Nipeni ushauri kwa hawa wanawke watatu


Pumbavvvvv.
 


Jomba nao wanatafuta ushauri kati yenu wanne nani apigwe chini. So kuwa makini jomba.
 
nami ndo was was wangu wasijeniacha maana hawa wanawake ni vigeugeu....

Kama wewe ulivyokigeugeu mi nakushauri uwe nae huyo umwitae mamaaaa yaani gf wa tokea mwanzo ukimuacha tu utaona cha mtema kuni kwani kila siku utakua unaachwa na wewe ukija useme urudi kwa mamaaaa atakua keshachukuliwa na mwingine halafu urudi hapa unalia, yametokea sana sisi vijana wa zamani tumeyaona
 
umewezaje kuwa na hao watatu??Naamini kati ya hao tayari kuna chaguo lako_na umeshamtaja mmoja ndio mamaa-Kuwa nae huyo na inabidi uchukue hatua fasta ya kuwabwaga hao vinginevyo nakutabiria siku si nyingi utampata wa nne na wa tano!!subiri utaona
 
duuh!sasa umeharibu mwenyewe
afu waomba ushauri?
mbona ulivyoanzana nao wote hukuja kutwambia?
mambo mengine mnajitakia jamani
na unawapendaje wote?unawapenda unatamani?
duuh!!ni NGUMU
 
Mimi na CHAgua DEmu MApema wewe je??
😛eace:😛eace:😛eace:[/I]

Mbona hapa 'SIKUELEWI'
 
umewezaje kuwa na hao watatu??Naamini kati ya hao tayari kuna chaguo lako_na umeshamtaja mmoja ndio mamaa-Kuwa nae huyo na inabidi uchukue hatua fasta ya kuwabwaga hao vinginevyo nakutabiria siku si nyingi utampata wa nne na wa tano!!subiri utaona


nna hali mbaya mpaka sasa, maana kuna uyu mzuuuuri, kasema APril tutegee mimba ili tupate mtoto ajiakikishie nafasi ya pekeyake... kwasas anasoma ni 22 ages
 
nna hali mbaya mpaka sasa, maana kuna uyu mzuuuuri, kasema APril tutegee mimba ili tupate mtoto ajiakikishie nafasi ya pekeyake... kwasas anasoma ni 22 ages

Hapo underlined,suala la mimba linaendana na kuchakachua kavu kavu_inaonesha matumizi ya kinga hapo hayapo.Sijui kama unaweza kudhibitisha lini uliibuka angaza na hao watatu au wapimia macho??nikikumbuka hesabu za log na exponential kama mmoja anao unakadiria kipeo cha tatu wanao.Sidhani kama hao watatu hawana ma hb wa nje ukizidisha na hao hapo unachopata, duu......tumekwisha.Badilika
 
nna hali mbaya mpaka sasa, maana kuna uyu mzuuuuri, kasema APril tutegee mimba ili tupate mtoto ajiakikishie nafasi ya pekeyake... kwasas anasoma ni 22 ages

Pole yako we unataka mke unataka uzuri utajashangaa ndoa sio lelemama ati, shauri yako
 


wewe maneno gani waandika??? Ni uyu wangu ndo nasex nae kavu... Ila ao wengine ndo nazan tutaelekea uko mda sio mrefu
 
Aisee hizi makitu nyingine kama hamziwezi mtuachie wenyewe, yaani we totoz tatu tu unakuja humu kusumbua watu pambaf....................
 

Yaani watoto wa wenzio unawachambua utafikiri viazi sokoni, ngoja na wewe ubarikiwe kupata watoto wa kike halafu watu wakufanyie hivyo binti zako, kwa sisi wazazi hii inatia kichefuchefu sana!
 
aisee hizi makitu nyingine kama hamziwezi mtuachie wenyewe, yaani we totoz tatu tu unakuja humu kusumbua watu pambaf....................

wengine sijawataja sababu sioni kama wana vigezo, ila ao watatu ndo wananiumiza

 
yaani watoto wa wenzio unawachambua utafikiri viazi sokoni, ngoja na wewe ubarikiwe kupata watoto wa kike halafu watu wakufanyie hivyo binti zako, kwa sisi wazazi hii inatia kichefuchefu sana!

sorry ma parent
 
wewe maneno gani waandika??? Ni uyu wangu ndo nasex nae kavu... Ila ao wengine ndo nazan tutaelekea uko mda sio mrefu
Hapa tunapeana ushauri na kukumbushana pia wajibu wetu.tusikwepe changamoto na zaidi tufikirie strategically!!!hao wawili wapya wana watu wao inakubidi uchague mmoja uwapige chini wengine ndio mkapime wakati huo awe ameachana na mpenzie wa sasa.huoni kama ni ngumu kujipa uhakika kama kweli wameachana na jamaa zao wa sasa??vinginevyo kutakuwa na mchezo utakuwa unachezwa hapa.
 

...ushauri wangu kwako, achana nao wote watatu, kwani wote unawadanganya.
Utapokuwa tayari kuoa, tafuta mwanamke utayekuwa mkweli kwake.
 

waache wote njo kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…