishi katika umoja na wajao kwa kumpenda yeye katika Haki yake.Mfano anasema mdau,Maneno mengi hunyumbulika na kubailika kulingana na majira,neno kama Geologist anaweza aitwe Geologar na Mkemia aitwe arikemia,Katika kuheshimisha sifa za mwanzilishi wa mafunuo ya ulimwengu(Herufi saba kioo, zenye tatu takatifu mwishoni) Herufi tatu takatifu zipatikanazo katika mwanzo wa mafunuo ya siri ya Mungu mfano kwa wagriki hata walatini zilikuwa Herufi saba kioo Kila majira kama tofasri sahihi tukupayo ya msingi wa neno kutoka katika lugha ya watimilifu katika neno yaani uasisi wa elimu Sayansi katika Mungu (most- ar-mmoja wa juu zaidi katika kumiliki).Basi huo ni mfano katika upya.
Mpangiko gani mpya uje,Je ni Riwaya mpya ya mpangilio wa Dunia,nini ni Bob marley-Slave driver?Hutoa kwa Nyakati na makusudi ufunuo wake,Wala hapangiwi kama mtu atakavyo,Tena huo uso wake ni hiyo hedaya ya magharibi ya dunia nzima mnayosema inawatafuna hasa Ulaya na Asia.Haki iko kwake ya kumtimiza mwanadamu kama yeye atakavyo kwa muda wake awe mwenye haki zaidi.Huko Brazili 18-19 Novemba hatuandiki siku moja ila majira na nyakati,na kwa nyakati na majira ni ulimwengu wa haki na sayari endelevu ili kujitoma katika njia ya vikwazo vya mlimani,Ni nini basi njia ya vikwazo vya mlimani?
Ni namna gani ngumu mtu kuifahamu kazi aliyowekewa ndani yake katika mwanga saba Amerika ili kwa hiyo awe mkamilifu mbele ya Mungu.Nini mwanga saba? Si 1,2,3....na 666 kama mwanzo wa mpangilio wa hawa wa huku sisi wa kule tukiamini tutakutana na huyo ndo Ninawi?
Basi Kwa elimu shuka Devis corner tayari Wametandika kwa maua mazuri kwa umbo la Mathayo21;9,Karibu Temeke MOUNTTHOMAS NURSERY AND PRIMARY SCHOOL pazuri kwa watoto[Oh Africa-Akon],Leo yupo na Majaliwa huyu Lady liberty awamu hii kasimama kama Benjamin Franklin, alipo kashikilia hasa na anasema COME AND EXPLORE THE BEAUTY OF TANZANIA,msiikiko wa tarumbeta lenye macho na uso kama wa mwanadamu[macho manne pichani] Nenda na moja kichwani Katika kuimarika kwa Kihunzi cha ngao ya Taifa ya Urusi,maana ubora wa sauti na jumbe katika sanaa zenu sisi mama zenu hamtununuliagi chochote mnatwambia tu hatubadilishi vilemba,Na tunavyo vingi na sijawaomba nendeni na moja kichwani ili mpinde vizuri kama 7 kwa mkao wa MATAIFA 24 kama bilauli kwenu na uwepo kama bahari ya kioo na kwa fedha ndani ya vidole idadi wima hiyo basi mkono wa bwana ni mkamilifu uwepo wake katika kusanyiko lililozungukwa na kama mto au bahari pande zote na kidole kimoja waga hakivunji chawa katika anguko la mlaji wa vijiji serikali yake kwa mafunuo ya kwenye visiwa vya Patmo/umono hasa, ufunuo 19.
Basi umekwisha kaka mkuu wapi pa kwenda,Kwa ufunuo wa Patmo mbinguni ni kwa baba maana urikidharau kidole kidogo katika mkono wako wakati ndo kilishika nguvu yote ya mkono wako na Upinde wa mvua kuzunguka Chumba kizima ni mwanzo mpya wa neema Kwa wengi( Damiani ,Bunju Banton-Thank you lord).
Hakika sikutunga mimi ile nyimbo ya Jua nalo literemke mamah, ama nyota nazo ziteremke mamah,ama mwezi nao uteremke mamah labda sasa Steve katika roho ya Hiza yeye wa Tanzania yetu nchi yenye furaha na Mzee Moses Mnauye roho wa majira yetu haya.Je Yangekuwaje sasa kama Muungano wa ulaya usingekuwepo yaani hao wazee wenye idadi ya nyota 12 na milango yake mataifa idadi sawa namna mlaji wa vijiji unavyowabana pande zote?
Patmo ufunuo kwa zige na asali alinenepa na kunawiri,basi hiyo kama wababa watatu kila upande na wamefunga pande zote kuelekea mbinguni.Bendera ipepee kwenu na nyimbo ya taifa ni mkao timilifiwa 24hrs wa The star- Spangled banner.Who can we calling on to save us?[Blond alpha-peace in liberia].
Basi kaburi za chifu waga ziko hivo kimviringo(Ma tombe-Alpha blond) na 24 viti ni ushindi ndani nje kwa hayo Maombolezo,maombolezo katika ole zote, ni makamanda washukao na kupanda, ufunuo wa Yohana ni muhimu pale pa mabawa sita ndiko juu yake lipo jina jipya kwa Tazama ramani utaona nchi nzuri yenye mito mingi na mabonde.kumbuka, kuwa Torati ni masihi,Reggae ni jumbe muhimu na Injili ni kristo na vyote ni kimoja katika agano la Upendo na Aman[waamzi13;5,1samwe1;11].
Huyafanya vile ili mpangilio mpya uje na Shilingi ishirini kuashiria ukomo wa vifungo saba hata ile ya maana yote ya Nina dhiki kama nini ya Luka kutimizwa kwa lile jina batizo, halina utata tena kama wailers walisha Give thanks and praises wakiwa na Marley huyo roho wa Eliya kuitangulia kweli, mbatizaji wa leo.Maana alikifahamu kifungo(brother Tom fear,No woman No cry)cha namna gani kitakuwepo huko trenchtown,Na meza ya maombolezo kwa shujaa Lawrence Mafuru kwa watu wa mipango kwa uwepo wa Mpango basi nimelia kwa sauti ya upole yaani ya Majaliwa,kwa Mwenyezi Mungu atujalie suluhu itulie mioyoni mwetu Bila kuendelea na hiyo mioyo haitapata amani kabisa.Na hilo ndilo shangwe la huko mbinguni tuendako kwa yeye aliyekuwepo baada ya Calling Rastafari dhidi ya watesi wetu na wa udugu wangu Burning spear.
Ni nini rastafari kama si kuwatoa uhamishoni waliouzwa kwa mabwana wale kwa nguvu ya (Ekaristia ni Chakula-Moyo safi) muda wa majira mapya na kizazi kipya kuianzisha haki yenye mwenendo usawa katika matokeo yake[Kumbukeni injili ilipo sema tumemuona Masihi aitwaye au interpreted Kristo].
Basi dhabihu/meza ya chakula na kinywaji zimeshakwisha kuiva Na Bukuku ni roho ya wewe ni Baba na wimbo wa ndani ya nguzo ya yule yeye ashindaye si ule wa jina la mlaji wa vijiji ila lile la Kama zisingekuwa Juhudi zako Nyerere,Yote haya kwa Mkono wa bwana uliofunuliwa na kazi ya vidole vyake National Anthem ya KOREA kaskazini ingeenda wapi,National Anthem ya Urusi ingekuwa wapi, Israel wangeenda wapi na maombi yao ya kupata amani enyi mabibi na mabwana?Hatukupewa roho ya woga ila Ushuhuda wa kweli ya Kristo isiyofuata namna ya binadamu ile sema,sema,sema,sema kama isemavyo coran kwa Muhammad.
Hakuna mwanadamu atakaye watu wakomboke ila Mungu yote Mwenyezi huyafanya(Bob marley-So much thing to say).Hata mimi mwenyewe nina umimi lakini nimewekewa shinikizo la mvinyo(Ekaristia hiki ni chakula kutoka mbinguni) mbele ya meza ni ili kufungua kiapo changu(kristo ndo roho ya unabii) kusema muda wa ondoleo la dhambi ya kurithi ya mkorogo wa kuificha kweli ili kwa hiyo niseme ukweli kama wengine wa kasumba yangu nikitiwa Moyo na J Martin wa Chupka hata Oyoyo ili nizidi kusonga nikimuona vema Bukuku wa Abneli katika nyakati za kusudi hilo.
Ni kweli yanakera toka mwanzo hata leo,tena kumbukeni baada ya miaka 12(Kwenu ninyi muanze kuhesabu Katikati mwa yule Muungwana,katika habari za utimilifu wa mwanzo wa siku mwenzi na mwaka muone nyakati mbili na nusu zinapopaswa kufunguliwa katika zama hizi, mwanzo wa mwaka nilipowaomba Pasword) ya Kukaa katika shule ya Mungu kwa mwana,akifundishwa hii kweli hamkumbuki pale alipokuja kwenye sinagogi na kuisoma gombo la Chuo cha nabii Isaya61 kwa kuusema utimilifu wa neno hilo kwa watu hao kuwa yote tayari?
Sasa nani alipenda ukweli huo usemwe?.Yaliyopita si kama yajayo mabibi na mabwana?Hamjui Mtu ni kiapo na sheria ya kukifungua kiapo(maono ya mwanzo katika hatima),na nani hakuwa na maadui maana hata Yusuph pamoja na kushauriwa na baba yake asiseme kwa ndugu unafikri kwa nini walimuuza?Wala si pesa ila hawakukikubali kikombe chake kama walivyojua maana watu wa magharibi ya leo,na huko ni sababu waliificha siri hiyo(kwenu maana ikawekwa kwenye matukano,heri mvumilivu na ni dhambi kumtukana mtu mbele ya Mungu/kuna kitu unaficha).
Wote Hawawi na Choyo katika mambo ya ghaibu hata Surat Yusuf 81,hata Tak 'wir 24 hizo ni kanuni za mienendo ndo maana wote hao 144000 na wengine zaidi 125000 japo ni mlemle na Hawaji ila kama waliotanguliwa namna litokevyo Jua ni Sambamba na Mwezi japo palipo na giza kuu basi Moto mkononi hukamilisha uhuru katika nyanja za kihatari.
Ni yupi miongoni mwa wenye mwili atampangia Mungu tunataka ndugu yetu awe hivi?Kitokacho juu kina mambo ya juu,Ukungu hauna asili ya juu kuzima kasi ya Tai arukaye huko Urusi Kuwaita ndege wamle yule dragoni wa watu wote na kumuweka juu ya mti wa uzima wa mabibi na mabwana naye kila atakayemuona namna alivyokufa akapate yeye kupona na kizazi chake.Ulimwengu huu nao ubebe tu msalaba wake.Sisi waga hamtusaidii yanapotukuta,kumbe nani alimsaidia Kristo maumivu na mpaka umauti unamkuta pale msalabani/mnawapenda wagomvi enyi waoga,Tunazungumza mambo ayatakayo Mungu si mwanadamu na hivyo yanauma ndo maana tunasema tunataka mabadiliko ya dunia sasa.
Kwa hayo Lazima ayafurahie Mungu kwa Mtume wake si watu mkorogo wa kimawazo ya magharibi wao kila kitu haiwezekani kabisa eti kila siku husema mpaka Yesu arudi.Basi Ninawi wa leo kwa upofu wenu wa mji mjini ya Mawe atawahukumu kuwa ninyi mlikosa kuhukumu kwa kuwafuata waliokataliwa baada ya kuwatenda mitume wao kama wale wa miji mingine iliyo kwenu katika hayo matukio mawili makuu.
