mwachalika
Member
- Nov 24, 2009
- 32
- 15
Miaka 3 unasaka leseni? Labda njia unazotumia si sahihi
Kuna baadhi ya watu wanaomba leseni wakiwa hawajanunua hata kifaa kimoja na hata eneo lenyewe la radio ni magumashi. Sisi tumejipanga vyema na kila kitu tayari mpaka setup ya jengo mzee
Ni kweli hatutaki kusikia ngoja na sisi tujionee wenyewe huo utaratibu wa TCRA. Shukrani kwa msaada
Habari wadau wote jamvini. Radio mpya ya kisasa inategemewa kufunguliwa mkoani Tanga mwanzoni mwa 2015 hivyo tunaomba mawazo yenu kwenye jina la Radio. Tumeona ni vyema tukachanganya mawazo kwenye kutafuta jina la Radio hii. Yeyote atayetoa jina ambalo litaonekana linafaa kutumiwa na kituo hiki cha radio basi ataalikwa kuhudhuria ufunguzi na pia atabaki kwenye kumbukumbu ya kituo chetu. Mawazo yenu ni muhimu sana kwa wakati huu. Karibuni
Ni kweli hatutaki kusikia ngoja na sisi tujionee wenyewe huo utaratibu wa TCRA. Shukrani kwa msaada