Nipeni mawazo na ujuzi wenu juu ya hili ndugu zangu kuhusu virusi vya Ukimwi

Nipeni mawazo na ujuzi wenu juu ya hili ndugu zangu kuhusu virusi vya Ukimwi

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Ni kuhusu virusi vya ukimwi.

Nina dada angu ni nesi hospitali flani sasa mwezi huu alikuaja likizo nyumbani.

Bahati mbaya likizo yake ikaenda sambamba na mjomba etu kupata ajali ya gari na kuvunjika mguu tunaishi nae eneo moja.

Sasa baada ya taratibu za operation mjomba akaruhusiwa kurudi nyumbani lakini ikabidi awe anachomwa sindano za maumivu (Intramuscular).

Ikabidi dada angu aombwe awe anamchomea pale pale nyumbani akakubali na ndo ikawa utaratibu kila jioni anaenda kumchoma.

Siku moja hivi wakati anamchoma alipomaliza akawa anavua gloves huku sindano akiwa ameishika ili zile gloves ziifunike ile sindano bahati mbaya sindano ikamkwangua kidogo na kamchubuko kadogo pia alipatav akaignore tu kwa kuamini kwamba ni kitu kidogo its ok na yeye anambia ile sindano ya IM yani Intramuscular ukichoma vzuri inaenda kwenye musclea bila kucontact na blood na utaitoa ikiwa haina blood kabisa (sjui kama ni kweli).

Basi siku zimepita zaidi ya wiki sasa jana akaskia fununu au niseme story kwamba mjomba ni HIV positive kachanganyikiwa san mana kama ni PEP ameshachelewa leo asubuhi nimemsindikiza kupima majibu ni HIV negative

Sasa anamawazo sana kwamba huenda ndo yupo kwenye Window period au ndo kama alivonambia siku za nyumba kwamba huenda sindano haikucontact na blood au ilitoka bila drops yoyote ya blood yn ilitoka ikiwa dry.

Kwa vithibitisho tulivovipata leo inaonesha kweli mjomba ni HIV+ amechanganyikiwa analia tu.

Hebu nisaidieni mawazo yenu juu ya hili waungwana na wataalam wa afya.

Wasalaaam.
 
ye asuburi tena baada kama ya miezi mitatu apime tena
N:B kwa yeye si nesi na imani alifundishwa vema tu kuhusu HIV
na cha msingi bora aende kwa doctor amuelezee situation nzima hii itakuwa vyema zaidi
 
ye asuburi tena baada kama ya miezi mitatu apime tena
N:B kwa yeye si nesi na imani alifundishwa vema tu kuhusu HIV
na cha msingi bora aende kwa doctor amuelezee situation nzima hii itakuwa vyema zaidi
ingekuwa hajapima doctor angemwambia kapime...ingekua ndani ya zile siku tatu angemuanzishia PEP.....bt ameshapima na anataman sana kujua kitaam je yupo infected or not.....kwa kuanza na wataalam wa humu kwanza.....mnalionaje hili swala....kwa asilimia ngp mnaamini kawa infected....au asilimia ngapi unaamin hajawa inf3cted?
 
ingekuwa hajapima doctor angemwambia kapime...ingekua ndani ya zile siku tatu angemuanzishia PEP.....bt ameshapima na anataman sana kujua kitaam je yupo infected or not.....kwa kuanza na wataalam wa humu kwanza.....mnalionaje hili swala....kwa asilimia ngp mnaamini kawa infected....au asilimia ngapi unaamin hajawa inf3cted?
hatuna vipimo vyenye uwezo wa kugundua ukimwi kwa mtu ndani ya wiki kadhaa,
mi siwezi kusema kama yupo + or -.
 
Mpe pole sana jaman Mungu atamsaidia, Hv ndan ya miez 2 unaweza onekana HIV + baada ya tukio
daaahh yaaah ni miez miwili mpka mitatu.....dada angu mpka leo anashinda analia tu
 
[emoji268][emoji268]KUONGEZA CD4 [emoji268][emoji268]
[emoji256]MAHITAJI[emoji256]
[emoji298]Alumuuluyya 100gm au kamuni aswed
[emoji298]shubiri gr50
[emoji298]habatus sauda 100gm
[emoji298]habatsufa100gm
[emoji298]mdalasini 100gm
[emoji298]kitunguu swaumu 100gm
[emoji298]mjafari 150gm
[emoji298]mrundarunda 100gm
[emoji298]mvule 100gm
[emoji298]tangawizi 100gm
[emoji298]karafuu 50gm
[emoji298]uwatu 100gm
[emoji298]mafuta ya karafuu original kijiko kimoja
[emoji298]Daria laini vijiko 5
[emoji298]asali Lita 10

[emoji271]MATUMIZI[emoji271]
Changanya dawa hizo kwa pamoja na mgonjwa atie vijiko viwili vya mchanganyiko huo kwenye maziwa moto kikombe kimoja ... asubui na jioni yaani kutwa mara mbili.
Atafanya hivyo kwa miezi sita mfululizo in shaa Allah
Allah a'alam.

