Jamani, nina rafiki yangu wa kike, yeye anapenda sana kufanya mapenzi.Yaani kama siku sijaenda kazini, anataka mchana apate round kadhaa, usiku tena round kadhaa, ikiwezekana anataka si chini ya round tatu(mchana 3 na usiku 3) au zaidi? Jamani hii hali ni yakawaida au huyu dada anapepo wa ngono? Nawakilisha!!!!!!!!!!1
Jamani, nina rafiki yangu wa kike, yeye anapenda sana kufanya mapenzi.Yaani kama siku sijaenda kazini, anataka mchana apate round kadhaa, usiku tena round kadhaa, ikiwezekana anataka si chini ya round tatu(mchana 3 na usiku 3) au zaidi? Jamani hii hali ni yakawaida au huyu dada anapepo wa ngono? Nawakilisha!!!!!!!!!!1
😛anda:😛anda:😛anda:Jamani, kuna madada mmjo nilimdondokea sana, nikatia timu watu wangu, cha ajabu akadai kusumbus sana mara ninawangu, mara sipendelei mambo hayo, mara nipo busy sina muda, mara sijui nini n.k n.k. Nilipo amua kuacha sasa analaumu eti nilikuwa nampima au? Mbona kimya changu kimezidi? Sasa nauliza kwanini alikuwa nanata kwa maneno kibao, usumbufu n.k wakati anapenda????????????????😛anda:😛anda:😛anda:
:msela😀emu wangu kaniuliza leo hii, eti nimewahi kufanya malavidavi kwa kutumia asali? Nimemjibu sijawahi! Kasema basi yeye atanionjesha na nitapata utamu ambao sitakaa nisahau katika maisha yangu yote!! Sasa wazoefu hebu nisaidie, huyu demu anamaanisha nini anaposema mapenzi kwa kutumia asali? Nipo njia panda kwa kweli!:msela:
mh! Dena una reference!!
Nimekukubali!!Ha ha ha ha ha SINAIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII habari yake bana........................
Ha ha ha ha ha SINAIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII habari yake bana........................
asante sana DA Sina haja ya kuchangiaHa ha ha ha ha SINAIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII habari yake bana........................
mmh...jamani!
sasa sijui ni nani mwenye mapepo.....Dena naona hutaki mchezo...SINAI mkuu tafadhali, hivi upo kidato gani?...Tupunguzie mambo ya kitoto,