Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Habari wadau wote jamvini. Radio mpya ya kisasa inategemewa kufunguliwa mkoani Tanga mwanzoni mwa 2015 hivyo tunaomba mawazo yenu kwenye jina la Radio. Tumeona ni vyema tukachanganya mawazo kwenye kutafuta jina la Radio hii. Yeyote atayetoa jina ambalo litaonekana linafaa kutumiwa na kituo hiki cha radio basi ataalikwa kuhudhuria ufunguzi na pia atabaki kwenye kumbukumbu ya kituo chetu. Mawazo yenu ni muhimu sana kwa wakati huu. Karibuni
Hekima tele kumbe na wewe hii umeiona?That's the best you can reward the winner?
Hekima tele kumbe na wewe hii umeiona?
Nilitaka kuichomekea mwanzo nikaona nitaharibu mazingira.
Winner lazima apewe pesa,we unamualika mtu Tanga yeye yupo Lindi analima korosho,aache kazi zake aje kwenye ufunguzi.
Hapa weka Pesa tu,hata kama laki moja,lakini at least iwe fweza.
Kuna Hotel Moja ilifunguliwa Kigoma pale na ikatoka nafasi kama hii miaka ya 1980s,mshindi alikula laki moja ya miaka hiyo.
Huu mfumo upo nchi nyingi,ikiwemo hili suala la majina,ku create nembo hii hata hapa nchini ipo na mshindi mbali na kupewa offer zote hizo hupewa na pesa.
mwachalika, Ni tofauti na hiyo ninayosikia inaitwa TK Fm? Anyway i have been in tanga for several years, jina linategemra na aina ya radio commercial & entertainment?, Community? au Religious sambamba na target audience and coverage pia.
Kwa kifupi kama kama ni commercial and Entertainment unaweza kuiita majina yafuatayo:-
1. N-Link Fm (Northern Link Fm)
2. Link Fm stereo
2. Fact Fm stereo
3. Base FM stereo
4. Real Fm stereo
5. Shock Fm stereo
6. TA Fm stereo (Tanga fm Radio)
7. Shangwe Fm
8. Latest Fm stereo (L fm stereo)
9. Kunani Fm stereo
10. Bravo fm stereo.
.......
.......
.......
Yapo memgine mengi
Ikipata FQ majina yanaweza boreshwa zaidi.
Pia ukihitaji programming ya vipindi, segments with full contents and operating manual nipo full jamaa, i have been kwenye hiyo field for several years kbl ya kuachana nayo miaka michache iliyopita.
Nilifanya such programming pale Breeze Fm barabara ya 3 na walifanikiwa sana kbl ya kuboronga na kufilisika hatimaye kupoteza kbs wasikilizaji.
Karibu sana mkuu.
Ebola fm