Mwatakaje, Rose Mhando- Nije vipi?Jamani nimekula mwili wake na nimekunywa damu yake(Mkate na kinywaji) na mzazi wa kiroho na moyo wa mwana ni Daniel7;13 nayo ufunuo10:1 na Furaha kuu ipo mwisho leo yapo mambo mazito kwa Walawi na hii ndo ishirini yangu,Sasa nini furaha yangu zaidi ya hilo jina litakalobaki kwenu?,si matokeo ya hilo?,mafunuo hayajakuwepo kwenu?,Mwiba gani uniweze,nje ya hayo ni ya mwingine, ni sawa sasa naye aje na furaha yake,Hawi na habaki kiongozi wa kiroho katika ninyi ila aliekinywea kikombe hicho na kukikabidhi kwa uaminifu kwa watoto wake kwa ndugu wote.
Urusi na wengine 23 wa mfano wa urefu wa watu wa Asia nikiambiwa wana furaha ya kuwa na mipaka ya maji na mlima kama sisi,sitashangaa ila nitauliza kuwa hilo wingu kama la umande/barafu na huko lipo kwa hao watishao toka mwanzo wao mpaka waje mwaka wa 60 na bendera kuuona huo Mwenge?Taifa si huku kwa 1964?Kambarage ni nguli matata na mhifadhi,mhifadhi wa Mengi kafa maskini mtanganyika wa mwenge wa 1961,sasa yeye mumuone tofauti kwa sababu ya tamaa za leo za kupenda fedha tu na kwa mapenzi ya Mungu muone mwachelewa.
Mumchukie Kambarage sababu ya mvuto wake na kwa kumkolezea fitina na majungu,Hata kazi ninyi hamumuwezi utendaji ndo kwa tamaa ya maslahi mpindishe nguvu yake ya uamzi iliyoko ndani yake.Zawadi ni ile ya sita ya Saba ni shukrani.
Kambarage Mwenye Roho takatifu hayuko hivo,Hasemi yasiyohusu injili maana makabidhiano ni kwa mjibu ya neno,Yale yastahiliyo kwa ushahidi wa kinywa cha Mungu na kitabu chake ndo anawapa,Nasema roho mtakatifu ni Hekima hasemi tu ila kashashuhudiwa kwa funuliwa.Msiuchukie mvuto wake kambarage kazaliwa kuwa karibu na watu na kueleweka kwa sababu ya Mazungumzo yake mazuri ndo mmufitini juu yake hata mbingu zikubali.
Mungu hadhihakiwi maana kwa uweza wake kutoka kwa mwanamke wa namna gani kwako ila kwake inawezekana mbingu kuongezeka juu kutimiza idadi iliyokuu.Hekima ni mwongozo wa roho katika mafunuo kuzaa busara iletayo uvumilivu jambo hilo kwa mwingine.Kuridhika ni kuzaliwa mara ya pili na ndo huzaa hekima yote na subira yote,Hekima ni kukubali yakupate na kama kwa watu wanaojitaftia wawe wenye haki kwetu ni chumvi itatiwa nini ila nani ataizuia hekima hii kuwa mahala pake hata kwa Hongo ya Magari na fedha ya wananchi mseme moshi haukuzuka kwenda mawinguni?Ufunuo2 ni malaki3.
Mtu ni kiapo,sasa nini tunamzidi Baba yetu kwa Heshima ndani na nje.Kazi ni Wito katika kila zama basi hao nawapeni mimi ndo marafiki wa Nyerere na watanzania na nyinyi mwataka watu mifano wa wale wafisadi wa mji mjini ya mawe wawe waamzi wenu,Yanawezekana yote ila Password kuipata ya kanuni za mienendo hawawezi.Mtoaji ni huyo waliomkufuru na hayo wanayoyakataa.Mnapoulizwa uzuri wa nyumba mwasema kwa nje ilivyo kuficha aibu ya ndani kwa waulizaji?Katika roho hakuna lifichikalo lisiweze kuja kuwekwa wazi ila ukimiya ndo uongozi bora kama kukubali kushindwa katika baadhi ya maeneo,siyo kila sehemu finish ili wewe ushinde.Taifa ni umoja,nje ya umoja hekima hukaa pembeni.
Roots Underground-20Centuries Na Ndugu wa Black uhuru hapo Jamaika ewe Burning Spear kama usemavyo WE ARE GOING na ile in Africa, basi nyinyi wa kazi iendelee sasa ni wapi juu yetu?Maana hamchelewi kusema tufungulie huyo mfalme wa Wapogoro,hamumtaki Baraba,Na yote hayo vichwani ni Kazi iendelee.Hakuna mtu chini ya Jua anaweza kufikia kimo cha Mwisho cha Kuzijua siri za Mungu,Yeye Mungu asiyeonekana na uharibifu,utukufu ni wake pekee milele na milele,Heshima na vyote tutamrudishia.
Marejeo si miaka 60 tumedumisha mambo hayo na salamu yetu tuitamkayo si AmanI iwe juu yenu au lile swali twambie ufalme lini tutarudishiwa?Si roho mtakatifu atakapo kuja juu yetu(Wape habari wewe Blue Byser),Kumbukeni tarehe 25 April 2024 enyi vijana mlivyoambiwa kuhusu Muungano na Mama yetu wa Kanisa jipya,Na kafanyeni hivo baada yakukabidhiwa hiyo neema iliyopo,Isaya18.Na Mnapotangulia mnatuona watu wa maporini kama siyo watu,Na leo Mnaitikia kila siku kwa kazi iendelee,Ni vema zaidi kama kazi itaendelea kama ilivyopangwa na Mungu.Ile ya kufuata mapenzi ya Mungu hata kwenu mkionekana wabaya kama wale waliojihesabia haki ili wapate kumshitaki Kristo Yesu mbele ya Pilato.Lakini KAZI NAWAPENI sasa, mnitafutie namimi hilo Jina La Jamhuri ya Muungano linaitwaje.Nanyi mnipe kama mimi Nilivyowapa la Mungu wangu na la huyo mwanaye na lile Jipya ambalo Yohana wa Patmo akiwa kisiwani/upekee mzito alilosema kuwa kristo aliyemfunua alikuwa na jina jipya ambalo katika ninyi hamkulijua isipokuwa yeye mwenyewe.Sisemi tu maana hilo jina litabaki ndani yenu baada ya wote kukaa pamoja kwa uweza wa Mungu maana kwa kanuni ya mienendo tumethibitishiwa wote ni ndugu wa mmoja,One heart.
Muutafte huo utulivu ambao kila siku mnautukana eti ni wendawazimu mpaka mjue roho iishivyo milele hata baada ya mtu kuwa mwenda ili msitukane bila kujua na sababu mwataka muwafumbie watu wanaokuja pamoja na Roho ya kwa nini ili kubaini nzuri ni kazi endelevu mfano Kwenye Korosho mtu ajikunje kubaini kuwa hakuna mafuta,maganda na tunda tu.
Iko hivo katika kupewa kama utashi wa Yakobo kwenye pambano lake na Mungu mpaka akambariki kama asemavyo Nabii Rolinga kuhusu kung'ang'ania ng'ang'ania baraka za bwana yaani huo uking'ang'anizi utakaopelekea kupewa hilo Jina jipya Ilivyo na vema ya mambo yalivyo, msije kulaumu tu Mungu apangavyo katika habari ya Roho na mipaka yake kutoka kizazi kwenda kizazi Japo jina lipo hapa ila Mungu ndo huonesha vyema.
Wapo husalimiwa ubini wa mama wakati mwingine ,Sijajua kwa Afande mfalme Sele-Upendo na Amani maana yeye alilia sana kwa Mkuki Moyoni, Huu uende kwa nguruwe usimletee mchamungu uchungu tena,basi Kwangu ni huko Kuitikia Ing'washi(nyimbo za kukiri asili ya watu wa mashariki) pale anapotajwa huyo Luka(Kabla ya injili alitwa Mpejiwa yaani mtembeaji huku na huku kuutafuta utulivu), kwa Mama[Nyamalwa/Nyamawalwa-Mzazi mlezi akumbuke pombe muda wote inaweza kuuwa kichanga cha mkwewe] yupo Batholomay(Ng'onela yaani akijikunja kajikunja hataki bughuza) ambaye Tabia zake ziliniletea maskitiko hapo mwanzo nilipokuwepo namna ya Kawaida ya walimwengu,huko kutaka kuifurahisha dunia(yeye ni mfia dini baada ya usomi nguli wa injili kama alivyosimuliwa) lakini leo nami ni yeye kama alivyofungwa Paulo/Kristo kama mtenda mabaya,Lakini ninao umwamba wa kuipeleka injili kwingine kwa Ushahidi wa Waebrania kama ilivyokuwa haipo kwangu ambapo kwa hivo nikawa sawa na yule mtukanaji.
Hivi sasa Roho ndiye aishiye milele zote bali mwili hufa na kutengenezwa tena mwingine,Tunabatizwa kwa maji sababu tulikuwepo kabla na hayo majina yetu yatufate katika Baba na tunabatizwa kwa roho kuikamilisha kabla yote hasa ile ya ukamilifu wa dahari,Kanisa limejengwa kuitafta kabla na Mungu yupo kuileta kabla zote hata hizo za dahari,hakuna kabla wala kesho kwa upofu wa vyote yaani Mungu na dini,Kama Mtakatifu Paulo alivyosema,upo mwelekeo na matarajio,yote yapatikana kwa mmoja,Huyo Mungu mwenyezi.
Je hamjui kuwa yeye Mungu hulitafuta kwanza Neno lake alilosema ili apate kulitimiza?
Lakini yote hayo kwa namna ya urithi wa pekee na leo haya ni mambo ya kuuwasha moto na kumlika kote,alikosema Burn Spear- Jah is my driver., Udadisi na kutembea ni mpango wa maendeleo ya elimu katika ngazi zote saba.Kusema ukweli baada ya kuchanganua mambo na hata kujisahihisha ni ile baada ya Kuzaliwa mara ya pili,huko utasoma vya kawaida ya dunia na baraka/upekee katika ufahamu wa mambo ya sirini ambayo kwayo leo nami ni bora,Haijalishi kujisemea ila roho mtakatifu ni shuhuda wangu kwenu kama ilivyokuwa kwa wale walionitangulia maana waliponywa na injili kama mimi leo.
Basi kama ilivyo kwa danieli ewe Mungu wa baba zangu na Mama zangu ujuaye ya sirini nami nakushukru kwa yote sasa, katika hali ya kwanza sikunawiri kwa kuwa sikuichokonoa kwa undani mara kwa mara injili ya Yesu kristo huyo mwana wa Mungu na leo baada ya kuichokonoa( bongo star search) utakuwepo unawiri kwa wengi katika mwanzo wa Bongo Planet, a matter of Space and Time.
Hatupoi kizembe maana tumenunuliwa kwa damu iliyomwagika msalabani na hivi sasa ishara ya Yona huko Ninawi hakika itashuhudiwa na kizazi hiki tena kama isemavyo injili ya Mbarikiwa Kristo ambayo kwayo ni udhamini wa agano jingine lililobora zaidi kama nilivyowaletea na isemavyo kanuni bandano ya miamba.Na ajabu ya Mungu ni kwamba anayejua hajui bado kwa mnara wa Amerika ila mwanga wa Mnara wa African renaissance hapo Dakar- Senegal kwa muono wa Abdoulaye Wade tukiimba sasa THE Negro National anthem(America) kote na aketipo yule Mwanamke pale penye maji yale mengi(Ufunuo17 Patmo,Mteule uwe macho-Rose) wakijua wengi ndio kutakuwa kumewaka(my American dream-Alpha Blond) kwa kila mmoja mgao wa umeme utampata(Tere-Alpha blond).
