Mti mkavu01
Member
- Apr 25, 2020
- 9
- 11
Wakuu msaada wenu wa haraka
Nipo Mwenge TRA nipande gari gani nifike Kawe Beach?
Nipo Mwenge TRA nipande gari gani nifike Kawe Beach?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda pale mataa kapande gari za Kwenda Kawe zinazotoka Mbezi kupitia mawasiliano kisha ukifika Kawe panda gari zinazoenda mbagara au Kariakoo kisha mwambie konda nataka nishuke Kawe Beach atakusaidiaWakuu msaada wenu wa haraka
Nipo Mwenge TRA nipande gari gani nigike Kawe Beach?
Kama sio mwenyeji atapotea ha hakwa mguu hapo mbona fasta
nenda mpaka ITV, nyoosha na ile road, mpaka chuo cha kodi
kula mtaa, unafika mtaa wa Bima, old bagamoyo road, karib na Clouds, mwendo wa dk 20 tu
haha wala hapotei kuna Google maps, kuna boda pia pale, 1000 tu tayari uko old bagamoyoKama sio mwenyeji atapotea ha ha
Kuuliza si ujinga, hapo ulipo hakuna watu wenyeji wa kuwauliza ukapata msaada wa haraka? Au wewe ndiyo wale vijana wasiosalimia au unaogopa kuonekana "twaingia"?
kwa boda sawa mkuu ni bonge la shoti kati, daah nakumbuka msasani beach enzi za Akudo jumapili.haha wala hapotei kuna Google maps, kuna boda pia pale, 1000 tu tayari uko old bagamoyo
kule kwengine unazunguka mno
Unajua kuna watu hawawezi kabisa kuuliza sijui ni nini kinasumbua tukubali kuwa bnadam tuko tofautiWana jina lao zuri wanajiita 'introverts' sijui, bure kabisa yaani.
Jamaa anaonekana bahiri sanaBwashee tembea hadi hapo kwenye traffic lights.
Uliza bajaj zinazofika Clouds, amen!
Unajua kuna watu hawawezi kabisa kuuliza sijui ni nini kinasumbua tukubali kuwa bnadam tuko tofauti
Ita uber au bolt harakaWakuu msaada wenu wa haraka
Nipo Mwenge TRA nipande gari gani nigike Kawe Beach?