Ningekushauri uwaulize wadau wa huo mchezo watakupa jawabu sahihi. Naweza kukupatia number ya Kocha wa Taifa umuulize. Kama uko interested nijuilishe.Wadau kama heading inavyosomeka. Nipo Arusha, nina binti yangu ana umri wa miaka minane (08). Nilikuwa na wazo la kumjenga mwanangu awe mcheza tennis mzuri.
Kwa anayefahamu, naomba aniunganishe (anielekeze/anipe contact) za mahali ambapo binti yangu huyo anaweza kuwa anajifunza mchezo huo hasa katika siku za mwishoni mwa juma (week ends) na siku za likizo.
Wasalaam!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana. Ngoja niendePale kijenge nyuma ya ule uwanja mpira, kuna graund za tenesi ukifika pale utapata utaratibu.
Au nenda maeneo ya jimcana kuna ground kule wadau wapo wengi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo interested nduguNingekushauri uwaulize wadau wa huo mchezo watakupa jawabu sahihi. Naweza kukupatia number ya Kocha wa Taifa umuulize. Kama uko interested nijuilishe.
Ni PM nikupatie naona ume limit account yako
Asante sana. NitaendaNenda pale AICC Club kuna tennis courts muulizie mwalimu,mafunzo hela ndogo tu,kuna wakati nilipeleka wanangu
Sent using Jamii Forums mobile app