KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Kuuliza si ujinga, naomba unisaidie kupata majibu ya maswali haya manne 4:-
1. Aliyechora ramani ya Dunia alipo kuwa anaichora yeye alisimama wapi?
2. Mtu wa kwannza kutengeneza pesa, yeye alilipwa nini?
3. Aliyegundua kusoma shule yeye alisoma wapi?
4. Mtu wa kwanza kupata degree walimu wake walikuwa na kiwango gani cha elimu kishule?
Ukishindwa mtumie mwingine naye leo mpaka tupate majibu [emoji4]
1. Aliyechora ramani ya Dunia alipo kuwa anaichora yeye alisimama wapi?
2. Mtu wa kwannza kutengeneza pesa, yeye alilipwa nini?
3. Aliyegundua kusoma shule yeye alisoma wapi?
4. Mtu wa kwanza kupata degree walimu wake walikuwa na kiwango gani cha elimu kishule?
Ukishindwa mtumie mwingine naye leo mpaka tupate majibu [emoji4]