Ras sparrow -Zion town ni wenu enyi Mabibi na mabwana baada ya hapo mtaniambie kama kichwa cha habari hapo juu ila hii ni farasi ya tang-ting,tang-ting katika ujio wa mikimbio ya Kutoka ndani kama asemavyo TITIEK SANDHORA-TANG TING Hapo Indonesia ama isemavyo Kumi na 8-Abangwe hii ni ndefu,long term issue na mengine ya Mungu, Na Ting-Tang ni kusanyiko la kimtazamo linalotambulishwa kimaono na miondoko ya vijana kulileta Taifa Lao,kama wazee walivyotabiri na watayaona hayo Maji ya moto.Kuishi ni kristo huko kufa ndiko faida,Je niionee haya injili ya kristo nami ni katika kusema kweli ambayo Yeye Mungu ametaka hivo,Hekima si za Sulemani zashuhudia namna Majira yalivyo?Iweni wavumilivu,huruma na Wamtafutao bwana kila kukicha ili muone umbo la wajumbe wake lilivyo wala mistake kulifunga lililofunguliwa na Mungu.
Patakuwa na shukrani kwenu nyote kama TRAB na TRAT mtaitafuta kwa Formula Mwigulu=Nchemba,nami sasa kwa kuhitimisha kama Ezekiel3 kwa yote asante Mungu(Thank you lord-Damiani Marley),Kenya Paul Mwai-Nitatangaza.
.Mwaka wako upi?,mwanga unamulika maadui wa maendeleo huku na huko basi dunia ya leo ipo real situation -Bob Marley na leo si kalamu iandikayo hapa ila kama pepeto lililonenwa na kalamu ya Luka yaani ndani kuna ngano inavyopepetwa na kuwekwa ghalani na hayo makapi yake namna yanavyopeperushwa kusiko stahili, kwake ni ole anayesababisha.
Ila kwetu sisi Hizi ni ngao zetu,hizi ni ngao zetu kwa Afrika na watu wote.Wahenga nakiri nasaha zenu mfano mchumia juani hulia kivulini,Ukitaka uzuri sharti uzurike,mti mkavu hauchimbwi dawa.Akutukanaye hakuchagulii neno na Uvumi wa adui hudumu kwa kilicho bora na debe tupu ndani ndo hupiga kelele.Utulivu wa nyumba mfitini yeye hushinda kutafta kasoro.
Kosea hilo uwe na hekima na uelewa wa namna watu,Kama ni zamu zamu kumimina wasipomimina wao wewe ukiendelea hiyo kasoro kwa uliyemshinda na hao ndo watu,Watu ni majirani zetu yeye Mungu ni Baba.Kwa kumjua mkubwa baada ya Musa kwa kujihesabia haki watu wa Kapernaumu wakamuuliza Jirani yako ni yupi?Majibu yapo,mimi msinitakie sababu,Kama mimi natoa mapepo(nguvu ya ufahamu yale hasidi siyaungi mkono) kwa Yazeebuli huyo mwanamke mkuu wa mapepo(Murder,She Wrote-Chaka Demus) basi wana wenu watakuwa mashahidi wa Adili na Nduguze katika Nchi ya Kusadikika ya maandishi haya,Isaya8 na Ufunuo2.
Yeye mkosaji hana mbinu ili kwa asili yake naye Kazi yake iendelee?Shahidi mwaminifu wa Mungu na mtume wake aliyeuawa kati yenu sikuwapeni katika habari za mji- mjini ya mawe?Maarifa si kuuzidishia uzuri ufahamu.Na ufahamu si tokeo la miguu ya Mungu kwa mja wake kuona huku na huku?Tena niwaambia leo ni mfano wa wale wa haki kuwapo kuyafuata mapenzi ya baba walipo watu,Je ni wapi Mungu hana watu wake Kabisa?Mwalimu tuoneshe kwako unapokaa, aliulizwa ili wapate kumkamata!akajibu,mbweha wa porini wana pango lakini mwana wa Adamu hana hata pakuweka kichwa chake.
Haji mwizi(atakuja kama mwizi)ila akikukuta ndani umelala na kuna silaha [Leo neno la kushinda vita] pembeni hapo atakapochukua silaha kwanza kisha atakufunga na kuondoka navyo vyote vilivyo ndani mwako.Basi Kama mimi nilibusiwa na nikasafishwa miguu yangu kwa machozi ya yule Kahaba ama pale kisimani bondeni kama mnakumbuka nilipokuwepo na yule mwanamke nikimuuliza habari za mumewe na ile namna alivyonijibu wakati huo wanafunzi wakija toka walipotoka huko mjini kutafta chakula ili Wale,Hawa wao hawakupata mashaka nami,bali leo ninyi mwasema mimi sifai kwa hayo, na uvumi huu upo mpaka mjini kwenu nao wamegeuzwa wakageuzika.Wengine wanasema sifananii kwa sababu nakula masokoni ovyo ovyo kama mtu asiye na ndugu(Quruan isomeni 43),Kwani hamkusoma maandiko?,Mungu ni wa mpango, wengi watakuwa pamoja nami katika ufalme wa Mungu utakaoshuhudiwa badae.Hapatakuwa na space and time ila mwanzo wake ni yeye Mwenyezi Mungu.
Hakuna bidii ila iambatanayo na kusonga mbele kiupendo kwa gharama ya kuumia au kuumizwa na wasiojua maana, Mungu huwatafuta watu walipo ili kuwa pamoja nao siku ya mwisho/kisimamo.
Mbona mnasema No research No right to speak,kama hivyo ndivyo yanini kujichetua ikiwa Highest form of research is imagination au Kujishauwa tu Kama Coran isemavyo wakati hapa kwenu Nipashe ndo mwanga wa jamii,hivyo tukatumie namba moja ya Mtanzania huko kwao 14 hao mimi nilisikia hivo nami nikafurahi katika habari ya Raia mwema ni Vitendo kama visemavyo vitabu,mimi nawaambia Mungu hapendi shobo kumbukeni Rai yangu aliyelaaniwa kwa Nuhu si yule ambaye alijiona haki kushindwa kusitiri aibu ya baba yake,Mungu ni wa neema mana yake nini?.Tena Mwananchi mafumbo haya ni mazito kama yale ya uzazi,Time will tell-Bob Marley,kwa ndani ya mikato hiyo mimi ni mwanaHALISI katika Uhuru wa Taifa imara ya kati ya ujamaa na ujamaa wa kidemokrasia katika misingi kuja kwa nusu uliberali-uhafidhina na nusu uliberali hapo sisi sasa ndo watanzania Daima.
Mungu pekee yeye hukumbatia wanae kama kuku akumbatiavyo vifaranga vyake.Oneni na mshangae kwa mzee huyu "Nataka kufa bila kukuona ewe Mungu kwa nadhiri niliyoiweka kwako katika maisha Yangu"Yaani nisiwe mtu wa kuanza au kusababisha ugomvi" yakawa hivi(Huyo mzazi na kile kiume kichanga toka muda alichokizaa ndicho Mungu,yeye hufunua kwa ampendaye ili ulimwengu uokolewe).Wala Mungu hakutaka yeye kujua katika elimu ila kushukru mbele ya mbingu kwa furaha na kuifanya Ishara ya mchana mwanga wa milele utuangazie e bwana.
All in All you must know the beginning of the universe through God first others left behind will be simple.Je utafiti wa mifumo watu kuiondoa akili elekezi kwa kizazi kijacho leo haujafanyika majararani/Sehemu iliyopotea zaidi njia kuliko kwingine?Ni yapi yaujazayo mioyo yao?Wao na sisi tofauti,sisi ni warumi katika tutendayo na tusiyowatenda,Warumi7 tena ni warumi12:14 kwa Habari ya vitendo katika neno lile lile lililokuja ndani mwetu kwa nguvu ya roho,Yule roho ashukaye na abadilishaye hayo ili sisi tuwe wadhaifu katika habari ya mwili na imara katika kuyafikia mapenzi ya baba tuliojengeka katika Misuli ya imani iliyo leo ndani mwetu.
Kuhusu upendo,Mungu wa mbinguni ndio mwema siku zote naye kwa upendo wake kwenu humtoa hata mwanaye wa pekee kwa ajili hiyo ili kila amwaminiye asipotee[kufa kufaana], na huko ndiko huleta kuokolewa kwa dhambi ya ulimwengu katika utimilifu wa mafunuo ya mkono wake. Waga Halighaliki la babu bila ukungu mzito,na utamu wa ngoma mpaka ucheze mwenyewe,pilipili usiyoila yakuwashia nini? na uzuri wa khanga waga si utamu maneno? fuga hata kuku tukujadili),Maneno ni dawa kwa mwenye imani na yanaua kwa asiye na imani.
Uhuru na Umoja kwa Adamu na Hawa ni ninyi mabibi na mabwana.Naomba sasa kwanza kuwasalimu kwa salamu pendwa .Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Itifaki imezingatiwa kwa kutambua uwepo,tena kweli ndio vema na haki Wanajamvi na wadau wote wa kuamini dunia kuanza ni kwanza mamabadiliko,Tutawaleta kwetu sasa kati ipo kazi iendelee.Lisilobudi hutendwa Mashariki na magharibi,Kusini na kaskazini,ngoja ngoja yaumiza matumbo na Uzima ni uelevu kwa mapito vidonda na tiba ni tulichokuwa hatukijui kilitulea usiku wa giza,ile nuru tiba ni ya alfajiri ya hiyo nyota njema ijayo na asubuhi takaso.
Kale ni dhahabu,uzee ni dawa.Na pengo halizibiki Kauli kufariji huzibika katika uungwana ni vitendo na siku moja yashinda masiku mengi hata miaka 430 hata ile 2000[400 years-BOB MARLEY].Na Kwa Mungu ni marejeo(The day will come-Capleton),Ni beberu wa namna ipi huyo(mfano wa mwanzo wake si utimilifu kwanza wa 95 ya Wasilah na Mkono wa kulia si wa utoaji?Je shughuli gani bila yeye wa uso/chapa hiyo ifanyike katika biashara za kimataifa?) na hicho ni pamoja katika moja kitokacho magharibi ya uso wa dunia nzima bila kuigusa nchi kuja kwenu katika mpangilio huo(Chanzo cha maendeleo ya millennia huko mbele)
Kipepee sasa because kwa uso mkali chenye kama pembe kati ya macho,pembe yenye macho ndani yake huweza kuyaona mafumbo, kwenye fedha iendeshayo mfumo wa dunia nzima.Now days si bloodshed in Africa only, wewe shahidi vipo world wide roho ya nabii Elisha ewe Alpha blond, nimekuita hivyo kwa sababu ya waebrania 2 ambayo kwayo kwa maumivu mpito(mystic night move-Alpha blond,2wafalme2) yalivyounguza uso wangu mimi Sina hata ugeni nayo, yeye ametupa kikombe kile kile walichonywea ndungu zetu katika Kristo ama wale wa Musa,Daudi na hata Adamu ili yawepo matunda yapasayo toba toka kizazi kwenda kizazi.
What happened after the attack in Northern Gaza 2024,cry in Ukrain,Palestina,Israel,Myanmar,North Kiwu,Democratic Republic of Congo in east zone,South Sudan and too many places to mention.Thus, Peace of mind is now more prices, let us back to our ages,Ages of holy spirit. Who can win the war?Pray for peace,Pray for peace America,America to all please pray for peace,Africa pray, no rank of it,don't afraid of civilization or development think deep about world without you and you will realize that you are not alone( Bory samory-alpha blond) for the truthfulness of the word 'simplicity is eternally' civilization or development.
Kwa hiyo ninyi mabibi na mabwana kwa Msingi wa kiroho katika maana kuwa hizi ndizo ngao zetu Afrika na watu wake,basi kwa msemo wa vijana wa kiafrika waliolelewa kwenye majangwa ni kwamba wao wana watu.Na watu ndilo umbo la maendeleo mwambatano na uchaji wa mungu katika jinsia usawa ili kuleta mwendelezo wa uungwana ambao ni zao baada ya kutambua kuwa nyakati na makusudi yapo hata kabla yenu enyi mabibi na mabwana wa hapa kazi tu.
