Duh! Unajifungua kwa maumivu makali afu fasta unaingia JF. Lea mtoto huyo mama, hii adikshen ya JF utatubemendea mwanetu tumlaumu shemeji yetu bure.nilikwwenda ka first truck but sijachelewa nilienda asbh nikiwa serious nikajifungua mchana huu.
Maumivu yake unaweza kujinyoa nywele zako zote kichwani
kwa kutumia mikono.
alafu kesho unakuta mtu anampiga mtoto wako kichwani
hapo unaweza ukamwambia nini.
Wana jf nipeni hongera leo nimepata mtoto wa kiume ktk hospitali ya muhimbili. he is such a darling boy. But u cant believe what i have been through. jamani niliumwa mpaka nikajuta. but now am happy.