The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Oven.Black is better
HahahaOven.
Watakoma kwa joto.
Rangi [roof paint] ya maji inafaa zaidi.Nenda maduka ya rangi, kaulizie roof paint, na pia watake ushauri, rangi gani uichukuwe ambayo haita babua bati kwa muda mfupi
FighterChukua kiboko ni nzuri
ndani mmeshapaka? kama bado karibu nikuuzie rangi nzuri kabisa ya mchanga au silk wash and wear
HaaaaKuna Msemo "Mbuzi Hula Urefu wa kamba yake" nadhani mkeo ameusahau
Inafananaje? Mimi ninatafuta ya dam u ya mzee iliyokoleaRangi bora kwa bati ni kiboko, mara ya mwisho nilinunua 115,000 ndoo ya lita 20
Ni dhana ya kusadikika[emoji779]Sorry mdau
Hivi dhana ya kwamba majini wana kucha ndefu niyakuthibitika?
Kuepuka hilo tembelea wauzaji tofauti tofauti ndipo upate hitimisho. Simple like that.Ampate mfanyabiashara mkweli, wengine wanakushauri ili wakuuzie kilichopo dukani kwao
Jamaa we mkali.Jengeni nyingine mweke mabati ya rangi. Acheni kuumiza kichwa kwa kitu ambacho hakiongezi thamni. OVA Kama akiendelea kukosa amani mwambia talaka itamhusu.
Hapo ongozaneni na mkeo mkachague rang pamoja, unaweza ukachagua rangi ukapak ukakuta hiyo rangi ndio imemchefua zaidi kwenye finishing, mshirkishe mkeo kama unataka kumridhisha achague yeye rangi ya bati na rangi na nyumbaWakuu habari za wakati huu.
Nimelazimika kuingia humu kuomba ushauri kwa ajili ya kapata namna kumpa mke wangu amani ya moyo.
Nina mshukuru Mungu tumejenga nyumba kubwa nzuri na kufanikiwa kupaua kwa mbati ya GSM yale yasiyo ya rangi, huwa ni alluminium tupu.
Majirani zetu nao wamejenga nyumba zao nzuri kwa mabati ya rangi tofauti tofauti ili mradi tu kila mtu nyumba yake iwe kivutio kwa kila apitaye jirani macho yake yaelekee kwenye mapaa yao Jambo ambalo Mimi sikuzingatia.
Kilichonileta humu ni mke wangu hana amani kabisa na hili paa letu, anatamani lipate rangi lifanane na majirani wakati huo uwezo wa kusema ninunue bati 192 ya rangi ili tubadilshe kwa kweli sina na wala mpango hapo. Nimeona maeneo fulani watu wanapaka paa rangi ila baada ya muda rangi zinababuka na paa kuwa mbaya zaidi na bora ingebaki hivyo hivyo. Sasa mke wangu hana amani anataka tupake rangi paa letu.
Ombi langu wanajamvi nipake rangi gani ambayo itaweza kuendana na mabati ya GSM na ambayo hayata babuka?
Mkuu mimi ni fundi rangi, naomba nikushauri kama unavutiwa na rangi ya Durk blue ya P .V .A. sifa ya rangi hii hata ikipauka huleta rangi ya blue bahariWakuu habari za wakati huu.
Nimelazimika kuingia humu kuomba ushauri kwa ajili ya kapata namna kumpa mke wangu amani ya moyo.
Nina mshukuru Mungu tumejenga nyumba kubwa nzuri na kufanikiwa kupaua kwa mbati ya GSM yale yasiyo ya rangi, huwa ni alluminium tupu.
Majirani zetu nao wamejenga nyumba zao nzuri kwa mabati ya rangi tofauti tofauti ili mradi tu kila mtu nyumba yake iwe kivutio kwa kila apitaye jirani macho yake yaelekee kwenye mapaa yao Jambo ambalo Mimi sikuzingatia.
Kilichonileta humu ni mke wangu hana amani kabisa na hili paa letu, anatamani lipate rangi lifanane na majirani wakati huo uwezo wa kusema ninunue bati 192 ya rangi ili tubadilshe kwa kweli sina na wala mpango hapo. Nimeona maeneo fulani watu wanapaka paa rangi ila baada ya muda rangi zinababuka na paa kuwa mbaya zaidi na bora ingebaki hivyo hivyo. Sasa mke wangu hana amani anataka tupake rangi paa letu.
Ombi langu wanajamvi nipake rangi gani ambayo itaweza kuendana na mabati ya GSM na ambayo hayata babuka?