nipateje join instruction za st.joseph univasity of tanzania

Hawa jamaa wametoa maelekezo tar za kufanya registration kwa Dar kuna tar 19.20 na 21 sept na songea tar 19 sept na makambako tar 20 sept. source daily newz ya tar 21 august
 
Hawa jamaa wa St. Joseph joining instruction zao zinapatikana chuoni, xo kama unahitaji joining instruxn nenda chuoni kwao AU ka' upo mikoani tafuta m2 unayemfahamu aende akakuchukulie pale chuoni. MAELEZO MENGINE MUHIMU. Kutakuwa na registration kuanzia tarehe 18/09/2012 na Academic year inaanza tarehe 26/09/2012.
 
kama unataka maelezo kwa kina wasiliana na mm # 0754817242 Coz mm nimeshafika pale nikafahamu kila kitu piga nikufahamishe kwa kina kuhusu joining instruction
 
naombe msaada wajoin maana kwenye web yao mm sion

nilimchukulia m2 m1 pale walimtxt aifate b4 the end of d week, nikam2mia kwa mail. N2mie mail yako ntaku4wardia
 
nilimchukulia m2 m1 pale walimtxt aifate b4 the end of d week, nikam2mia kwa mail. N2mie mail yako ntaku4ward
mkuu email yangu ni (thadeowimo@yahoo.com)
 
mkuu mbona kimyaa upatapo nafasi naomba sunitumie join hiyo kupitia (thadeowimbo@yahoo.com)

natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…