J junno Member Joined Sep 5, 2022 Posts 18 Reaction score 18 Feb 2, 2023 #1 Jamanii embu nielezeeni utofauti kati ya kubet na kufanya biashara lakini nahisi kama zinaendana hivi embu tudiscuss hii mada kwa hoja zakueleweka
Jamanii embu nielezeeni utofauti kati ya kubet na kufanya biashara lakini nahisi kama zinaendana hivi embu tudiscuss hii mada kwa hoja zakueleweka
wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,216 Reaction score 37,757 Feb 2, 2023 #2 Zamani ilikua ukifunua chupi unakutana na tako Ila Siku hizi unafunua tako unakutana na chupi-bikini
Adolph Jr JF-Expert Member Joined Nov 5, 2016 Posts 5,950 Reaction score 9,511 Feb 2, 2023 #4 Biashara ni baba na betting ni mtoto... yaani betting ni aina ya biashara yenye risk kubwa
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Feb 2, 2023 #5 Bora biashara beting ni suala lingine wew