Nipe raha za kuwa single kwa maisha ya kigeto geto

Nipe raha za kuwa single kwa maisha ya kigeto geto

Themann

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2022
Posts
3,842
Reaction score
16,058
Raha ya kuwa single ni ipi
1.unaludi muda utakao huulizwi na mtu
2.unaonjea mboga kwa mwiko [emoji23]
3.ukitoka kuoga una jifutia pazia
Ongezea na zako[emoji116][emoji16]
 
1.kujifungia ndani siku nzima bila kuulizwa na mtu
2: kushinda ndani bila nguo nazunguka tu nafanya kazi zangu.
3: kuongea na simu loudspeaker iwe siri au kawaida.
4: kupika ninachojisikia kula at anytime.
5: nikifanya usafi kila kitu ninavyo kiacha ndo nakikuta hivyo hivyo.
6: kula kwenye sufuria hasa chakula kikiwa kimebaki kidogo.
 
1.kujifungia ndani siku nzima bila kuulizwa na mtu
2: kushinda ndani bila nguo nazunguka tu nafanya kazi zangu.
3: kuongea na simu loudspeaker iwe siri au kawaida.
4: kupika ninachojisikia kula at anytime.
5: nikifanya usafi kila kitu ninavyo kiacha ndo nakikuta hivyo hivyo.
6: kula kwenye sufuria hasa chakula kikiwa kimebaki kidogo.

[emoji23][emoji23][emoji119]
 
1.kujifungia ndani siku nzima bila kuulizwa na mtu
2: kushinda ndani bila nguo nazunguka tu nafanya kazi zangu.
3: kuongea na simu loudspeaker iwe siri au kawaida.
4: kupika ninachojisikia kula at anytime.
5: nikifanya usafi kila kitu ninavyo kiacha ndo nakikuta hivyo hivyo.
6: kula kwenye sufuria hasa chakula kikiwa kimebaki kidogo.
Nimependa namba mbili
 
1.kujifungia ndani siku nzima bila kuulizwa na mtu
2: kushinda ndani bila nguo nazunguka tu nafanya kazi zangu.
3: kuongea na simu loudspeaker iwe siri au kawaida.
4: kupika ninachojisikia kula at anytime.
5: nikifanya usafi kila kitu ninavyo kiacha ndo nakikuta hivyo hivyo.
6: kula kwenye sufuria hasa chakula kikiwa kimebaki kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom