Nipeni kazi mimi ni fundi wa kujenga

Nipeni kazi mimi ni fundi wa kujenga

PANTHERA LEO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2019
Posts
2,307
Reaction score
3,437
Wakuu , naombeni kazi
Naweza kudizain raman za nyumba na kujenga, pia ukinipa ramani yako naweza kukupa makadirio kuanzia msingi, kupaua adi plaster..
IMG_20211207_165505_8.jpg
IMG_20211113_175952_9.jpg
IMG_20211105_170902_4.jpg
IMG_20201205_162106_2.jpg
 
Uko mkoa gan?
Nyumba ya vyumba vi3 kimoja master, dinning, sebule unajenga kwa shingap paka boma linasimama
Kujenga ad kupaua ? Milioni mbili laki 7.. Maongezi yapo kulingana na mahitaji yako .. Nipo moshi mkuu

Nipe budget yako!
 
IMG_7384.jpg

Hii kutoka msingi mpk boma tu itakula bei gani? Na ufundi pia bei gani?
 
Nahitaji plaster ya fensi nioe bei kiwanja ni 30 kwa 35
 
Back
Top Bottom