Nipashe: Mchakato wa Chato kuwa mkoa umekamilika

Nipashe: Mchakato wa Chato kuwa mkoa umekamilika

Kiturilo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
708
Reaction score
2,859
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.
20210930_085044.jpg
 
Gazeti la Nipashe toleo la leo limeripoti kuwa mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya wa CHATO umekamilika rasmi na sasa anasubiriwa rais Samia kuitangaza kuwa mkoa tarehe 14/10/2021 hivyo kutimiza ndoto na maono ya hayati Dr Magufuli aliyekuwa rais wa 5 wa nchi yetu.View attachment 1958050
Inaonekana kabla JPM hajafa alimwambia SSH lazima chato iwe mkoa manake sioni sababu nzuri ya kufanya hivyo isipokuwa ni wosia wa mtu!
 
Inaonekana kabla JPM hajafa alimwambia SSH lazima chato iwe mkoa manake sioni sababu nzuri ya kufanya hivyo isipokuwa ni wosia wa mtu!
Mchakato wa Chato-Burigi kuwa Mkoa ulikamilika tangu JPM achaguliwe kuwa Rais. Ni wazo alikuwa nalo siku nyingi sana. Alianza kugawa jimbo, Wilaya na baadae Mkoa. Sema utata ulikuwepo kwenye mgawanyo wa mipaka, makao makuu na jina la Mkoa mpya.
Angekuwepo wangeuita jina lake au Rubondo.
 
Hatimaye.........hivi ile International Airport haijakamilika bado hapo Chato?
 
Wanawaongezea wananchi na wakazi wa Chato garama za maisha zisizo za lazima.
Yaani wewe tena ndo unapaswa uhamishiwe mkoa wa chato wilayani huko ukatumikie wananchi
 
Back
Top Bottom