Nipanue Biashara au ninunue kiwanja kwanza?

Miiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
3,835
Reaction score
2,642
Ndg wana JF

Nina biashara ambayo inaendelea ina niingizia km Lak5 toa Gharama zote kwa mwenzi! Lakini biashara hii inahitaji mtaji mkubwa nimedunduliza kwa kipindi cha mienzi 6hivi Nina km 4ml

Naombeni ushauri nilikuwa na wazo LA kununua kiwanja ili nitengeneze mazingira mazuri ya kuaminiwa na benk niwe na chukuwa mkopo, baadae nijenge ...

Ni nunue kiwanja au nikuze mtaji kwanza.
 
ungepanua kwanza ingependeza sana


nakushauri panua
panua wigo was biashara yako
 
mkuu panua biashra then utapata faida kubwa then utaweza jenga pasipo mkopo nadhani itakuwa vyema zaidi
 
Mkuu panua a.k.a extend
 
Nakushauri uangalie biashara inavyokwenda, kama ina uhakika wa kukua ukiivest hiyo 4m basi iweke kwenye biashara lakini kama trend haina uhakika kanunue kiwanja.

Faida ya kuwa na kiwanja utaaminika na kupata mkopo

Lakini utakuwa unamiliki asset kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ukizingati kwa sasa viwanja vipo kwa bei chee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…