Kwa mahitaji ya ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami .
Wenu Sulayman
+255 655 821 550
 
[emoji268][emoji268]KUONGEZA CD4 [emoji268][emoji268]
[emoji256]MAHITAJI[emoji256]
[emoji298]Alumuuluyya 100gm au kamuni aswed
[emoji298]shubiri gr50
[emoji298]habatus sauda 100gm
[emoji298]habatsufa100gm
[emoji298]mdalasini 100gm
[emoji298]kitunguu swaumu 100gm
[emoji298]mjafari 150gm
[emoji298]mrundarunda 100gm
[emoji298]mvule 100gm
[emoji298]tangawizi 100gm
[emoji298]karafuu 50gm
[emoji298]uwatu 100gm
[emoji298]mafuta ya karafuu original kijiko kimoja
[emoji298]Daria laini vijiko 5
[emoji298]asali Lita 10

[emoji271]MATUMIZI[emoji271]
Changanya dawa hizo kwa pamoja na mgonjwa atie vijiko viwili vya mchanganyiko huo kwenye maziwa moto kikombe kimoja ... asubui na jioni yaani kutwa mara mbili.
Atafanya hivyo kwa miezi sita mfululizo in shaa Allah
Allah a'alam.

Kwa mahitaji ya ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami .
Wenu Sulayman
+255 655 821 550

Hii ni kwa ajili ya dada au uncle?
 
Ni ngumu kusema kama atakuwa infected or not maana kuna factors nyingi za kuhusisha though kwa maelezo yako yupo kwenye danger zone hasa kama baada ya kujichoma damu ilitoka...... ndio maana hakutakiwa kuchukulia easy.
 
Ni kuhusu virusi vya ukimwi.

Nina dada angu ni nesi hospitali flani sasa mwezi huu alikuaja likizo nyumbani.

Bahati mbaya likizo yake ikaenda sambamba na mjomba etu kupata ajali ya gari na kuvunjika mguu tunaishi nae eneo moja.

Sasa baada ya taratibu za operation mjomba akaruhusiwa kurudi nyumbani lakini ikabidi awe anachomwa sindano za maumivu (Intramuscular).

Ikabidi dada angu aombwe awe anamchomea pale pale nyumbani akakubali na ndo ikawa utaratibu kila jioni anaenda kumchoma.

Siku moja hivi wakati anamchoma alipomaliza akawa anavua gloves huku sindano akiwa ameishika ili zile gloves ziifunike ile sindano bahati mbaya sindano ikamkwangua kidogo na kamchubuko kadogo pia alipatav akaignore tu kwa kuamini kwamba ni kitu kidogo its ok na yeye anambia ile sindano ya IM yani Intramuscular ukichoma vzuri inaenda kwenye musclea bila kucontact na blood na utaitoa ikiwa haina blood kabisa (sjui kama ni kweli).

Basi siku zimepita zaidi ya wiki sasa jana akaskia fununu au niseme story kwamba mjomba ni HIV positive kachanganyikiwa san mana kama ni PEP ameshachelewa leo asubuhi nimemsindikiza kupima majibu ni HIV negative

Sasa anamawazo sana kwamba huenda ndo yupo kwenye Window period au ndo kama alivonambia siku za nyumba kwamba huenda sindano haikucontact na blood au ilitoka bila drops yoyote ya blood yn ilitoka ikiwa dry.

Kwa vithibitisho tulivovipata leo inaonesha kweli mjomba ni HIV+ amechanganyikiwa analia tu.

Hebu nisaidieni mawazo yenu juu ya hili waungwana na wataalam wa afya.

Wasalaaam.
Yeye ni nurse katika hali ya kawaida anatakiwa asimuamini mtu yeyote hata kama ni mzazi wake
Ni uzembe mkubwa sana amefanya hali anajua kuwa ukijichoma au kujikwaruza na sindano uliomchomea mtu basi haina mjadala uanze PEP labda tuu ampime kwanza muhusika muda huo huo ili ahakikishe kwamba yuko safe
Sio tuu mpk iingie kwenye damu hapana yeye anakipimo gani cha kusema haikufikia damu ni jambo la ajabu kujiamini
Kwa sasa haina jinsi asubiri miezi 3 apime tena ndipo ajue kama kaathirika au lah
 
Yeye ni nurse katika hali ya kawaida anatakiwa asimuamini mtu yeyote hata kama ni mzazi wake
Ni uzembe mkubwa sana amefanya hali anajua kuwa ukijichoma au kujikwaruza na sindano uliomchomea mtu basi haina mjadala uanze PEP labda tuu ampime kwanza muhusika muda huo huo ili ahakikishe kwamba yuko safe
Sio tuu mpk iingie kwenye damu hapana yeye anakipimo gani cha kusema haikufikia damu ni jambo la ajabu kujiamini
Kwa sasa haina jinsi asubiri miezi 3 apime tena ndipo ajue kama kaathirika au lah
daaaahhh......mmhh
 
Back
Top Bottom