Nipeni ustar wa JF

Kuna watu sijui mnakulaga nini mpaka mnawaza mambo ya hivyo
 
Sijui na mimi ni star!
Maana sijielelewi.
 
Sijui na mimi ni star!
Maana sijielelewi.
Anzisha Uzi utaona watu km watachangia kwa spidi au kusuasua halafu cheki na likes utakazogongewa.....Ndo utajijua
 
Ustar unakuja automatically directly proportional to mass and density (joke)!!! 2pac alikufa hata kabla sijazaliwa Ila naambiwa ni star kwa mtu amabaye hayupo tena duniani
 
Ustar unakuja automatically directly proportional to mass and density (joke)!!! 2pac alikufa hata kabla sijazaliwa Ila naambiwa ni star kwa mtu amabaye hayupo tena duniani
Ni kweli but lengo langu co kuutafuta ustaa ...nimeandika huu Uzi ili kujua MAWAZO ya wadau kuhusu MTU akiwa maarufu humu JF ananufaikaje ?
 
Kwanza ujue kingereza vizuri sana

Pili angalau uwe mshabiki wa NBA
Basi sijakidhi vigezo kiingereza cha kuungaunga na ni shabiki wa soka sio huo mchezo wa NBA km rede bhana
 
Hahahhahahahhaah

Umenikumbusha wimbo wa bwana MISOSI
NITOKE VIPI ???
 
Teheee...... Mkuu Benny mwambie Bitoz aje huku nina kituo nafundisha English Course aje kujifunza kabla hajamiliki ID ya Nyani Ngabu, maana kingereza kile mmmmh.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…