Ile inayoendelea Mungu aijalie iambatane na ungangari wa Haki sawa kwa wote isimulize tu mbaba wa watu Ibrahimu Haruna Lipumba kwa kushindwa Kujibaraguza kumpa hata moja yake katika maelfu ya watu jimboni.Tena isiwe tu Kundi dogo la zakari 13 hapo 7 kwenda 9 milele ya Rolinga la kulia kila msimu tangu lile Chukizo au katazo haramu la Siasa yetu na desturi.Nyakati zina nguvu,pofuka vyote my son ila siyo ukane Nyakati,Wakati ndo umilele hata ndani ya vyama na wewe kundi dogo kama asemavyo Luka12:32+ nami kama mwandishi ni kuwa Mungu atawapeni huo Ufalme mkiamini kuwa mwenendo katika kila kundi ni wa pekee si kuiga ili kuifikia ile hatima ya Mungu aliowapeni ila upeo wa kimetafizikia.
Mkumbuke sana kuanzia pale hilo katazo haramu ya desturi yetu hilo chukizo la uharibifu namna Mungu alivyochukia wakati miaka ya hesabu ya masiku yale hiyo ili nanyi mkawakumbuke kwa kweli ya Mungu watanzania maskini na ndugu wote katika roho moja,wajane na mayatima kama ndugu zenu hata waliolala huko Kigoma Kina kaburu Walid Amani wakiwaacha wa kina Kali kama maliwali wateule na vijana wa vyuo huko Morogoro na wengine mkizidi katika mwendo wenu,maana kwa ajili ya mateso mazito na kukataliwa kwao Mungu akawa pamoja nanyi.
Endeleeni mjinyimavyo kwa kile mnachokusanya ili kwa hivyo kazi muipeleke mpaka mwisho pasipo kurudi nyuma,Tena,tena vijana waaminini wanaowaongoza maana si bidii ili wao kupewa heshima nanyi bali wengine kwenu wamedharaulika sababu ya kumuishi mwenyezi Mungu kama atakavyo,yaani ufahamu katika being na general knowledge ambayo haya ndiyo ngao ya hekima yote katika uongozi.Msiwatilie Shaka kama mmewashuhudia kwa kazi hata vinywa vyao vimeunganishwa na Mungu ndani yao ili mjapo kama wao nao wakawapeni Baraka iliyo ndani yao kama wao walivyopokea kutoka kwa watangulizi wao, kwa huyo Mungu mmoja ambapo nyinyi mmewashuhudia.
Hakuna people's power watu watakayokoroga kama hawataujua wakati bali kama ile Harambee, Kenya ni motto wa Hizi ngao zetu,kwayo ni nguvu ya roho mtakatifu iliyo ndani yenu ndo ushindi wetu katika umoja.Yapo magumu mengi ambayo wawaongozao ninyi katika nuru wamelalamikiwa,Lakini Mungu huamua mioyo ya wengi kule atakapo ielekee,Kumbukeni baadhi walipoanza Kuwaona hamuwezi kule nyuma na saa yaja hawatawaweza maana Huko wapo waliowalilia ninyi msonge zaidi,hao Kirimanjaro Revival Choir-Mbona waogopa sasa.
Wakiwataka mjipe moyo msichoke enyi makundi yote Hasa mtiio kwanza msikiapo sauti ya wenye mamlaka,nami ni mfano wa hivyo katika Sauti natanguliza imani, watu wote watafutao pumziko kwa kuwa safari si ngumu nyakati zote,Na kwa ile kauli ya tatu kwa mkuu wake kuna milango iko wazi japo ile ya demokrasia imeonekana bado ni ya matete(huenda nao wanajisetia) kwa kipindi cha Novemba kilichoshuhudiwa mwanzoni Desemba(Ca me fait si mali-Alpha blond au kama hao Solar system walipotangulia kulia na skafu za utaifa shingoni mwao).
Basi mlango wa Afrika ulikuwa wa matete(haujiseti automatic) nilioambiwa nipande ulikuwa na picha za wagombea kama wale wa mfano wa wakosao kwa jinsi ya vitabu katikati ya mbingu,ni ule wa Ufunuo4 huko na lilianza kama Jua katika mfumo ulio katika uwazi wa mlango wa kwanza uliofungwa na sauti za mwangwi,maneno kama hiyo ya roho ya Elisha zilikuwepo nilipopanda ule wa pili,hayo ni kabla ya lile kusanyiko la wenye haki kwa yule aliyeonekana kama kachinjwa huku muongoza kusanyiko hakuonesha vidole viwili ila vinne kuashiria wale wenye mabawa katika nchi ya uvumi(Basi sifa zivume).
Wasihini watu wote kuwa Mungu wa mbinguni ni mmoja(God is One-Alpha Blond) na wala hana upendeleo ila kwa majira na masaa Jua huonekana katika safari kulingana na hayo yote sehemu baada ya sehemu katika sifa hizo hizo.Basi huenda watu wa wenye uhai watatu wenye mabawa sita kila mmoja wanaijua kuwa ina uwezo sasa kuliko kingine chochote,japo hayo bado katika ukamilifu wake wa moja tukufu lakini yanini sasa Watuvunje nguvu na utatu mtakatifu wetu.
Nawaandikieni hayo kwa maana nilitamani sana kuwaona toka mwanzo wangu nikiwa katika furaha ya mwili pale Sangara ilipotakiwa kuchalambwa kwa pita makini slaha mkononi hapo kabla ya kushiriki meza ya dhabihu kwa usiku mnene ila nikazuiliwa niipate kwanza hiyo muitamkayo kukicha,ile Haki ya Mungu yote iliyo kwa wote kama namna ya Mungu ili nami niwe kama watangulizi wetu, kuweni waaminifu kwake na kwenu na wajao hata bada ya hapa duniani.
Nilisononeka kwa hali iliyokuwa kwangu moyoni hasa nikumbukapo ubora wa kimwili enzi zangu zile,kama ninyi mkumbukavyo katika nyakati hizi za haki hiyo ya kuwapata tena wafalme wadogo maana chukizo la uharibifu lilinibwaga mbali(kwa nini kukaa pasipo lipasa?),Wawaongozao ninyi watiini, Japo mimi muda huo nguvu zikaniishia kabisa mpaka pale Mbilia Bel-Nakei Nairobi ndipo akanipa tena nguvu ya majira ya nyota moja kama Che Guavarra kwenye paji langu wakati wa jioni tulivu katika shida za Dunia kwa jicho(insta) la Gram, Milango iliyopo sasa ni miwili ila ule wa uzima ndo tuongojeao wote katika shida za mama kwaya(Zaburi 10).
Na Kwenu hayo matendo ya haki ndio yaletayo ibada ya mkao mbandano na ukirimaji wa bubuji la kupwa na kujaa kwa haki na dhuruma,ule ni muda uletwao na wanawake wa Fifty,Fifty yaani haki sawa kwa wote na ni cheo cha juu cha Mungu kwa watu wote katika mlio mtetemo wa mfumo wa Jua wenye series na sequence za mwezi mwonekano kamili[finite] wa wajumbe mabubuji katika mnemeko tungamo utakao kuwepo(rastamass) na kani ya vizazi katika mambo mbashara (Bangoza anasema 'anatisha' kwa watu wa dhuluma ukimuona) baada ya masiku ya mafumbo na siri nzito yaletayo mwendo pale pale tu,kuna mchakato tunausubili ndo mwendo wake ama ile ukila na kipofu usimshike mkono yeye atapiga makofi huku wewe wala kwa hizo nderemo na vifijo.
Hedaya ni kutambua uwepo kutoka kwa wananchi na dhabihu ni kule kukubali yote kwanza kwa ajili Mungu, ile ya Russia,Brazil,China India na kote Kusini mwa Afrika ni muhimu na haipotei 2024 kama ni ya watu warefu,laini kwa ngozi watishao toka mwanzo wao hata 1871 tunawakaribisha leo kwa ushujaa wao katika nchi ya uvumi wa mabawa(Ufunuo wa patmo mabawa ni matatu kulia na kushoto kwa kila mmoja katika hao watatu wenye Tanzania na ile moja ya Tanzania nakupenda pale mara70,hata leo pamoja na umati kwa ishara ya pembe za kondoo Hapo Georgia na za Mbuzi hapo Pennyslavia zote ni fiko la mlimani na 60 zetu.Basi kumbe sasa Mungu ni mwema kama asemavyo Mercy Mwasika hata kwa hao watu wa warefu wa Nerthaland na hizo ngao zao,Mercy masika-mwema 🎵
Msawazo pasua kichwa hata chini ya miaka kumi na nane ni umri wa uamzi wa kura kweli ?(Chukizo la uharibifu mahala hapo hapalipasi kuwepo kabisa).umbo la tofali za Mviringo Maombolezo kwa aliyekuwepo,Yupo na ajaye katika mkao mzunguko kuileta pembe saba ufunuo mataifa zaidi ya 23 umbo fedha heshima ya uchumi wa kisasa ya kurudisha nchi za Maryland[8.dece] na serkali ya mapinduzi[Of the war-Delaware] na nyingine zote katika unganiko bora kiminellia mfano wa 706,Yaani kama Nuhu katika Gharika kila zama sawa kiumri na mjumbe afanyavyo kunusuru kizazi kitesekacho na dhoruba za wenye ulimwengu wao.Kumbe hata heshima ya mkuu Gh'onela[Bathoromayo] baada ya kuipokea dini yeye naye baada ya kulila hilo gombo la chuo Kinywani mwake alikuwa ni mtamu kama asali na kwa hilo alijisikia uchungu kwake kwa Habari ya tumbo,huo ndio ulishuhudiwa kama udhaifu na ugonjwa wake kwa mtazamo wa kibinadamu na nguvu yake katika uwepo wa Mungu.
Mariam naye mwamba kinywani kila mara kuiona elimu dunia ni kidogo tu katika habari ya haki kwa wengi katika mwelekeo sahihi akimlilia huyo umbu lake,kinywani yeye kizaa bibi kwake umbu la Lukas huyo alimuita msomi wa wasomi],nimeona nini sasa mimi Batho?.Nilianza na ujinga uelewa ukaja badae,Kumbe tunaishi kwa kuyatafuta yaliyojificha ili kuipatia dunia tiba ya asili.Hakuna tiba ya asili ila kila familia ikujua haiba yake ni utukufu kwa Mungu.Na mti uliopandwa kando kando ya maji hukua vema na kwa majira yake hutoa matunda mazuri na kila kiumbe hufaidi uwepo wake.
Basi sasa hata mimi nimeelewa kumbe HOLY SPIRIT IS TRANSFORMED FROM ONE GENERATION TO ANOTHER tena ndo msingi/masada/nguvu wa mafunuo usiopotea hivi hivi toka vizazi na kwenda vizazi kwenda kuipeleka dunia mahala takiwa.Kuijamini Marium ongozaga, kumbe mamah hawakukuelewa,Mimi hakika nimekubali kuwa wewe ni Mama kwa neema nikawa mimi Leo nakusoma nakuelewa katika vitabu na kuyaongezea macho yangu ya kichwani ufahamu na maarifa kinywani mwangu,na nafrahi kwa hongera ya kuwa na picha yako ,Sikupewa mimi duniani ila kama wengine walivyopewa na watu wa Mungu ambao kwao mimi na wewe tulibishana.
