Nipeni mbinu za kujiandaa kugombea Udiwani 2025 Kata ya Mpwayungu

Nipeni mbinu za kujiandaa kugombea Udiwani 2025 Kata ya Mpwayungu

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Sihitaji salamu maana nina hasira sana kuona maisha ya wananchi wenzangu yakiwa duni kutokana na sera mbovu za uongo za chama cha kijani. Nahitaji kuwatumikia wananchi wangu wa Kata ya Mpwayungu kupitia chama cha mioyo ya watu mwaka 2025 kama nitachaguliwa kupeperusha bendera.

Naombeni tactics nianze mapema kabisa kwa wale wazoefu. Najua kuiba kura nikawaida yao ila kwa mimi siyo mtu ya kuibiwa kura, nitaweka mawakala wazalendo na kuhakikisha ulinzi wa kura zangu kwa asilimia mia moja.

Nawapenda sana wananchi wangu. Asante.
 
Kama ni kwa tiketi ya CCM, nakushauli uza nyumba pata pesa za kutumika kwenye kampeni - usiogope zote zinarudi na faida kubwa juu yake ndani ya miaka 5.
 
Sihitaji salamu maana nina hasira sana kuona maisha ya wananchi wenzangu yakiwa duni kutokana na sera mbovu za uongo za chama cha kijani. Nahitaji kuwatumikia wananchi wangu wa Kata ya Mpwayungu kupitia chama cha mioyo ya watu mwaka 2025 kama nitachaguliwa kupeperusha bendera.

Naombeni tactics nianze mapema kabisa kwa wale wazoefu. Najua kuiba kura nikawaida yao ila kwa mimi siyo mtu ya kuibiwa kura, nitaweka mawakala wazalendo na kuhakikisha ulinzi wa kura zangu kwa asilimia mia moja.

Nawapenda sana wananchi wangu. Asante.
How long you have been dead? Karibu tena
 
Back
Top Bottom