Elections 2010 Nipateje namba za simu?

Elections 2010 Nipateje namba za simu?

Konakali

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
1,533
Reaction score
266
Nahitaji namba za simu za Slaa, Mbowe na Zito....! ninalo la kuwaambia.
 
Nenda ofisi za chadema karibu na wewe
 
sidhani kama ulihitaji kuandika thread kwa ajili ya namba za simu, kama unazihitaji kweli ungezipata bila hata ku'post hiyo thread yako.
 
uwezo mdogo wa kufikiri. kwa namba za simu lazima azitafutie hapa JF?
 
aNAHAKI YA KUTAFUTA NA KUZIPATA BWANA
 
We KONAKALi mbona upeo wako wa kufikiri mdogo hivyo inamaana hata hujavisit mtandao wa CHADEMA?
 
Huyo anapoteza muda wa watu kwa post isiyo na kichwa wala miguu !!!
 
Back
Top Bottom