Kwa haki yote nayaona na Kikombe cha meza(dhabihu) nimekinywea(nikisogezewa huo mkate na hiyo divai),nakula bila kunawa hivi leo,kumbe hapana sasa ndo Yayaloulou na divai niliotengeneza mimi katika siasa yetu na desturi niliyoipokea kwako ewe mama Tanzania ni ile ya kujaza yale mabarasi sita kwa namna nakuotaga pale nilalapo na niamkapo yaani heri mama wewe maana Mungu ni wa wote vizazi na vizazi,Kama Mwalimu Nyerere ni Mhifadhi basi Uhuru kwa umri wa Franklin Benjamini kweli DUNIA ya kaisari tumpe kaisari,Fedha moja ndilo tumaini letu leo, na sababu hii ni ya Magu kwetu iliyokuwepo ushahidi hatukutimiza M5 tena nje ya sheria mama katika Second Chimurenga baada ya Ndugu mkapa kutuacha hilo lifanyiwe kazi si hili la mipaka84/85 tu.
Na huko Busumabo ndiko walikolala wakina kizaa bibi hata mimi leo nakiri wao walibatizwa kwa roho na huko walikolala nimepataja si kutaka kuwaamsha walipolala tena kama wale dhamira ya kuwakusanya,hapana, ila nimepataja tu kama wewe ulivyowakiri.Nami niiseme kweli mpaka nizurike ya kuwa hakuna vita kwa viwili vifananavyo katika neema ila vile vipuuzavyo katika neema huikomaza vita.
Nimekuzwa kwa Nishike kitakatifu tu ambacho ni roho ya Mungu katika siku ya Mungu wangu,Tena mtakatifu Paulo kwa waebrania6 naye imeniambia kazi hizo za miujiza hazina uhai sasa na niziache nikitafte kwanza kiini cha mambo yote ya ukuu wa Mungu yaani Kwa unyenyekevu kama wale wa mwanzo kwa Mungu wao nipatiwe Mafunuo(Wonder,wahyi)njia na hatua zangu ziambatane na matumizi yake(Mbinu kisasa), ukikamilika uthitisho(sayansi )nitafute chombo chenye umbo zuri kwenda kwa watu(sanaa) nitapatapo shinikizo la moyo kama ni mara kwa mara( msukumo), kwa safari umo mpangilio wa mda(Time) kwa kila space kwa kila mwendo hatua( velocity).Dunia ya kiulimwengu haigusiki ila kwa mwendo hatua katika kuumaliza mwendo, LOGOS mpya.
Discourse,Basi haya niyafundishe maana ni kweli inayofungamana na Mungu,Yaani kushoto na kulia kote kwake,kama yale ya Miujiza yalifanyika huko nyuma ni kwa ajili ya kuwaita wengi katika meza ya bwana.
Na watu watakapopendana kama sheria kuu walioachiwa basi huo ndio Muujiza mkuu yafaa kila aishiye autende.Nisisahau kuwa Waacheni watoto wadogo waje kwangu nimanishe waje na huo umri wa haiba zao ili kwa mafunuo waishi kama wakamilishi wa haiba hizo kwa hatua katika ujana wao na kwa hayo busara itaambatana nao hadi kipindi kile cha uzee wao maana waliipenda hekima ya Mungu,Na mwisho watalala vizuri maana watakuwa Hawadai na wala hawadaiwi katika Taifa la kesho yao walioaswa na wavaa haki na wale wa tume ya haki na maadili wasifanye kama kipindi kilicholinganishwa na Miaka Saba ya dhiki kuu maana kanisa ni kuwaleta watu katika usawa mbele za Mungu wa mbinguni.
2024 Basi hao 24 kutoka pande zote ndo watu watishao kichwani nenda na moja ( put in) na moja ambao injili ya Luka mlango wa 13:22-30 na ukumbuke kuwa unga ndani haumo na nimeshakwambia sasa America wewe endelea kunifanyia hivo wakati Jah Rastafari -Culture hivi leo.Hivyo ndivyo Mungu huinua wanyonge mlimani Kama isemavyo injili ya mathayo 5 ,Heri yako wewe uliye mdogo maana sasa ni mkuu kuliko watesi wako.Umebarikiwa na hizo ngao zako kwa watu wote tangu sasa na siku zote na milelele Amina, nyinyi ni mabibi na mabwana.
Ni wapi leo Ninawi kama ilivyo katika injili Ya mwandishi Luka,siyo lazima mstakabali wa dunia nzima uwe mahala fulani tu hata mabara madogo kimaendeleo kwa uwezo wa Mungu kabisa kwa hatua za siku tatu na nusu kwa imani yakawa bora kwa ulimwengu huu tuutafutao baada ya mwanzo kabisa,kabisa ya kila kitu ya 2013.Na katika siku kuu ya kila mwaka ni pale mtu akumbukapo kuanza majira mapya kama yalivyoanza baada ya ukamilifu wa miaka 12 ya Yesu ndipo leo yote hufungwa kwanza mpaka wakati wa nyakati mbili na nusu.Na kama heri Mungu atujaliayo ni kuuona mwaka mpya na hayo mambo mengine mapya katika kuanza mwaka,Nimezaliwa mmoja katika moja takatifu nayo ni moja katika kuikomesha dhabihu na sadaka ya kuteketezwa katikati ya juma.Ni nini huko mwanza kama ilivyonenwa na mjumbe mahsusi?Mungu atayujuza yote katika mwendo wa siku tatu.
Haya hata Isaka wa Ninawi(mji zao la ile 666) roho yake sasa iko pamoja nami.Na wote si kwa Mapenzi ya Mungu kwa Kuisikia sauti ya Mungu na kuitii kama Hao niliofikri nimewakimbia?Ukweli una kanuni umbile kudumu uongo hauna kanuni hata umbo, hata baada ya siku tatu unusu kuwa ishara kuu kama ni uongo utakuwa uongo tu,mjuzi ni Mungu wa mbinguni,kwake iwe vyovyote ni uwepo wake kila sehemu.Na Lolote kwa mpango wa Mungu ni sawa.
Hayawi tu yaliyoanza na 1timoth1:12-19 ila yale yaliyotangulia na mjumbe(wa rohoni haswa) athibitishaye uono wa ndani kwa kubariki, kutoa hukumu papo kwa papo mbele ya mashahidi wengi katika kesho ya wote,kuzinena hatua zote na makusudio ya hivi vita na Dalila za ukomo kabla ya hapo ndiyo yaliwekwa vyema kuhusu watu na namna ulimwengu huu ulivyoacha njia.Wapi vijana mpendako katika Makusudi ya Mungu?Wengi wanatisha na kama huna misuli ya imani unakuwa unawafuata kila waendako wakati nje ya njia.Nani Mwishoni 2019 na siku zote alisema biblia imepitwa na wakati?Kama nimekosa kwa hao ila ni kweli wengi huwaza vile kuwa hayo ni mambo ya zamani,Na leo utekelezaji baada ya upekee mkuu wa kujigeuza huku na huku mpaka kukuche kwa ajili ya fimbo hiyo utayakuta mwanza kwa dada,Haya nayo ni baadhi ya yaliyonenwa ili kuja kuyaweka sawa yote(Hekima ni kuchanganua na kuchukua mazuri,yenye kujenga maana Mbingu haina makosa).
Basi msidhani Kanuni hupitwa na wakati(Exodus-Bob marley) na mkumbuke malaika kwa Daudi na mjumbe aliyeenda kwa Muhammad katika hadithi,Je Muhammad[Wasilah] hakuwa anapendwa na watu wengi kwa Tabia zake nyenyekevu katika jicho la wanadamu?Malaika Hakumtambua wema wake na hakumwambia imekubidi uishi kinyume na mtazamo wa watu kwa ajili ya kumpa Mungu utukufu?Na hakipo kinyume leo ila makundi yote yawepo katika uwepo wa Mungu katika hayo rahisi kwa mwanadamu kuyapeleka kwa mwenzake.kwa haiba njema ya Muhammad hakusema kama ni kumpa Mungu utukufu ni sawa mimi niko tayari?
Hiyo quruani68,Coran66 si Mungu shahidi wa kweli wanadamu na yale waandikayo juu yangu?Je kiapo katika Mungu si mafunuo ya mwanzo kuifuata hatima ya mtu kutoka kwa Mungu,Nini kitakupeleka kwenye hatima hiyo kama si mwendelezo wa muongozo wa Mungu katika roho,ndoto,ufunuo,wajumbe na mikusanyiko mbalimbali hasa masokoni?Basi mateso ya Kimungu ni pigo takatifu kwa yule asababishaye mwingine akufuru.Hawakuwa watu zaidi ya 125000 wakitawassuli kila anapokwenda Wasilah?Kuzaa si matunda yapasayo toba?(Kuwa vyovyote ili Mungu atukuzwe),Naye si mti uliopandwa Kando ya maji kama Yusuph?,Je haukui kulingana na majira yake Kama Suleimani?
Basi Coran hushushwa kifuani na hekima za mitume huyaficha yale ambayo haijuzu kuyasema kwa mwanadamu.Na mji wa Madina si mji wa mtume? [baada ya kuwafikia mashingoni hawakulia kifudifudi?] kwa yale waliyokuwa wanayapinga.
Hivyo ndivyo milima husawazishwa na mabonde hujazwa ili kote kuwe kupya[Na katika uislam hadithi inatupeleka kwenye ukweli,Hakuvianza tu vita pale pale ila kidogo kutoka mwaka 594 kupata elimu katika elimu vitendo(hadi 606) havikuthihirika mji wa Yathrib/Siliba/crucify/teta kuharibia ama kupoteza kabisa kama isemavyo Quru9 na quran13?Hakukuwa na vita ila wale walioshuhudiwa na roho pale wanapomkufuru roho Mtakatifu kwa tamaa zao na kujiona bora kuliko mjumbe mahsusi wa mwenyezi Mungu ambaye kwake wote ni sawa.
Basi wapo wa duniani waliokiri kwa vinywa vywao baada ya uchunguzi kuwa sasa nyimbo zote tunakurudishia wewe mwenye mate ya upole ewe mrani/bwana uliaye kimbingu,Mungu awasaidie ili myafahamu mambo yote ili ninyi waterless msivuke mipaka hata wao waliikiri hapo kabla na wakasisitiza usiogope hiyo ni kanuni kuu ya uumbaji wa mbingu,Tena usirudi nyuma na sisi badae katika wewe utatusaidia katika kazi zetu hizi,Je kipimo cha Bob si akili yake huomba ishara?Hakuna ishara ila usiwe wewe 2011,kwa nini kutoka darasani 2012-2015? Mbingu inaweza kukwambia wewe tu,na usiwe wewe 2021 na uwe wewe katika tangu kuzaliwa hiyo 31.12.2022 wazi,hapo ni vema kama mtayachukua hayo yote kwa kesho yenu.Na hawakusema mbingu inataka kwanza uielewe iishivyo?Na sababu ni kuelewa kwanza Mungu aishivyo.
Hapo 2022 si uzazi wa mbingu umethihirika baada ya kukataliwa na nchi ya walio hai,kutupwa nje kwao(Hatumo-Rose Mhando) na badae kupitia Mkuu wa wakuu wote kumaliza mada na watabiri katika majuma 70 matukufu ya kuondoa miaka ya ukiwa?Jemedari mkuu katika siku hizi hajasimama upande wa wana wetu?Sijayafunga kwa ndani ila kingi huchosha kuvumilia mpaka mwisho.Basi sitawaiteni nami wavivu maana mkiwa site nimewashuhudia mnasema kata simu tupo site kwa ajili ya kazi buzy Wawaondolee kasheshe na kama hakuna kazi mnayatafuta hayo ya Mungu kwa utulivu,Hiyo ndo kazi na sala nje ya hapo mtandanganywa sana mara kristo yuko huku mara kule na wakati huo mwisho wenyewe bado.
