Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Kaa hapo hapo,watakuja wake wa kiba watakupa pesa za kuwatafasiria.Watu wengi walisubiria kwa hamu sana kuona jokate ata post nini kuusu alikiba kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu sana akapost maneno ya lugha ingine kabisa nakuwaacha wambea hoi sasa kwa kua mimi ni mbobezi wa lugha hii nipo tayari kuwa tafsiria ila kwa sharti la kunipa ela mnataka umbea lipieni
Google translateMbona English hii ni very broken........
Bebe = baby
Haya wakalimani mje
Kisa unachokonolewa na [emoji184] unahisi wote wanapumuliwa kama wewe?Kaa hapo hapo,watakuja wake wa kiba watakupa pesa za kuwatafasiria.
Alichokiandika it's a broken french.. I believe alitumia Google translate....Watu wengi walisubiria kwa hamu sana kuona jokate ata post nini kuusu alikiba kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu sana akapost maneno ya lugha ingine kabisa nakuwaacha wambea hoi sasa kwa kua mimi ni mbobezi wa lugha hii nipo tayari kuwa tafsiria ila kwa sharti la kunipa ela mnataka umbea lipieni