Natambua hilo, kama unayo niambie nije kukaguaNdugu, gari unaweza pata ila itakuwa ama ya transit iliyosajiliwa kiuwizi au ya wizi kabisaaa iliyobadilishwa chasisi ikapewa namba ya gari iliyopata ajali gari hiyo ikachinjwa na kadi ikauzwa kwa wezi.
Kuwa mwangalifu. Utapigwa mkenge .
Kodi tu inazidi 4m
Tafuta piki piki jamaaHabari wadau, nahitajiToyota IST yenye namba D yoyote ile hata iwe DAA iliyopo Dar. Budget yangu ni Milion 6.5 TU!! Hiyo ndiyo hela iliyopo ni vema likazingatiwa. Kama unalo hilo gari nicheki whatsapp kwa namba 0755963775
Tafuta piki piki jamaa
Ipo namba C kwa 6.5milNatambua hilo, kama unayo niambie nije kukagua
Kwani namba za gari zina uhusiano gani na quality ya gari?Ipo namba C kwa 6.5mil
Namba D kwa 7.5 mil
0744033555