Tena Rose Muhando ushuhuda wake ni wa kweli kwa huo mkono mweupe kama wa mzungu kumponya unusu mauti wake ulioshuka mithili ya nguzo ya umeme, nami huu ushuhuda ndo mkono wangu unaoandika hapa ,je baba yake kwa kuwa mwislamu haswa ajuaye kuapa kwa farasi waendao mbio(mikimbio ya farasi,Coran90 na ile sura ya 100 na Ufunuo wa huko Patmo hao farasi wapo na rangi zao) hakunyamaza kwanza aione kazi ya Mungu?Mteule uwe macho yaani si kazi yake Mungu kwenu?,msikufuru japo mkumbuke kwa umakini kuanza na Baba nipe uvumilivu hao walionizalisha ndo wamenikimbia.Walipo si wamewaona wazuri sasa mnataka wasemeje.
Haikuwa umbo kumpendeza mtu katika familia hiyo hapo jioni na usiku huo ila sauti pekee kwa huyo mjumbe juu ya ulimwengu huu namna unavyopenda uongo ili kupata masilahi,Msaafu husema wanafitini kwa sababu yapo wanayoyaficha,Nami ni shahidi,ole wa makatazo haramu kwa vijana katika macho ya baba yangu kama mbingu hazijawatapika katika siku ya kisimamo cha ulimwengu huu ambapo malaika watawashuhudieni yale mliyoyatenda.Tena someni vema maandiko na aya za mtume kwa utulivu maneno ya Mungu ni timilifu,Aliyoyaahidi yeye huyatafuta apate kuyatimiza.
Kumbukeni nilipowaambia yachukueni haya yafaa kwa kesho yenu,Muone namna neema ya mwenyezi Mungu kuhusu siri ilivyo kuu.Je uvune chungwa katika mwembe?Asili,asili ni yako nje si pako.Hakuja ila kufungua siri zote zilizoufunga ulimwengu huu na kufungua mafumbo ya imani.Injili ya Kristo na umbambanuzi wa mtume Mohamed haikuwa hivo ila hawakutaka kifungo cha milele yaani hao waliofungwa wakombolewe ni ninyi enyi mabibi na mabwana kwa wakati sahihi.
REGGAE IS STRONG-LUCK DUBE, ni baada ya Malkia Elizabeth085 aliweza kuikubali licha vipofu kuhangaika na KAYA wapate kuhukumu vibaya wasijue sababu ili uwe kiongozi wa kila sehemu kuu kuliko ni lazima kupewa kwanza mwanga wa fikra huru,Na kosa kubwa mpaka mlaji vijiji ni mauaji makuu ya kuwaua watu kifkra.Kambarage975 akiwa hapo Zimbambwe alikuja kuthibitisha Kuwa Mbingu ni Fumbo la imani mwenye kufumbua huwaleta wengi pamoja.Na bado ni mtambuka kwa draw bad card ya Marley kutoka mwanzo hata kizazi cha Babylon system-Bob marley kuileta 52 nyaraka ya Isaya.Na uamzi kuwa bora ya ufunuo 18 na tukiaminicho ni biblia na msaafu kama asemavyo Alpha Blond-Jerusalem is here I'm.Kutembea kwa mpango wa Mungu ndiko huleta maendeleo na Kiapo cha ufunuo yote yamewezekana hivi leo.Na nani sauti ya umati wa watu kama asemavyo Daniel wa babeli aliyesema Babeli mji mkuu utakuja kuanguka, si ile sauti itelekezaye wito kujibu wakati wa Muumba[Victim-Luck Dube] enyi mabibi na mabwana?.
Shika kitakatifu siku ya Mungu wako ndo hiyo kutoiba,kusingizia,kusema uongo,kuzini na kama binadamu kwa ufahamu wa juu hilo razini tunuku ni ile kutoacha kutotimiza wajibu ujao baada ya upambanuzi wa vizazi na vizazi maana siku zote hata Jumanne na Alhamis ni za Allah.Na mjumbe huiweka wazi neema na hukumu kwa wale wavunjao mipaka ya sheria za Mungu/al kitab na chetu ni kile cha nabii Daniel.
Basi tufanye hivi Hivo ili tuitimize sheria yote ya UFUNUO 22,Rule this land-burn wailer Katika uungamo la National anthem of Jamaica.Katika tungamo la ndege huvuna asichopanda,Mwongozo Patmo kisiwani ndiko fumbio la umono.Umbile ni kuzi mtu yuko nalo tumboni,kiwango cha mjongeo kuutafuta muda rasmi wa muwako wa moto ndani yake baada ya baridi kali,Bob marley na wailers ni kama Yesu na wanafunzi wake, We come in,from cold, the village mentioned katika kanuni ya mienendo na krasia za demo kuileta haki kuhararisha itifaki ya maumbile ya freeman kwa wazoee kwanza..Hakuna freeman ila kama isemavyo National anthem ya magharibi ya dunia nzima wa hicho kirukacho kuijaza na kuifunika mbingu yote baada ya siku tatu.
Umekuja moto utarudi baridi ,ndo nakujibu na kwako vice versa is true sitaki nichukiwe na Mungu ewe Sweet Fanta diallo na hivi sasa nasema rainbow in the sky kama asemavyo Alpha blond katika hiyo myangi miwili,hivo basi tambaa lisilo gusa nchi hiyo ndo Jehova-Nisi,Sweet Fanta diallo wote wakawa wako maskini na matajiri,nione basi unakubali kuwa sehemu yangu kwa ujasiri wangu,wa za hapo sawa-Prof Jay.Furaha ya mgunduzi ni mwendelezo wa kugundua na Furaha yake mpandaji ni mwendelezo wa kuotesha mbengu, kuweka kweli wazi mambo kama yalivyo ni uhuru kwa wengi na kuhusu mengine yana wengine vigumu kufanana,Mungu hakutuumba hivo enyi mabibi na mabwana.Kamkumbukeni Timotheo wa waebrania ni kwa nini yuko huru(freeman) sasa?Si mwana mpendwa wa Paulo katika imani?Na magharibi walikuwa hivo nyinyi bado mmefungwa na mitazamo ya binadamu ndani yake kuisahau asili ya wale walioko mwandani kwenu.
Katika kusanyiko viwili kamato fedha la tarehe 22-24 Mwezi Esta kila alie hai ana mabawa sita na itifaki yake ni ngao ya mwongoza kusanyiko.Na hizi ni ngao zetu Afrika na watu wake.Je Mungu hajabariki kiumbe kirukacho popote?Kwa kukipa kichwa, shingo na ndo yaje mabawa kwa kila kilicho hai kipaacho juu?Kitila Mkumbo atasema Kama viti 24 ni mkao dunia kuvitafuta viwanda katika Dira ya miaka 1000 ijayo Katika hayo maombolezo ya wizara ya mipango.Basi ana heri yule atakayesubili mpaka mwisho,ipo siku ya bwana itakayoambatana na kweli yote,Na uongo huua Taifa dhahiri.Tulia wewe ulimi moto upo udongo wa Kinamo,Fumbo linaloishi Tangu vizazi na vizazi husema Yote yaliyomo duniani na mbinguni,Na yote ni kwa uweza wa bwana enyi mabibi na mabwana.Nasema hivi,DIRA NI MAKUSUDI FIKA YENYE MATOKEO BAADA YA KUKIISHI KIAPO katika Rainbow country-Bob marley.
Naye huyafanya yote hata tangu kuyaweka ndani ya mtu,Baada ya Yona huko Ninawi ni kuo la Kusini mashariki mbili mbili kwenda huko kaskazini magharibi mbili mbili ili National Anthems zote zikiri kwa dhati,mfano China national anthem,Japan national anthem,Lesotho na kote yamekuwa hapa leo Mashariki ya mola mlezi baada ya itifaki ya Mungu(makubaliano ya kimahusiano kwa mataifa) kama kanuni ya mienendo toka kizazi kwenda kizazi ili shangwe ya together as one kama hivi leo na baada kudharauliwa,kukataliwa,kuchukiwa na wana wa Muovu wa fikra wa ulimwengu huu,Itifaki iko hivo, Isaya53 kama ufafanuzi wa Masada-Alpha blond.
Mataifa kitanzini na watu wake kukosa furaha kuwa na huzuni mda wote sababu ni wewe ewe mlaji wa vijiji kwa sababu ya Kundi lenu ni kuchukua nyinyi tu kwanza mapema yote.Tena Mtu haandikiwi mafanikio tu,hata kifo ni tamko la Mungu. Na torati ni kuzaliwa maandishi uhusiano endelevu wa watu na agano jipya ni mwendo mpya katika ulinzi mtakatifu wa kanuni dumivu enyi mabibi na mabwana.Hawi yule mtu atakaye mtu ila usonji wa mtu/stoicism ili maandiko kama ya Mtakatifu Luka kuuwasha moto uliowashwa Yawafikie wengi katika malezi na makuo ya mataifa kindugu kuwafungulia hayo mawingu machoni wengine kuwa kile mtu wanachotaka wakapewe katika yale msitahiliyo na mwenyezi Mungu.
Hakuna mapinduzi ila muono wa mbali kufuatana na sheria kuu,Utii kwanza,Huo ndo urastafari fika.Kukubali kwanza ili kuileta haki yote katika macho ya kuupambania usawa.Na hapa yupo aliyepimiwa msambamba wa mambo yote mema na mabaya katika umbo na shahidio la ukomo tukufu wenye sadikisho wa jicho la milele katika umbo saba lako ewe na kote mabibi na mabwana.Tena msifikri dunia ni mali au fedha ila hapo lete kama tulivyo na Mungu huyaleta yote mtakayo ama heri au shari kulingana na watu watakacho kila muda ufikapo.Havitavuliwa viatu vya matope kwenye miji iliyopotea kama Mediani Misri pale kwa baada ya Musa ila kwa wito wa Mungu viatu vitavuliwa mahala patakatifu pa Mungu,Huko wapo wavulana na wazee bikra wasioguswa na majini[asomaye na aifahamu Coran].
Jitenge kuwa kiumbe kipya na mazoea ya walimwengu maana mtu ni yale yaujazayo Moyo wake,Mfano ya haya ni Mbegu katika udongo mzuri na chachu katika pishi ya unga kwa huyo mwanamke huo ndo ufalme wa Mungu katika mti wa ujuzi wa hayo.Na ikulu ya Kambarage ni ile wataitwa wachamungu waingie humo pa amani na salama si Kwa Kukijua kiarabu Bali kuujua umoja ujao kwa kizazi katika mafunuo kuyafungua mengi.
Nini huo umoja ?si kuanza na shauku,nini Ari mpya, nguvu mpya na Kasi mpya? Ari si roho ya mwamko wa sasa?kumbukeni ugiriki na khristos (Chr-ist-British English ) badae waje kina monoskin wa umaskini hao Rastaf(ari) wamiliki wa leo.Nguvu ni huyo roho ndani yetu na Kasi ndo Eneo hatua kwa Muda.Na ajaye humiliki vyote basi kutakuwa na mmiliki wa wamiliki,huyo ni mkuu wa vyote navyo hutoka kwa idhini yake, Huishi katika umoja na wajao kwa kumpenda yeye katika Haki yake.Mfano anasema mdau,Maneno mengi hunyumbulika na kubailika kulingana na majira,neno kama Geologist anaweza aitwe Geologar na Mkemia aitwe arikemia,Katika kuheshimisha sifa za mwanzilishi wa mafunuo ya ulimwengu(Herufi saba kioo, zenye tatu takatifu mwishoni) Herufi tatu takatifu zipatikanazo katika mwanzo wa mafunuo ya siri ya Mungu mfano kwa wagriki hata walatini zilikuwa Herufi saba kioo Kila majira kama tofasri sahihi tukupayo ya msingi wa neno kutoka katika lugha ya watimilifu katika neno yaani uasisi wa elimu Sayansi katika Mungu (most- ar-mmoja wa juu zaidi katika kumiliki).Basi huo ni mfano katika upya.
