Acha tu, mtu anafuga mbwa mpaka unajiuliza ni lazima kufuga?Noma
Ila yanasaidia kuwasanua wenye nyumba wezi wakuku wanapotaka kuiba mkuuWatanganyika ni VILAZA hawajui kufuga mbwa.
Wao wenyewe wanashindia MIHOGO na CHACHANDU, sasa jiulize MBWA analishwa nini!
Ndio maisha yetu mkuuAcha tu, mtu anafuga mbwa mpaka unajiuliza ni lazima kufuga?
Na kweli maana kuna watoto hawana chakula achilia mbali mbwa.Ndio maisha yetu mkuu
Duh,.Majinga hayo ata mahindi yakuchoma yanatafuna tu
Yanasaidia sawa, lakini tuna wajibu wa kuwatunza.Ila yanasaidia kuwasanua wenye nyumba wezi wakuku wanapotaka kuiba mkuu
Tuliza komwe mkuu ,sasa mfugaji mwenyewe kajaa minyoo unategemea nini , binafsi nikiwa mdogo nilikua na wakwangu kalikua kana minyoo, kalikua kanaitwa pegi ila mungu si asumani kalisha uma mtu.Yanasaidia sawa, lakini tuna wajibu wa kuwatunza.
Yaani leo nimechafukwa mpaka KOMWE LINAFUKA MOSHI.
Tunawachukulia poa sana hawa wanyama, tunataka watulinde huku tumelala ndani tukiwa tunajamba na wake zetu LAKINI hatuchukui jukumu la kuwatunza.
Unamsikia mtu ati oooh mimi nataka mbwa mkalii, mbwa mwenye maguvu kama GERMAN SHEPHERD, THUBUTUUU!!!
Mbwa halishwi, hapewi dawa, hasafishwi, amejaa minyoo tumboniiii, halafu akulinde, tena ati awe mkali, wewe umelala ndani UNAJAMBA!!
πππππ daaahTuliza komwe mkuu ,sasa mfugaji mwenyewe kajaa minyoo unategemea nini , binafsi nikiwa mdogo nilikua na wakwangu kalikua kana minyoo, kalikua kanaitwa pegi ila mungu si asumani kalisha uma mtu.
Unamaanisha kitoweoHao ni mboga ya jamii flani. Ni mfugo.
ππππwe jamaa wewe umetishaTuliwatumia enzi zetu kwenda kuwinda nao Sungura akiumia ana deka anataka mumbebe,na anajilegeza kweli mkimkazia mkaondoka anainuka anawafata akichechemea uksmama akikufkia analala chini umbebe. Hawa ni vi last born breed.
ππππππ we jamaa weweπ ni more than comedyππβAkifugwa na mzungu huwa ni mbwa mwenye akili, mlinzi na hodari.
Akifugwa na msambaa, mpare au msukuma ndo wale wanaokula mapera na mahindi wanapata constipation usiku saa ya haja wanalia kwa uchungu wasambaa na wenzao wanasema ameona mchawi.
Mbwa inategemea na mafunzo na jinsi ulivyomfuga.
Huyu mbwa ni mzuri sana na wanaupendo sana kwa binadamu hasa aliyemfuga.
Ukimfuga vizuri anakuwa mlinzi mzuri tuu.
Wengi mnaolalamika hapa ni vilaza na hamna uwezo wa kufuga mbwa vizuri zaidi ya kulisha mbwa makombo.
watanzania wengi vilaza wanapenda majibu ya kujiona wanachekesha.
Wote mliopondea jamii ya hao mbwa wanafiki mkubwa.
Hehehe hio nilishawahi shuhudia mbwa akila mavi yamtotoHAwa ni wasafisha mtaa kwa kula mavi ya watoto[emoji23][emoji23][emoji23]
Au bobi πAaah hilo jina chita umenikumbusha mbali
Kipind niko mdogo mzee alipewaga huyu na rafiki yake bana we tukawa tukienda kulala tunashangaa usiku pako kimya kama hamna mbwa kumbe kamajaa kanaendaga kulala kwenye ghala la mahindi na chenyeweNa kuzoea hata mtu asiemjua kwa mfano akipiylta njia ukamwita ukamnyooshea mkono yeye anatikisa mkia kabisa kama anakujua sana yani
Sasa wewe komwe lako ndo utuendeshe mkuu!!? Kama bandari yetu tu yenyewe inauzwa na tunalala bila wasi wewe nani hasaa!!?Yanasaidia sawa, lakini tuna wajibu wa kuwatunza.
Yaani leo nimechafukwa mpaka KOMWE LINAFUKA MOSHI.
Tunawachukulia poa sana hawa wanyama, tunataka watulinde huku tumelala ndani tukiwa tunajamba na wake zetu LAKINI hatuchukui jukumu la kuwatunza.
Unamsikia mtu ati oooh mimi nataka mbwa mkalii, mbwa mwenye maguvu kama GERMAN SHEPHERD, THUBUTUUU!!!
Mbwa halishwi, hapewi dawa, hasafishwi, amejaa minyoo tumboniiii, halafu akulinde, tena ati awe mkali, wewe umelala ndani UNAJAMBA!!
Nimecheka sana mkuu, dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ndo wale wanakula chochote hata ubuyu wanakula na wanatema mbegu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu uko serious kweli kwa hili?Hii ni aina ya mbwa jamii ya Tanzanian Shepherd. Ni mbwa vilaza sana compared na breed nyingine za mbwa. Sifa yao kubwa ni kuwa na hofu na woga uliopitiliza. Ni wazuri kuwafuga kwa lengo la kula makombo ya chakula, huwa wako vizuri sana sehemu hiyo na wanapenda sana kutembelea majalalani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbwa pekee mwenye sifa/misifa ili awe mkali lazima aone mwenyeji pembeni.
ukimkuta peke ake ukimkazia macho anajifanya hajakuona ila subiri awe na mwenye nyumba wake halafu utokee atavyojifanya German Sherphad.