Nipate wapi kiasi cha pesa ninachopungukiwa?

KAPIRIPIRI

Member
Joined
May 24, 2011
Posts
31
Reaction score
9
Mi ni mjasiriamali, project yangu inahitaji milioni 2, tayari nina milioni 1 na nusu.Wapi naweza pata mkopo wa laki 5 za haraka kwa muda wa mwezi mmoja?
 
Nenda survey karibu na Mlimani City kuna loan agency; tumia namba hii 0767210330
 
Au kama una account na benki yako, waandikie mchanganuo wa mradi unaotaka kuufanya na uelezee huo mtaji wako ulionao. Ni matumaini yangu ya kwamba kama ni mradi wa millioni mbili na una hizo millioni 1.5 hawatakukatalia kukupa hiyo robo unayoihitaji. Kikubwa uwe mwumini wa benki ndiyo jambo kuu wanaloangalia. Na namna utakavyojieleza hasa kuhusu huo mradi na uoneshe mtirirko wa mapato unayotarajia kuyapata kutokana na huo mradi. Kila la kheri!
 
unarudisha kwa riba ya kiasi gani hiyo laki 5???Maana yawezekana ukapata kwa mwana JF mwenzio bora tuu uzingatie masharti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…