Mpangiko gani mpya uje,Je ni Riwaya mpya ya mpangilio wa Dunia,nini ni Bob marley-Slave driver?Hutoa kwa Nyakati na makusudi ufunuo wake,Wala hapangiwi kama mtu atakavyo,Tena huo uso wake ni hiyo hedaya ya magharibi ya dunia nzima mnayosema inawatafuna hasa Ulaya na Asia.Haki iko kwake ya kumtimiza mwanadamu kama yeye atakavyo kwa muda wake awe mwenye haki zaidi.Huko Brazili 18-19 Novemba hatuandiki siku moja ila majira na nyakati,na kwa nyakati na majira ni ulimwengu wa haki na sayari endelevu ili kujitoma katika njia ya vikwazo vya mlimani,Ni nini basi njia ya vikwazo vya mlimani?
Ni namna gani ngumu mtu kuifahamu kazi aliyowekewa ndani yake katika mwanga saba Amerika ili kwa hiyo awe mkamilifu mbele ya Mungu.Nini mwanga saba? Si 1,2,3....na 666 kama mwanzo wa mpangilio wa hawa wa huku sisi wa kule tukiamini tutakutana na huyo ndo Ninawi?
Basi Kwa elimu shuka Devis corner tayari Wametandika kwa maua mazuri kwa umbo la Mathayo21;9,Karibu Temeke MOUNTTHOMAS NURSERY AND PRIMARY SCHOOL pazuri kwa watoto[Oh Africa-Akon],Leo yupo na Majaliwa huyu Lady liberty awamu hii kasimama kama Benjamin Franklin, alipo kashikilia hasa na anasema COME AND EXPLORE THE BEAUTY OF TANZANIA,msiikiko wa tarumbeta lenye macho na uso kama wa mwanadamu[macho manne pichani] Nenda na moja kichwani Katika kuimarika kwa Kihunzi cha ngao ya Taifa ya Urusi,maana ubora wa sauti na jumbe katika sanaa zenu sisi mama zenu hamtununuliagi chochote mnatwambia tu hatubadilishi vilemba,Na tunavyo vingi na sijawaomba nendeni na moja kichwani ili mpinde vizuri kama 7 kwa mkao wa MATAIFA 24 kama bilauli kwenu na uwepo kama bahari ya kioo na kwa fedha ndani ya vidole idadi wima hiyo basi mkono wa bwana ni mkamilifu uwepo wake katika kusanyiko lililozungukwa na kama mto au bahari pande zote na kidole kimoja waga hakivunji chawa katika anguko la mlaji wa vijiji serikali yake kwa mafunuo ya kwenye visiwa vya Patmo/umono hasa, ufunuo 19.
Basi umekwisha kaka mkuu wapi pa kwenda,Kwa ufunuo wa Patmo mbinguni ni kwa baba maana urikidharau kidole kidogo katika mkono wako wakati ndo kilishika nguvu yote ya mkono wako na Upinde wa mvua kuzunguka Chumba kizima ni mwanzo mpya wa neema Kwa wengi( Damiani ,Bunju Banton-Thank you lord).
Hakika sikutunga mimi ile nyimbo ya Jua nalo literemke mamah, ama nyota nazo ziteremke mamah,ama mwezi nao uteremke mamah labda sasa Steve katika roho ya Hiza yeye wa Tanzania yetu nchi yenye furaha na Mzee Moses Mnauye roho wa majira yetu haya.Je Yangekuwaje sasa kama Muungano wa ulaya usingekuwepo yaani hao wazee wenye idadi ya nyota 12 na milango yake mataifa idadi sawa namna mlaji wa vijiji unavyowabana pande zote?
Patmo ufunuo kwa zige na asali alinenepa na kunawiri,basi hiyo kama wababa watatu kila upande na wamefunga pande zote kuelekea mbinguni.Bendera ipepee kwenu na nyimbo ya taifa ni mkao timilifiwa 24hrs wa The star- Spangled banner.Who can we calling on to save us?[Blond alpha-peace in liberia].
Basi kaburi za chifu waga ziko hivo kimviringo(Ma tombe-Alpha blond) na 24 viti ni ushindi ndani nje kwa hayo Maombolezo,maombolezo katika ole zote, ni makamanda washukao na kupanda, ufunuo wa Yohana ni muhimu pale pa mabawa sita ndiko juu yake lipo jina jipya kwa Tazama ramani utaona nchi nzuri yenye mito mingi na mabonde.kumbuka, kuwa Torati ni masihi,Reggae ni jumbe muhimu na Injili ni kristo na vyote ni kimoja katika agano la Upendo na Aman[waamzi13;5,1samwe1;11].
Huyafanya vile ili mpangilio mpya uje na Shilingi ishirini kuashiria ukomo wa vifungo saba hata ile ya maana yote ya Nina dhiki kama nini ya Luka kutimizwa kwa lile jina batizo, halina utata tena kama wailers walisha Give thanks and praises wakiwa na Marley huyo roho wa Eliya kuitangulia kweli, mbatizaji wa leo.Maana alikifahamu kifungo(brother Tom fear,No woman No cry)cha namna gani kitakuwepo huko trenchtown,Na meza ya maombolezo kwa shujaa Lawrence Mafuru kwa watu wa mipango kwa uwepo wa Mpango basi nimelia kwa sauti ya upole yaani ya Majaliwa,kwa Mwenyezi Mungu atujalie suluhu itulie mioyoni mwetu Bila kuendelea na hiyo mioyo haitapata amani kabisa.Na hilo ndilo shangwe la huko mbinguni tuendako kwa yeye aliyekuwepo baada ya Calling Rastafari dhidi ya watesi wetu na wa udugu wangu Burning spear.
Ni nini rastafari kama si kuwatoa uhamishoni waliouzwa kwa mabwana wale kwa nguvu ya (Ekaristia ni Chakula-Moyo safi) muda wa majira mapya na kizazi kipya kuianzisha haki yenye mwenendo usawa katika matokeo yake[Kumbukeni injili ilipo sema tumemuona Masihi aitwaye au interpreted Kristo].
Basi dhabihu/meza ya chakula na kinywaji zimeshakwisha kuiva Na Bukuku ni roho ya wewe ni Baba na wimbo wa ndani ya nguzo ya yule yeye ashindaye si ule wa jina la mlaji wa vijiji ila lile la Kama zisingekuwa Juhudi zako Nyerere,Yote haya kwa Mkono wa bwana uliofunuliwa na kazi ya vidole vyake National Anthem ya KOREA kaskazini ingeenda wapi,National Anthem ya Urusi ingekuwa wapi, Israel wangeenda wapi na maombi yao ya kupata amani enyi mabibi na mabwana?Hatukupewa roho ya woga ila Ushuhuda wa kweli ya Kristo isiyofuata namna ya binadamu ile sema,sema,sema,sema kama isemavyo coran kwa Muhammad.
Hakuna mwanadamu atakaye watu wakomboke ila Mungu yote Mwenyezi huyafanya(Bob marley-So much thing to say).Hata mimi mwenyewe nina umimi lakini nimewekewa shinikizo la mvinyo(Ekaristia hiki ni chakula kutoka mbinguni) mbele ya meza ni ili kufungua kiapo changu(kristo ndo roho ya unabii) kusema muda wa ondoleo la dhambi ya kurithi ya mkorogo wa kuificha kweli ili kwa hiyo niseme ukweli kama wengine wa kasumba yangu nikitiwa Moyo na J Martin wa Chupka hata Oyoyo ili nizidi kusonga nikimuona vema Bukuku wa Abneli katika nyakati za kusudi hilo.
Ni kweli yanakera toka mwanzo hata leo,tena kumbukeni baada ya miaka 12(Kwenu ninyi muanze kuhesabu Katikati mwa yule Muungwana,katika habari za utimilifu wa mwanzo wa siku mwenzi na mwaka muone nyakati mbili na nusu zinapopaswa kufunguliwa katika zama hizi, mwanzo wa mwaka nilipowaomba Pasword) ya Kukaa katika shule ya Mungu kwa mwana,akifundishwa hii kweli hamkumbuki pale alipokuja kwenye sinagogi na kuisoma gombo la Chuo cha nabii Isaya61 kwa kuusema utimilifu wa neno hilo kwa watu hao kuwa yote tayari?
Sasa nani alipenda ukweli huo usemwe?.Yaliyopita si kama yajayo mabibi na mabwana?Hamjui Mtu ni kiapo na sheria ya kukifungua kiapo(maono ya mwanzo katika hatima),na nani hakuwa na maadui maana hata Yusuph pamoja na kushauriwa na baba yake asiseme kwa ndugu unafikri kwa nini walimuuza?Wala si pesa ila hawakukikubali kikombe chake kama walivyojua maana watu wa magharibi ya leo,na huko ni sababu waliificha siri hiyo(kwenu maana ikawekwa kwenye matukano,heri mvumilivu na ni dhambi kumtukana mtu mbele ya Mungu/kuna kitu unaficha).
Wote Hawawi na Choyo katika mambo ya ghaibu hata Surat Yusuf 81,hata Tak 'wir 24 hizo ni kanuni za mienendo ndo maana wote hao 144000 na wengine zaidi 125000 japo ni mlemle na Hawaji ila kama waliotanguliwa namna litokevyo Jua ni Sambamba na Mwezi japo palipo na giza kuu basi Moto mkononi hukamilisha uhuru katika nyanja za kihatari.
Ni yupi miongoni mwa wenye mwili atampangia Mungu tunataka ndugu yetu awe hivi?Kitokacho juu kina mambo ya juu,Ukungu hauna asili ya juu kuzima kasi ya Tai arukaye huko Urusi Kuwaita ndege wamle yule dragoni wa watu wote na kumuweka juu ya mti wa uzima wa mabibi na mabwana naye kila atakayemuona namna alivyokufa akapate yeye kupona na kizazi chake.Ulimwengu huu nao ubebe tu msalaba wake.Sisi waga hamtusaidii yanapotukuta,kumbe nani alimsaidia Kristo maumivu na mpaka umauti unamkuta pale msalabani/mnawapenda wagomvi enyi waoga,Tunazungumza mambo ayatakayo Mungu si mwanadamu na hivyo yanauma ndo maana tunasema tunataka mabadiliko ya dunia sasa.
Kwa hayo Lazima ayafurahie Mungu kwa Mtume wake si watu mkorogo wa kimawazo ya magharibi wao kila kitu haiwezekani kabisa eti kila siku husema mpaka Yesu arudi.Basi Ninawi wa leo kwa upofu wenu wa mji mjini ya Mawe atawahukumu kuwa ninyi mlikosa kuhukumu kwa kuwafuata waliokataliwa baada ya kuwatenda mitume wao kama wale wa miji mingine iliyo kwenu katika hayo matukio mawili makuu.
Mwatakaje, Rose Mhando- Nije vipi?Jamani nimekula mwili wake na nimekunywa damu yake(Mkate na kinywaji) na mzazi wa kiroho na moyo wa mwana ni Daniel7;13 nayo ufunuo10:1 na Furaha kuu ipo mwisho leo yapo mambo mazito kwa Walawi na hii ndo ishirini yangu,Sasa nini furaha yangu zaidi ya hilo jina litakalobaki kwenu?,si matokeo ya hilo?,mafunuo hayajakuwepo kwenu?,Mwiba gani uniweze,nje ya hayo ni ya mwingine, ni sawa sasa naye aje na furaha yake,Hawi na habaki kiongozi wa kiroho katika ninyi ila aliekinywea kikombe hicho na kukikabidhi kwa uaminifu kwa watoto wake kwa ndugu wote.
Urusi na wengine 23 wa mfano wa urefu wa watu wa Asia nikiambiwa wana furaha ya kuwa na mipaka ya maji na mlima kama sisi,sitashangaa ila nitauliza kuwa hilo wingu kama la umande/barafu na huko lipo kwa hao watishao toka mwanzo wao mpaka waje mwaka wa 60 na bendera kuuona huo Mwenge?Taifa si huku kwa 1964?Kambarage ni nguli matata na mhifadhi,mhifadhi wa Mengi kafa maskini mtanganyika wa mwenge wa 1961,sasa yeye mumuone tofauti kwa sababu ya tamaa za leo za kupenda fedha tu na kwa mapenzi ya Mungu muone mwachelewa.
