Nipe mbinu nimpate huyu manzi

calabocatz

Senior Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
110
Reaction score
88
Tuko chuo na wote ni mwaka wa kwanza.ukwel nampenda sana.ila yuko serious muda wote.nilimwomba namba kanipa ila kuna limjamaa lina msomesha tena pemben yang tu .nipen mbinu naoa nikipata huyu mwanamke .
 
Umepotea jukwaa mkuu_!!!!!!!!*€¥ ...mpe bloom lako lote ..atakuelewa tu
 
aki we mpee shopping kali kila ukipata boom uyo manzi utampata joh,, bila kukosea we utakua wack wa DUcE au Muce
 
Tuko chuo na wote ni mwaka wa kwanza.ukwel nampenda sana.ila yuko serious muda wote.nilimwomba namba kanipa ila kuna limjamaa lina msomesha tena pemben yang tu .nipen mbinu naoa nikipata huyu mwanamke .
Mkuu nenda ukafike bei angalau kwa nusu zile nyumba za lugumi then dem atakuamini kuwa una mkwanja mrefu na sio boom. Utamng'oa kirahisi
 
Tuko chuo na wote ni mwaka wa kwanza.ukwel nampenda sana.ila yuko serious muda wote.nilimwomba namba kanipa ila kuna limjamaa lina msomesha tena pemben yang tu .nipen mbinu naoa nikipata huyu mwanamke .
Nawe msomeshe tu mkuu kila mtu na bahati yake. Mi sikuamini siku nilivyompora demu baunsa mmoja nilitia vocal zangu zikaeleweka.
 
Khaaa[emoji23][emoji23][emoji23] kweli mwanafunzi ni mwanafunzi hata akiwa university!!
unaacha kusoma ili uepukane na Sup,Upate GPA za maana zikupeleke mbele zaidi!!

unawaza mzigo usiokuhusu!!
come on Nigga, Grow Up!!!!!!!!!!
 
Tuko chuo na wote ni mwaka wa kwanza.ukwel nampenda sana.ila yuko serious muda wote.nilimwomba namba kanipa ila kuna limjamaa lina msomesha tena pemben yang tu .nipen mbinu naoa nikipata huyu mwanamke .
Kijana tulia mbona utaona wengi mpaka unamaliza na kati yao hutooa hata mmoja
 
Tuko chuo na wote ni mwaka wa kwanza.ukwel nampenda sana.ila yuko serious muda wote.nilimwomba namba kanipa ila kuna limjamaa lina msomesha tena pemben yang tu .nipen mbinu naoa nikipata huyu mwanamke .
Dah! We kweli bado mvulana, hakuna mkate mgumu mbele ya chai ukumbuke
 
Dogo zingatia kilichokupeleka huko.., Maana kwa Udomo zege wako huo hutakawia kunywa Sumu endapo hilo Jamaa litakuzidi kete!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…