Codename96
Member
- Sep 17, 2020
- 90
- 85
Kama una benchi zuri la mbao (lisiwe la chuma na lisiwe na sehemu ya kuegemea) linalotosha kukaa mpaka watu wanne njoo PM tufanye biashara.
Kama wewe ni fundi seremala na unaweza kuniahidi kunitengenezea benchi za aina hiyo kwa haraka (nataka tatu tu) njoo PM tuone tunafanyaje.
Nasisitiza, uwe na uwezo wa kunitengenezea fasta maana kuna fundi tumegombana nae, alichukua advance akawa ananizungusha zungusha tu kazi yangu hanifanyii. Ikabidi nimnyang'anye ile advance.
Kwahiyo kama naweza kupata benchi kwa haraka itakuwa vizuri.
Kama wewe ni fundi seremala na unaweza kuniahidi kunitengenezea benchi za aina hiyo kwa haraka (nataka tatu tu) njoo PM tuone tunafanyaje.
Nasisitiza, uwe na uwezo wa kunitengenezea fasta maana kuna fundi tumegombana nae, alichukua advance akawa ananizungusha zungusha tu kazi yangu hanifanyii. Ikabidi nimnyang'anye ile advance.
Kwahiyo kama naweza kupata benchi kwa haraka itakuwa vizuri.