Mumchukie Kambarage sababu ya mvuto wake na kwa kumkolezea fitina na majungu,Hata kazi ninyi hamumuwezi utendaji ndo kwa tamaa ya maslahi mpindishe nguvu yake ya uamzi iliyoko ndani yake.Zawadi ni ile ya sita ya Saba ni shukrani.
Kambarage Mwenye Roho takatifu hayuko hivo,Hasemi yasiyohusu injili maana makabidhiano ni kwa mjibu ya neno,Yale yastahiliyo kwa ushahidi wa kinywa cha Mungu na kitabu chake ndo anawapa,Nasema roho mtakatifu ni Hekima hasemi tu ila kashashuhudiwa kwa funuliwa.Msiuchukie mvuto wake kambarage kazaliwa kuwa karibu na watu na kueleweka kwa sababu ya Mazungumzo yake mazuri ndo mmufitini juu yake hata mbingu zikubali.
Mungu hadhihakiwi maana kwa uweza wake kutoka kwa mwanamke wa namna gani kwako ila kwake inawezekana mbingu kuongezeka juu kutimiza idadi iliyokuu.Hekima ni mwongozo wa roho katika mafunuo kuzaa busara iletayo uvumilivu jambo hilo kwa mwingine.Kuridhika ni kuzaliwa mara ya pili na ndo huzaa hekima yote na subira yote,Hekima ni kukubali yakupate na kama kwa watu wanaojitaftia wawe wenye haki kwetu ni chumvi itatiwa nini ila nani ataizuia hekima hii kuwa mahala pake hata kwa Hongo ya Magari na fedha ya wananchi mseme moshi haukuzuka kwenda mawinguni?Ufunuo2 ni malaki3.
Mtu ni kiapo,sasa nini tunamzidi Baba yetu kwa Heshima ndani na nje.Kazi ni Wito katika kila zama basi hao nawapeni mimi ndo marafiki wa Nyerere na watanzania na nyinyi mwataka watu mifano wa wale wafisadi wa mji mjini ya mawe wawe waamzi wenu,Yanawezekana yote ila Password kuipata ya kanuni za mienendo hawawezi.Mtoaji ni huyo waliomkufuru na hayo wanayoyakataa.Mnapoulizwa uzuri wa nyumba mwasema kwa nje ilivyo kuficha aibu ya ndani kwa waulizaji?Katika roho hakuna lifichikalo lisiweze kuja kuwekwa wazi ila ukimiya ndo uongozi bora kama kukubali kushindwa katika baadhi ya maeneo,siyo kila sehemu finish ili wewe ushinde.Taifa ni umoja,nje ya umoja hekima hukaa pembeni.
Roots Underground-20Centuries Na Ndugu wa Black uhuru hapo Jamaika ewe Burning Spear kama usemavyo WE ARE GOING na ile in Africa, basi nyinyi wa kazi iendelee sasa ni wapi juu yetu?Maana hamchelewi kusema tufungulie huyo mfalme wa Wapogoro,hamumtaki Baraba,Na yote hayo vichwani ni Kazi iendelee.Hakuna mtu chini ya Jua anaweza kufikia kimo cha Mwisho cha Kuzijua siri za Mungu,Yeye Mungu asiyeonekana na uharibifu,utukufu ni wake pekee milele na milele,Heshima na vyote tutamrudishia.
Marejeo si miaka 60 tumedumisha mambo hayo na salamu yetu tuitamkayo si AmanI iwe juu yenu au lile swali twambie ufalme lini tutarudishiwa?Si roho mtakatifu atakapo kuja juu yetu(Wape habari wewe Blue Byser),Kumbukeni tarehe 25 April 2024 enyi vijana mlivyoambiwa kuhusu Muungano na Mama yetu wa Kanisa jipya,Na kafanyeni hivo baada yakukabidhiwa hiyo neema iliyopo,Isaya18.Na Mnapotangulia mnatuona watu wa maporini kama siyo watu,Na leo Mnaitikia kila siku kwa kazi iendelee,Ni vema zaidi kama kazi itaendelea kama ilivyopangwa na Mungu.Ile ya kufuata mapenzi ya Mungu hata kwenu mkionekana wabaya kama wale waliojihesabia haki ili wapate kumshitaki Kristo Yesu mbele ya Pilato.Lakini KAZI NAWAPENI sasa, mnitafutie namimi hilo Jina La Jamhuri ya Muungano linaitwaje.Nanyi mnipe kama mimi Nilivyowapa la Mungu wangu na la huyo mwanaye na lile Jipya ambalo Yohana wa Patmo akiwa kisiwani/upekee mzito alilosema kuwa kristo aliyemfunua alikuwa na jina jipya ambalo katika ninyi hamkulijua isipokuwa yeye mwenyewe.Sisemi tu maana hilo jina litabaki ndani yenu baada ya wote kukaa pamoja kwa uweza wa Mungu maana kwa kanuni ya mienendo tumethibitishiwa wote ni ndugu wa mmoja,One heart.
Muutafte huo utulivu ambao kila siku mnautukana eti ni wendawazimu mpaka mjue roho iishivyo milele hata baada ya mtu kuwa mwenda ili msitukane bila kujua na sababu mwataka muwafumbie watu wanaokuja pamoja na Roho ya kwa nini ili kubaini nzuri ni kazi endelevu mfano Kwenye Korosho mtu ajikunje kubaini kuwa hakuna mafuta,maganda na tunda tu.
Iko hivo katika kupewa kama utashi wa Yakobo kwenye pambano lake na Mungu mpaka akambariki kama asemavyo Nabii Rolinga kuhusu kung'ang'ania ng'ang'ania baraka za bwana yaani huo uking'ang'anizi utakaopelekea kupewa hilo Jina jipya Ilivyo na vema ya mambo yalivyo, msije kulaumu tu Mungu apangavyo katika habari ya Roho na mipaka yake kutoka kizazi kwenda kizazi Japo jina lipo hapa ila Mungu ndo huonesha vyema.
Wapo husalimiwa ubini wa mama wakati mwingine ,Sijajua kwa Afande mfalme Sele-Upendo na Amani maana yeye alilia sana kwa Mkuki Moyoni, Huu uende kwa nguruwe usimletee mchamungu uchungu tena,basi Kwangu ni huko Kuitikia Ing'washi(nyimbo za kukiri asili ya watu wa mashariki) pale anapotajwa huyo Luka(Kabla ya injili alitwa Mpejiwa yaani mtembeaji huku na huku kuutafuta utulivu), kwa Mama[Nyamalwa/Nyamawalwa-Mzazi mlezi akumbuke pombe muda wote inaweza kuuwa kichanga cha mkwewe] yupo Batholomay(Ng'onela yaani akijikunja kajikunja hataki bughuza) ambaye Tabia zake ziliniletea maskitiko hapo mwanzo nilipokuwepo namna ya Kawaida ya walimwengu,huko kutaka kuifurahisha dunia(yeye ni mfia dini baada ya usomi nguli wa injili kama alivyosimuliwa) lakini leo nami ni yeye kama alivyofungwa Paulo/Kristo kama mtenda mabaya,Lakini ninao umwamba wa kuipeleka injili kwingine kwa Ushahidi wa Waebrania kama ilivyokuwa haipo kwangu ambapo kwa hivo nikawa sawa na yule mtukanaji.
Hivi sasa Roho ndiye aishiye milele zote bali mwili hufa na kutengenezwa tena mwingine,Tunabatizwa kwa maji sababu tulikuwepo kabla na hayo majina yetu yatufate katika Baba na tunabatizwa kwa roho kuikamilisha kabla yote hasa ile ya ukamilifu wa dahari,Kanisa limejengwa kuitafta kabla na Mungu yupo kuileta kabla zote hata hizo za dahari,hakuna kabla wala kesho kwa upofu wa vyote yaani Mungu na dini,Kama Mtakatifu Paulo alivyosema,upo mwelekeo na matarajio,yote yapatikana kwa mmoja,Huyo Mungu mwenyezi.
Je hamjui kuwa yeye Mungu hulitafuta kwanza Neno lake alilosema ili apate kulitimiza?
Lakini yote hayo kwa namna ya urithi wa pekee na leo haya ni mambo ya kuuwasha moto na kumlika kote,alikosema Burn Spear- Jah is my driver., Udadisi na kutembea ni mpango wa maendeleo ya elimu katika ngazi zote saba.Kusema ukweli baada ya kuchanganua mambo na hata kujisahihisha ni ile baada ya Kuzaliwa mara ya pili,huko utasoma vya kawaida ya dunia na baraka/upekee katika ufahamu wa mambo ya sirini ambayo kwayo leo nami ni bora,Haijalishi kujisemea ila roho mtakatifu ni shuhuda wangu kwenu kama ilivyokuwa kwa wale walionitangulia maana waliponywa na injili kama mimi leo.
Basi kama ilivyo kwa danieli ewe Mungu wa baba zangu na Mama zangu ujuaye ya sirini nami nakushukru kwa yote sasa, katika hali ya kwanza sikunawiri kwa kuwa sikuichokonoa kwa undani mara kwa mara injili ya Yesu kristo huyo mwana wa Mungu na leo baada ya kuichokonoa( bongo star search) utakuwepo unawiri kwa wengi katika mwanzo wa Bongo Planet, a matter of Space and Time.
Hatupoi kizembe maana tumenunuliwa kwa damu iliyomwagika msalabani na hivi sasa ishara ya Yona huko Ninawi hakika itashuhudiwa na kizazi hiki tena kama isemavyo injili ya Mbarikiwa Kristo ambayo kwayo ni udhamini wa agano jingine lililobora zaidi kama nilivyowaletea na isemavyo kanuni bandano ya miamba.Na ajabu ya Mungu ni kwamba anayejua hajui bado kwa mnara wa Amerika ila mwanga wa Mnara wa African renaissance hapo Dakar- Senegal kwa muono wa Abdoulaye Wade tukiimba sasa THE Negro National anthem(America) kote na aketipo yule Mwanamke pale penye maji yale mengi(Ufunuo17 Patmo,Mteule uwe macho-Rose) wakijua wengi ndio kutakuwa kumewaka(my American dream-Alpha Blond) kwa kila mmoja mgao wa umeme utampata(Tere-Alpha blond).
Ras sparrow -Zion town ni wenu enyi Mabibi na mabwana baada ya hapo mtaniambie kama kichwa cha habari hapo juu ila hii ni farasi ya tang-ting,tang-ting katika ujio wa mikimbio ya Kutoka ndani kama asemavyo TITIEK SANDHORA-TANG TING Hapo Indonesia ama isemavyo Kumi na 8-Abangwe hii ni ndefu,long term issue na mengine ya Mungu, Na Ting-Tang ni kusanyiko la kimtazamo linalotambulishwa kimaono na miondoko ya vijana kulileta Taifa Lao,kama wazee walivyotabiri na watayaona hayo Maji ya moto.Kuishi ni kristo huko kufa ndiko faida,Je niionee haya injili ya kristo nami ni katika kusema kweli ambayo Yeye Mungu ametaka hivo,Hekima si za Sulemani zashuhudia namna Majira yalivyo?Iweni wavumilivu,huruma na Wamtafutao bwana kila kukicha ili muone umbo la wajumbe wake lilivyo wala mistake kulifunga lililofunguliwa na Mungu.
Patakuwa na shukrani kwenu nyote kama TRAB na TRAT mtaitafuta kwa Formula Mwigulu=Nchemba,nami sasa kwa kuhitimisha kama Ezekiel3 kwa yote asante Mungu(Thank you lord-Damiani Marley),Kenya Paul Mwai-Nitatangaza.