PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Uko mkoa gan?Wakuu , naombeni kazi
Naweza kudizain raman za nyumba na kujenga, pia ukinipa ramani yako naweza kukupa makadirio kuanzia msingi, kupaua adi plaster..View attachment 2071788View attachment 2071789View attachment 2071791View attachment 2071793
Fundi MAIKO au ......Wakuu , naombeni kazi
Naweza kudizain raman za nyumba na kujenga, pia ukinipa ramani yako naweza kukupa makadirio kuanzia msingi, kupaua adi plaster..View attachment 2071788View attachment 2071789View attachment 2071791View attachment 2071793
Kujenga ad kupaua ? Milioni mbili laki 7.. Maongezi yapo kulingana na mahitaji yako .. Nipo moshi mkuuUko mkoa gan?
Nyumba ya vyumba vi3 kimoja master, dinning, sebule unajenga kwa shingap paka boma linasimama
Tofali kuna za kuchoma na kuna hizi za mchanga maarufu kama "block" unaongelea zipi mkuu?Kama kweli wewe ni fundi taja sababu kumi ambazo hufanya tofali kuwa bora.
....Kuna tofali za tope pia.......Tofali kuna za kuchoma na kuna hizi za mchanga maarufu kama "block" unaongelea zipi mkuu?
Sawa mimi kutokana na uzoefu wangu sina ujuzi nazo....Kuna tofali za tope pia.......
Za mchanga mkuuTofali kuna za kuchoma na kuna hizi za mchanga maarufu kama "block" unaongelea zipi mkuu?
Unatumia tofali gani na upo wapi?View attachment 2074075
Hii kutoka msingi mpk boma tu itakula bei gani? Na ufundi pia bei gani?
Unatumia tofali gani na upo wapi?
Yani mwanzo hadi kupaua 2.7M tu? Hebu nipe gharama za kupaua hapo.Kujenga ad kupaua ? Milioni mbili laki 7.. Maongezi yapo kulingana na mahitaji yako .. Nipo moshi mkuu
Nipe budget yako!
Ndio ghara za ufundi wangu tuu ni laki 9Yani mwanzo hadi kupaua 2.7M tu? Hebu nipe gharama za kupaua hapo.
Upo wapNahitaji plaster ya fensi nioe bei kiwanja ni 30 kwa 35
hiyo kazi unayompa ina malipo!?Kama kweli wewe ni fundi taja sababu kumi ambazo hufanya tofali kuwa bora.
ni gharama ya ufundi tu hiyo(kujenga na kupaua) bila vifaa.Yani mwanzo hadi kupaua 2.7M tu? Hebu nipe gharama za kupaua hapo.