CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Wakuu nimekwama baadhi ya mambo fulani hivi,sasa natafuta mkopo wa shillings 15,000,000 million na ntarudisha shillings 18,000,000 ndani ya miezi sita tuu.
Dhamana ni nyumba iko Morogoro nanenane,ina hati na tayari inatumika kwa makazi ya binadamu.
kwa aliye serious ani PM au anifate hewani kwa namba hii:0719 087 330
Nawasirisha.
Dhamana ni nyumba iko Morogoro nanenane,ina hati na tayari inatumika kwa makazi ya binadamu.
kwa aliye serious ani PM au anifate hewani kwa namba hii:0719 087 330
Nawasirisha.