Nipeni Ushauri mwanana

zamani mimi nilikuwa Yanga.Siku hizi nimeachana na ushabiki/upenzi wa timu,michosho tu.Na zile kamati zao za ufundi zinaniudhi kama nini,badala ya kucheza soka wamekazania sangoma!
ushabiki/upenzi umehamishia wapi? chini,lager...
 
wewe mjanja lakini si sana KARIBU KWA MIKONO MIWILI.Huoni hata jezi na hata hivyo huwaga man u huwa unaangalia burudani na si kushabikia(LAKINI INAMAANA SIMBA au MAN U WAKIFUNGWA UTAHAMA?)
 
Kwanza hongera kwa kutambua kuwa umekaa pasipo kufaa na panapokuumiza akili..Pili,pole kwa kuumizwa na timu ulizokuwa ukishabikia.

Ninachokushauri ni kwamba,uje upande wetu wa Simba "wazee wa kuvunja rekodi" na sisi tutakupokea kwa mikono minne(manake miwili haitoshi)..Na sharti walijua,ukishabikia Simba ni lazima ushabikie Man U "mashetani wekundu"..

Ukija Simba ndo uamuzi wa busara na siku zote utakuwa mtu wa furaha..
 
Usifanye hivyo hata kidogo na naomba uendelee na msimamo wa ushabiki wako, hata mimi pia ni Yanga damu, lakini najipa moyo kuwa huenda mambo yakabadilika na pia uzalendo wa kutoka moyoni hauwezi nibadili msimamo wangu wa kuipenda yana. ewe umesahau ule msemo usemao nymbani ni nyumbani hata kama kijijini, sasa unataka kukana nyumbani kwenu? mwanao akinyea kiganja chako utakikata au utasafisha then unasonga mbele. Mkuu kuwa na moyo wa uvumilivu na lazima ukubali kuna kushinda na kushindwa kaka
 
Tuletee NEWZ, na sio kutuuliza vitu visivyo na kichwa wala miguu. kama umekosa la kuwaambia wana JF nyamaza kimya.


 
Kuhusu timu za bongo sina ushauri maana niliacha kushabikia toka kipindi kile yanga ilipokuwa inawaka.

Kuhusu za uingereza, kweli ulipotea nakushauri uje kwenye right direction. Man U ndio timu, ila sasa ukianza kuwa shabiki ni mvua na jua. Yaani mimi hata Man U ifungwe bado nitakujibu naipenda Man U, yaani ndio my love wa pili hana mpinzani ukija moyoni mwangu.

Kama moyo wako sio ngangari chagua timu zenye historia nfedu za ushindi angalau unakuwa na uhakika
 
Ziondaughter huyu anakuchokoza eti eeh? Chini anamaanisha nini afadhali angeacha lager tu. Si eti Zion dadangu?
Yani huyu inaonyesha hana dada kwao sio kosa lake.Na mie sijamuelewa hiyo chini hapo anamaanisha nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…