jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
Huyo anamawazo hafai! Ukuje huku tutoke aisee...wikend iishe vzrnitoe out
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] Fulsa Mtani Wangunitoe out
ndo mzuri nimliwazeHuyo anamawazo hafai! Ukuje huku tutoke aisee...wikend iishe vzr
Niko upset jaman!! Nipen ushaur wa buree nifanyaje...Najifeel bored na kila kitu!!..
Wanaoweza kunirudisha kwenye mood mapinfuzi ya fikra yaendelee nisaidien
Chochote kinachoweza change my mood
Ha haaaaJitahidi utafute Ripoti One na Two za Makinikia za akina Professor Mruma na Professor Osoro kisha zipitie zote pamoja na Mapendekezo yake halafu utarudi tena humu kutuambia kama bado uko bored au baada ya kuzisoma sasa umekuwa active.
Nenda kambi ya jeshi shusha bendera alafu utoke nduki......jokingNiko upset jaman!! Nipen ushaur wa buree nifanyaje...Najifeel bored na kila kitu!!..
Wanaoweza kunirudisha kwenye mood mapinfuzi ya fikra yaendelee nisaidien
Chochote kinachoweza change my mood